Hukumu ya Kwanza ya Jaji Kiongozi imetoa mwelekeo wa legacy yake. Tutarajirie haya...

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,752
Baada ya kuapishwa kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Mhe. Jaji Kiongozi Mustapha Siyani ametoa mwelekeo wake kupitia Hukumu yake ya Kwanza kama Jaji Kiongozi.

Nimesema mwelekeo nikimaanisha aina ya legacy yake. Kwa mtazamo wangu ninaona mwelekeo au mguu aliouanza Jaji Kiongozi katika hukumu yake ya Kwanza haukuonesha uongozi wa Kimahakama kuonesha haki inatendeka.

Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.


Hukumu hii ya kwanza kama Jaji Kiongozi iwaalike wanazuoni wa Sheria kuitazama sura ya Mahakama ya Tanzania iwapo inasimama kama hekalu la haki au hekalu la kuwapa kinga ya kisheria wezi, wauaji, wanyang'anyi na nasaba hizo.

Tujipe fursa sasa ya kuanza kuokota ama kukusanya vipande vinavyoweza kupelekea upatikanaji wa Katiba Mpya yenye kutoa haki, kuwajibisha na kuimarisha misingi yetu kama Taifa moja bila kubaguana.

Jaji Kiongozi ameonesha mwelekeo wake kama msimamizi mkuu wa judicial caucus yenye dhamana kubwa kwa Taifa hili.

Hapa sijamtaja Jaji Mkuu ambaye bado anaamini Jamhuri ina makamu wawili wa Rais
20211021_135503.jpg
20211021_135508.jpg
 
Katika kesi zote za Sabaya na Mbowe; haki imetendeka na imeonekana imetendeka. Hongera kwa mahakama za Tanzania.
 
Kaonyesha ni kiongozi shupavu asiyeogopa sura Wala umaarufu wa mtu.
Kaonyesha jinsi mahakama inaendesha kazi zake bila kutishiwa na mitandao maana ni chombo huru.
 
Baada ya kuapishwa kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Mhe. Jaji Kiongozi Mustapha Siyani ametoa mwelekeo wake kupitia Hukumu yake ya Kwanza kama Jaji Kiongozi.

Nimesema mwelekeo nikimaanisha aina ya legacy yake. Kwa mtazamo wangu ninaona mwelekeo au mguu aliouanza Jaji Kiongozi katika hukumu yake ya Kwanza haukuonesha uongozi wa Kimahakama kuonesha haki inatendeka.

Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.


Hukumu hii ya kwanza kama Jaji Kiongozi iwaalike wanazuoni wa Sheria kuitazama sura ya Mahakama ya Tanzania iwapo inasimama kama hekalu la haki au hekalu la kuwapa kinga ya kisheria wezi, wauaji, wanyang'anyi na nasaba hizo.

Tujipe fursa sasa ya kuanza kuokota ama kukusanya vipande vinavyoweza kupelekea upatikanaji wa Katiba Mpya yenye kutoa haki, kuwajibisha na kuimarisha misingi yetu kama Taifa moja bila kubaguana.

Jaji Kiongozi ameonesha mwelekeo wake kama msimamizi mkuu wa judicial caucus yenye dhamana kubwa kwa Taifa hili.

Hapa sijamtaja Jaji Mkuu ambaye bado anaamini Jamhuri ina makamu wawili wa RaisView attachment 1981914View attachment 1981915
Kama Jaji amepewa rushwa ya madaraka, atashindwa vipi kupindisha sheria? Ndiyo maana tunaipiga kelele Katiba Mpya!
Rais kuwa na madaraka makubwa kwenye maamuzi na uteuzi, kwa sasa limeshakua ni tatizo linalohitaji utatuzi wa haraka.

Haiwezekani ampe kirahisi tu cheo Hakimu anayesimamia kesi ya mtu aliyemuongelea kwenye chombo maarufu cha habari kama mhalifu na anaye subiria kifungo, baada ya wahusika wenzake (wahusika hewa) wakiendelea kutumikia vifungo vyao katika magereza mbalimbali nchini.

Kesi yenyewe ni ya kubambikia! Na ina double standards nyingi mpaka inakera.
 
Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.
Kama kuna Mwana CCM yoyote mwenye akili timamu atakayefurahia hukumu ya kipuuzi namna ile basi nitamshangaa sana.

Juzi kwa Mara nyingine niliaminishwa kuwa Elimu haina maana yoyote ile, MTU anaweza kusoma kwa mateso na shida nyingi na akaja kufanya upuuzi ambao ungeweza kufanywa na mwendawazimu tu
 
Baada ya kuapishwa kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Mhe. Jaji Kiongozi Mustapha Siyani ametoa mwelekeo wake kupitia Hukumu yake ya Kwanza kama Jaji Kiongozi.

Nimesema mwelekeo nikimaanisha aina ya legacy yake. Kwa mtazamo wangu ninaona mwelekeo au mguu aliouanza Jaji Kiongozi katika hukumu yake ya Kwanza haukuonesha uongozi wa Kimahakama kuonesha haki inatendeka.

Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.


Hukumu hii ya kwanza kama Jaji Kiongozi iwaalike wanazuoni wa Sheria kuitazama sura ya Mahakama ya Tanzania iwapo inasimama kama hekalu la haki au hekalu la kuwapa kinga ya kisheria wezi, wauaji, wanyang'anyi na nasaba hizo.

Tujipe fursa sasa ya kuanza kuokota ama kukusanya vipande vinavyoweza kupelekea upatikanaji wa Katiba Mpya yenye kutoa haki, kuwajibisha na kuimarisha misingi yetu kama Taifa moja bila kubaguana.

Jaji Kiongozi ameonesha mwelekeo wake kama msimamizi mkuu wa judicial caucus yenye dhamana kubwa kwa Taifa hili.

Hapa sijamtaja Jaji Mkuu ambaye bado anaamini Jamhuri ina makamu wawili wa RaisView attachment 1981914View attachment 1981915
Huna haja ya kujieleza sana.
We ni mfuasi wa gaidi kuu. Hukumu ya Sabaya mlishangilia. Hii mmeguswa kidogo tuu kilio kila kona
 
Baada ya kuapishwa kuwa Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu Tanzania, Mhe. Jaji Kiongozi Mustapha Siyani ametoa mwelekeo wake kupitia Hukumu yake ya Kwanza kama Jaji Kiongozi.

Nimesema mwelekeo nikimaanisha aina ya legacy yake. Kwa mtazamo wangu ninaona mwelekeo au mguu aliouanza Jaji Kiongozi katika hukumu yake ya Kwanza haukuonesha uongozi wa Kimahakama kuonesha haki inatendeka.

Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.


Hukumu hii ya kwanza kama Jaji Kiongozi iwaalike wanazuoni wa Sheria kuitazama sura ya Mahakama ya Tanzania iwapo inasimama kama hekalu la haki au hekalu la kuwapa kinga ya kisheria wezi, wauaji, wanyang'anyi na nasaba hizo.

Tujipe fursa sasa ya kuanza kuokota ama kukusanya vipande vinavyoweza kupelekea upatikanaji wa Katiba Mpya yenye kutoa haki, kuwajibisha na kuimarisha misingi yetu kama Taifa moja bila kubaguana.

Jaji Kiongozi ameonesha mwelekeo wake kama msimamizi mkuu wa judicial caucus yenye dhamana kubwa kwa Taifa hili.

Hapa sijamtaja Jaji Mkuu ambaye bado anaamini Jamhuri ina makamu wawili wa RaisView attachment 1981914View attachment 1981915
Bado hamjasema,nyie ndio mtakao mponza Mbowe ale nakoz za kutosha,mmezidi kiherehere sana
 
Mimi siyo Shabiki wa Mbowe wala CHADEMA hata kidogo. Ukipitia posts zangu za nyuma unaweza kuthibitisha hili. Lakini siwezi kuwa shabiki wa udhalimu, dhulma na ubaguzi mkubwa unaofanywa na CCM yangu kwa Watanzania hususani Wapinzani.


Hukumu hii ya kwanza kama Jaji Kiongozi iwaalike wanazuoni wa Sheria kuitazama sura ya Mahakama ya Tanzania iwapo inasimama kama hekalu la haki au hekalu la kuwapa kinga ya kisheria wezi, wauaji, wanyang'anyi na nasaba hizo.

Tujipe fursa sasa ya kuanza kuokota ama kukusanya vipande vinavyoweza kupelekea upatikanaji wa Katiba Mpya yenye kutoa haki, kuwajibisha na kuimarisha misingi yetu kama Taifa moja..
Hayati J. K. Nyerere na wenzake walipigania uhuru ili kuleta usawa na haki nchini.

Ni bahati mbaya sana kwamba chama alichoasisi Nyerere, kimejigeuza kuwa genge la kupora haki za raia wema, wasio na hatia, na kufanya ubaguzi wa wazi bila aibu.
 
Hukumu ya Sabaya mlishangilia. Hii mmeguswa kidogo tuu kilio kila kona
Kesi ya sabaya kuna ushahidi mwingi wa uhalifu wa kutisha:

Kesi ya Mh. Mbowe ni ya uongo, ya kubambikiwa. Hakuna tukio lolote la uhalifu alilofanya
 
Back
Top Bottom