Expensive life
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 1,704
- 5,480
Ndugu zangu hivi vima vya mishahara huku sekta binafsi anayepanga ni nani?
Au ndio kusema Watanzania tumetelekezwa? Viwandani wanakulipa kidogo sana, 110,000 kwa mwezi kazi ngumu, masimango aiseeh inatisha.
Au ndio kusema Watanzania tumetelekezwa? Viwandani wanakulipa kidogo sana, 110,000 kwa mwezi kazi ngumu, masimango aiseeh inatisha.