Hukumu ya kesi ya Masheikh kutolewa Mei 19, 2021

Sep 19, 2019
43
383
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

HUKUMU YA MASHEIKH MAHAKAMA YA RUFAA KESHO

Baada ya Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani Tanzania kujipinda kwa siku 11, wakisoma mjadala kati ya Mawakili 11, wa upande wa Jamhuri na Mwakili 9, wanao watetea Masheikh, sasa wamekamilisha kazi hiyo nzito.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Masheikh, Msajili wa Mahakama ya Rufaa amewatumia wito wa kufika Mahakamani kesho Jumatano tarehe 19/05/2021, kwaajili ya kusikiliza hukumu ya rufaa iliyowasilishwa na upande wa jamhuri dhidi ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyofuta mashauri 14, dhidi ya Masheikh.

Aidha Shura ya Maimsmu Tanzania inawaomba Watanzania kuwaombea kwa Mwenyzi Mungu nduguzao ushindi katika Hukumu ya kesho.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
 
Hawa mashekhe walitesa sana watu na mambo yao Yale. Bora wale mvua ya maana ili iwe funzo kwa wngine
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

HUKUMU YA MASHEIKH MAHAKAMA YA RUFAA KESHO

Baada ya Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani Tanzania kujipinda kwa siku 11, wakisoma mjadala kati ya Mawakili 11, wa upande wa Jamhuri na Mwakili 9, wanao watetea Masheikh, sasa wamekamilisha kazi hiyo nzito.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Masheikh, Msajili wa Mahakama ya Rufaa amewatumia wito wa kufika Mahakamani kesho Jumatano tarehe 19/05/2021, kwaajili ya kusikiliza hukumu ya rufaa iliyowasilishwa na upande wa jamhuri dhidi ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyofuta mashauri 14, dhidi ya Masheikh.

Aidha Shura ya Maimsmu Tanzania inawaomba Watanzania kuwaombea kwa Mwenyzi Mungu nduguzao ushindi katika Hukumu ya kesho.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
Hayo magaidi yakitoka dunia itakua si mahala salama pa kuishi kabisaa!
 
Bora anayeshinda bar kuliko wanaoshinda wanachinja watu Msumbiji na Somalia
Na wanaoua watu palestina mbona huwasemi tunataka sheria ifuatwe sio mihemko ya vilaza ...

Hakuna sheria inayoruhusu mtu kuwekwa mahabusu miaka 7..

Mambo msumbiji waachie waliolikoroga
 
Na wanaoua watu palestina mbona huwasemi tunataka sheria ifuatwe sio mihemko ya vilaza ...

Hakuna sheria inayoruhusu mtu kuwekwa mahabusu miaka 7..

Mambo msumbiji waachie waliolikoroga
Msumbiji walilikoroga jambo gani?? mimi naona ni tamaa tu za Allah kupenda damu za watu
 
Jaji mkuu jana amewaasa majaji kwamba wanachokiona kwenye makaratasi au mafaili ya watuhumiwa katika hali ya kawaida sio makaratasi bali ni watu halisi na maisha,matumaini na ndoto zao.
Hivyo wasitoe hukumu bila kua makini
 
Bismillahir Rahmanir Rahiim

SHURA YA MAIMAMU TANZANIA

HUKUMU YA MASHEIKH MAHAKAMA YA RUFAA KESHO

Baada ya Majaji watatu wa Mahakama ya Rufani Tanzania kujipinda kwa siku 11, wakisoma mjadala kati ya Mawakili 11, wa upande wa Jamhuri na Mwakili 9, wanao watetea Masheikh, sasa wamekamilisha kazi hiyo nzito.

Kwa mujibu wa Mwanasheria Kiongozi wa Jopo la Mawakili wa Masheikh, Msajili wa Mahakama ya Rufaa amewatumia wito wa kufika Mahakamani kesho Jumatano tarehe 19/05/2021, kwaajili ya kusikiliza hukumu ya rufaa iliyowasilishwa na upande wa jamhuri dhidi ya hukumu ya Mahakama Kuu iliyofuta mashauri 14, dhidi ya Masheikh.

Aidha Shura ya Maimsmu Tanzania inawaomba Watanzania kuwaombea kwa Mwenyzi Mungu nduguzao ushindi katika Hukumu ya kesho.

Ust. Ibrahim Z. Mkondo
Msemaji wa Shura.
0713118812
UMEANDIKA VIZURIII, lakini ulipomalizia na kitu kinachoitwa "shura ya maimamu" tu hapo ndio inakufanya ukose sapoti kwa watu wengi sana, kwasababu unaonyesha aina fulani ya udini. sometimes muwe mnaficha kidogo kuingiza sana dini kwenye mambo ya msingi ili kuwaunganisha watz wote wapambane adui yao mmoja (ambaye ni ukandamizaji haki). matatizo kama haya yanawapata watanzania wa dini zote, unapoleta hapa achana na viashiria vya dini moja.
 
UMEANDIKA VIZURIII, lakini ulipomalizia na kitu kinachoitwa "shura ya maimamu" tu hapo ndio inakufanya ukose sapoti kwa watu wengi sana, kwasababu unaonyesha aina fulani ya udini. sometimes muwe mnaficha kidogo kuingiza sana dini kwenye mambo ya msingi ili kuwaunganisha watz wote wapambane adui yao mmoja (ambaye ni ukandamizaji haki). matatizo kama haya yanawapata watanzania wa dini zote, unapoleta hapa achana na viashiria vya dini moja.
Magaidi hao
 
Back
Top Bottom