Cannabis
JF-Expert Member
- Jan 20, 2014
- 8,937
- 25,279
Kupitia ukurusa wake wa Twitter Humphrey Polepole amepinga chanjo ya Maralia iliyoidhinishwa na WHO kwa kusema kuwa haiaminiki na kuwataka walioitengeneza waseme inafanyaje kazi kwenye miili ya watu.
Chanjo hiyo imekuwa ikifanyiwa utafiti kwa miaka kadhaa na WHO imeshauri nchi zinazokabiliana na ugonjwa huo kuanza kuitumia baada ya kuonyesha mafanikio makubwa katika hatua za majaribio.
Chanjo hiyo imekuwa ikifanyiwa utafiti kwa miaka kadhaa na WHO imeshauri nchi zinazokabiliana na ugonjwa huo kuanza kuitumia baada ya kuonyesha mafanikio makubwa katika hatua za majaribio.