Ciphertext
Senior Member
- Apr 21, 2012
- 160
- 33
Nzuri hii!Hukumu bado inasomwa!!hadi saa tatu hii?au wanahesabu kura upya?hata kama ni hivyo si mtupe matokeo ya vituoni basi?
Nzuri hii!Hukumu bado inasomwa!!hadi saa tatu hii?au wanahesabu kura upya?hata kama ni hivyo si mtupe matokeo ya vituoni basi?
Nimeongea na jamaa angu yuko mahakamani anasema hukumu bado inasomwa. Kuweni na subira!
muulize kama bado wanaliona jua huko.
Ni giza nje bt ndani poa!
Ni giza nje bt ndani poa!
Tetesi, baada ya hukumu ya sumbawanga kuwachanganya wakulu, imebidi na matokeo ya kesi ya bimulo yabadilishwe, amini usiamini hukumu imeanza kusomwa saa kumi baada ya hakimu kupigiwa simu za vitisho na amri ili kubadili ukumu, sasa bubirini hukumu ya ajabu kama ya arusha, tetesi zimetoka jikoni kabisa
hata uchaguzi ukirudiwa, mbasa(shoka) litawapasua tena...labda tu wamzuie kugombea tena...!Tetesi, baada ya hukumu ya sumbawanga kuwachanganya wakulu, imebidi na matokeo ya kesi ya bimulo yabadilishwe, amini usiamini hukumu imeanza kusomwa saa kumi baada ya hakimu kupigiwa simu za vitisho na amri ili kubadili ukumu, sasa bubirini hukumu ya ajabu kama ya arusha, tetesi zimetoka jikoni kabisa
Ina maana jaji naye hakuajiliwa kwa mujibu wa sheria hadi atishike?
Hivi bado tu??
Hii hukumu inaweza kuwa nyeusi lol!!