Mbona kimya hivyo jamani!
Nimeongea na jamaa angu yuko mahakamani anasema hukumu bado inasomwa. Kuweni na subira!
Nimeongea na jamaa angu yuko mahakamani anasema hukumu bado inasomwa. Kuweni na subira!
Mkuu, naona subira karibu inatushinda, tangu saa 3 asubuhi hadi usiku huu!!!Nimeongea na jamaa angu yuko mahakamani anasema hukumu bado inasomwa. Kuweni na subira!
biharamulo ni afrika ya kati. saa 1 ya huku ndo saa 12 ya kule. tulia upewe updates, husiwe na presha.
Nimeongea na jamaa angu yuko mahakamani anasema hukumu bado inasomwa. Kuweni na subira!
muulize kama bado wanaliona jua huko.
kule bado ju linawaka...ndio watu wanaenda sokoni...kumbuka jua linatoea mashariki na linaishia magharibi kule ni kama kigoma...