Assuming anachosema INVISIBLE ni kweli kuwa kundi lile halikuwa na hatia walau kwa uamuzi wa jaji msomi massati, tunaelekea slowly but surely into anarchy,ambapo tutatumia sheria ya msituni:the survival of the fittest!
Baada ya precedence hiyo naamini mno katika UTOPIA (SOMA MUNGU MWENYEEZI) NAAMINI PAMOJA NA MZEE K.KAUNDA KWAMBA KISASI HALISI NI JUU YA MUNGU MWENYEWE NA ATAKITEKELEZA KWA WAKATI WAKE ILI WANAOCHEKA LEO WALIE KAMA WAKE NA WATOTO WA MAREHEMU WALE WALIVYOLIA!
Yule mwenzao mmoja waliyembadilishia kesi toka mauaji ya makusudi hadi mauaji ya kutokukusudia, mbona yalipomfika mauti Morogoro hawakuweza kumkingia.
MBONI ALIYEKUWA ANAELEKEZA ASAIDIWE HAKUMZUIA ZIRAILI HUKO MOROGORO? HAKUNA CHA BEST MAN WALA NINI!SO IT IS A MATTER OF TIME AND THE OMNIPRESENT, OMNISCIENT,OMNI POTENT GOD WILL MET OUT HIS JUSTICE TO ALL!VERY VERY PAINFUL!