09 Agosti 2025
Mtaa wa Kajificheni
Intaneti
HUMPHREY POLEPOLE AJIBU MAPIGO BAADA YA RAIS SAMIA KUCHUKUA FOMU YA URAIS LEO 09 AGOSTI 2025
View: https://m.youtube.com/watch?v=u2E3mF2fqQo
Mubashara kwa kustukiza Humphrey Polepole mambo matatu
CCM kwenda kushindana na CHAUMMA chama cha mkobani (briefcase) kilichopaishwa kimkakati , mzee wa Ubwabwa Hashim Rungwe amepata wapi pesa za kuzungukal nchi nzima.
Mimi kama mwanamkakati mzoefu wa CCM leo Dodoma kulikuwa hakuna hamasa, shauku ya kumuona mgombea wa urais leo Dodoma haikuwepo...
Samia Hassan kushindana na Salum Mwalimu, kweli CCM hii imeshuka viwango kwenda kujifanya wanaushindani wa urais na CHAUMMA . Hivi kweli kuna kitu gani wanaweza CCM kumkosoa kisera Salum Mwalimu ? Anahoji Humphrey Polepole..
Na ndiyo maana nimesema umuhimu wa kumwaga oil 🛢 CCM ije na mgombea urais mpya, badala ya ndugu Samia Suluhu Hassan ...
Mwanasheria msomi Albert Msando aliye mkuu wa wilaya ya Ubungo amekuja mtandaoni na kunihoji mimi (Polepole) ....
Watia nia wa urais CCM Kutimiza masharti ya INEC kutafuta wadhamini wakati mchakato ndani ya chama fomu haikuzungushwa nchi nzima ..utaleta mambo ..
Mtaa wa Kajificheni
Intaneti
HUMPHREY POLEPOLE AJIBU MAPIGO BAADA YA RAIS SAMIA KUCHUKUA FOMU YA URAIS LEO 09 AGOSTI 2025
View: https://m.youtube.com/watch?v=u2E3mF2fqQo
Mubashara kwa kustukiza Humphrey Polepole mambo matatu
- Samia Suluhu Hassan kuchukua fomu ya kugombea urais
- Kwa mara ya kwanza Mgombea wetu na mgombea mweza wa CCM wamejilazimisha kugombea nafasi hizo ..
- Mungu siyo wa kuchezea, tusikilize clip fupi ya Hotuba ya leo pale White House Dodoma, ngoja niwachezeshee clip alichozungumza mgombea urais Samia Hassan kwa kuwa leo tupo interactive (kuwashirikisha) ..
- Dr. Emmanuel Nchimbi maneno yake yanachambuliwa ktk clip hiyo fupi.. Humphrey Polepole anatafsiri walichuzungumza leo baada ya kuchukua fomu
- Wagombea wa CCM wameteleza ktk hotuba zao hasa maneno ya Dr. Emmanuel Nchimbi " nitakuwa msaidizi wako sitakuwa mshindani wako.."
- Maneno ya Dr. Nchimbi maneno hayo amelazimishwa aseme ...maana tunajua haiwezekani makamu kushindana na bosi wake ..
- Desturi ya Unyenyekevu ktk clip ya hotuba ya Dr. Nchimbi sikuiona ...
- Nimefanya kazi na Dr. Shein na makamu wengine sikuwahi kuona maneno ya kama leo ..
- Dr. Omar Ali Juma ... pia sikuona anasema Polepole, sasa ushindani kati ya Samia na Nchimbi tuliyosikia inaishiria nini ...anahoji Polepole
- N.k
CCM kwenda kushindana na CHAUMMA chama cha mkobani (briefcase) kilichopaishwa kimkakati , mzee wa Ubwabwa Hashim Rungwe amepata wapi pesa za kuzungukal nchi nzima.
Mimi kama mwanamkakati mzoefu wa CCM leo Dodoma kulikuwa hakuna hamasa, shauku ya kumuona mgombea wa urais leo Dodoma haikuwepo...
Samia Hassan kushindana na Salum Mwalimu, kweli CCM hii imeshuka viwango kwenda kujifanya wanaushindani wa urais na CHAUMMA . Hivi kweli kuna kitu gani wanaweza CCM kumkosoa kisera Salum Mwalimu ? Anahoji Humphrey Polepole..
Na ndiyo maana nimesema umuhimu wa kumwaga oil 🛢 CCM ije na mgombea urais mpya, badala ya ndugu Samia Suluhu Hassan ...
Mwanasheria msomi Albert Msando aliye mkuu wa wilaya ya Ubungo amekuja mtandaoni na kunihoji mimi (Polepole) ....
Watia nia wa urais CCM Kutimiza masharti ya INEC kutafuta wadhamini wakati mchakato ndani ya chama fomu haikuzungushwa nchi nzima ..utaleta mambo ..