Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Hukumu ya Kesi ya Uchaguzi Biharamulo

Nitawapatia update
jaji amechelewa kidogo

ni kupinga ubunge wa dk antony mbasa wa chadema

Jamani huyo ni Mathias Byabato yupo ndani ya mjengo.Ameanzisha uzi huo katika jukwaa la Hoja mchanganyiko labda Mod aunganishe na hii ili kupata moja.
 
Wadau kweli mnampigia jamaa simu na mie nimefurahi maana najua presha yenu iko juu kama ya kwangu. Kazi imegoma kufanyikaaaaa
 
Nadhani sasa tutapata updates kutoka kwa Mathias Byabato.Yupo humo ndani ya mahakama.
 
Hivi Bukoba wanafahamu kama kuna kitu kinaitwa Jamiiforums (hata Ta Muganyizi nshashtukia hayupo huko)
member wengi hapa JF ni Wahaya; sasa we unafikiri wanatoka wapi!! unaweza kukuta huko kwenu ndo JF hawaijui.
 
janieeee mbona hivii? mbona mnatutesa namna hii.. tupeni basi update jamani
 
*

Coverage ya biharamulo ni excellent kabisa ila kesi inaendeshwewa Bukoba mjini kwa hiyo hata wana Biharamulo Wanaisubiria vivyo hivyo kama sisi hapa!
Acha uongo bana kesi inafanyika hukohuko biharamulo na namba niliyoitoa ni ya mwananchi yuko biharamulo. Sura ya avatar yako inaonekana una busara kumbe sukari guru
 
Hivi Bukoba wanafahamu kama kuna kitu kinaitwa Jamiiforums (hata Ta Muganyizi nshashtukia hayupo huko)

Wengi bado hawajajua kama kuna kitu kinaitwa jf.Hata baadhi ya wanafunzi wa vyuo vikuu hawajui seuse normal person kama anayemsema Ta Muganyizi.Darasani wengi niliwatangazia juu ya chombo hiki.wengine wakajiunga siku hiyo hiyo.
 
Wadau kweli mnampigia jamaa simu na mie nimefurahi maana najua presha yenu iko juu kama ya kwangu. Kazi imegoma kufanyikaaaaa
bado ulikuwa ofisini, duh! kama we si mwalimu/mhadhili basi kweli we unapenda kazi yako.
 
Acha uongo bana kesi inafanyika hukohuko biharamulo na namba niliyoitoa ni ya mwananchi yuko biharamulo. Sura ya avatar yako inaonekana una busara kumbe sukari guru

Punguza munkari mtani. Tunasubiri utufahamishe ruling tu hawa wengine achana nao kwa muda wako kikazi zaidi.
 
Tupe updates hukumu haijatolewa? au wanasubiri kuisoma usiku. Sijui kisheria inaruhusiwa au jaji anataka kupewa overtime.
 
Ivi hili jambo lina ukweli wajaameni? mbona kama tunafanyiana kamchezo hivi?? Kuna hukumu leo?? saa hii?
 
Back
Top Bottom