King’asti
Platinum Member
- Nov 26, 2009
- 27,823
- 24,786
Hugo haiku Hana taaluma ya kufanya maamuzi hayo. Ustawi wa jammy na drs walipaswa kuhusika, lakini mama alipaswa kuhojiwa na kujiridhisha na kufanya maamuzi. Rushwa ya wazi kabisa:alien:Huyo Jaji alijiridhisha kuwa mama wa mtoto kweli ni mgonjwa kiasi cha kutoweza kumlea mwanae?
Wabunge wa viti maalum wanawake -hasa wale wa UWT wanasemaji?