Huku ndio ushenzini kwetu

Huku ndio ushenzini kwetu

mkuhu pole sanah mkuhu hunahonekana shidah myngih sanah pole mkuhu sanah
 
Inauma mno niko Manzese huku sandton bar, ni pazuri na pana lodge nzuri tu pia, kuna mchuchu nilikutana naye jana jioni akaomba tukutane hapa leo, nimeitikia wito lakini kinachokera na kuudhi mno kaja na timu ya mashostito wamekuja kumgidia -----, hawanywi bali wanamwagia tumboni round 3 tu, nimeshakata elfu 60, na hawana dalili ya kulewa wameagiza michemsho na nyama choma, meza imechafuka, bar nzima wanasikika wao,mavazi yao mtihani, juke box wamelimiki ni taarabu kwa kwenda mbele, naitwa majina yote matamu,mfukoni nina elfu 75 tu, naangalia jinsi ya kuwatoka.

Eeh ndo ukubwa huo mkuu!
 
kama vipi nipm nije nikusaidie michepuko hiyo.
miye ndio mtaalamu wa watu kama hao...!?
 
haya ila lawama sitaki
Du pole Mpare
Mimi nilileta mahindi toka Kibaigwa Dodoma
km wananusa vile nilisifiwa na nikazungusha round
asubuhi aliyeununua mzigo akanipa nauli ya kurudi Dom, kanipigia hesabu kanilipia usafiri Scania tani 15, ushuru wa s0k0 na alizonitangulizia (advance)
Hapo Manzese sikanyagi tena
 
Du pole Mpare
Mimi nilileta mahindi toka Kibaigwa Dodoma
km wananusa vile nilisifiwa na nikazungusha round
asubuhi aliyeununua mzigo akanipa nauli ya kurudi Dom, kanipigia hesabu kanilipia usafiri Scania tani 15, ushuru wa s0k0 na alizonitangulizia (advance)
Hapo Manzese sikanyagi tena

am sure ulikuwa pande za Sweet Corner, kubaya kule hakuendani kabisa na jina lake natamani paitwe SOUR CORNER
 
Du pole Mpare
Mimi nilileta mahindi toka Kibaigwa Dodoma
km wananusa vile nilisifiwa na nikazungusha round
asubuhi aliyeununua mzigo akanipa nauli ya kurudi Dom, kanipigia hesabu kanilipia usafiri Scania tani 15, ushuru wa s0k0 na alizonitangulizia (advance)
Hapo Manzese sikanyagi tena

Hahahahahahahahha
 
Inauma mno niko Manzese huku sandton bar, ni pazuri na pana lodge nzuri tu pia, kuna mchuchu nilikutana naye jana jioni akaomba tukutane hapa leo, nimeitikia wito lakini kinachokera na kuudhi mno kaja na timu ya mashostito wamekuja kumgidia -----, hawanywi bali wanamwagia tumboni round 3 tu, nimeshakata elfu 60, na hawana dalili ya kulewa wameagiza michemsho na nyama choma, meza imechafuka, bar nzima wanasikika wao,mavazi yao mtihani, juke box wamelimiki ni taarabu kwa kwenda mbele, naitwa majina yote matamu,mfukoni nina elfu 75 tu, naangalia jinsi ya kuwatoka.

Iliwahi kunitokea, nilifanya apointiment na mdada mmoja yeye akaja na masosti wake wanne kama kuwatambishia kuwa kampata mwenye nazo, bahati nzuri waleti yangu ilikuwa nene, nilichofanya sikumuonyesha dalili zozote kuwa ameniudhi, nikawapigisha round za kutosha na nyama choma baadae nikamwita mmoja wa mashoti wake nikondoka naye nikaenda nikamgonga halafu tukarudi, alifura kama mbogo!!!!!
 
Iliwahi kunitokea, nilifanya apointiment na mdada mmoja yeye akaja na masosti wake wanne kama kuwatambishia kuwa kampata mwenye nazo, bahati nzuri waleti yangu ilikuwa nene, nilichofanya sikumuonyesha dalili zozote kuwa ameniudhi, nikawapigisha round za kutosha na nyama choma baadae nikamwita mmoja wa mashoti wake nikondoka naye nikaenda nikamgonga halafu tukarudi, alifura kama mbogo!!!!!

dawa ya moto ni faya
 
Inauma mno niko Manzese huku sandton bar, ni pazuri na pana lodge nzuri tu pia, kuna mchuchu nilikutana naye jana jioni akaomba tukutane hapa leo, nimeitikia wito lakini kinachokera na kuudhi mno kaja na timu ya mashostito wamekuja kumgidia -----, hawanywi bali wanamwagia tumboni round 3 tu, nimeshakata elfu 60, na hawana dalili ya kulewa wameagiza michemsho na nyama choma, meza imechafuka, bar nzima wanasikika wao,mavazi yao mtihani, juke box wamelimiki ni taarabu kwa kwenda mbele, naitwa majina yote matamu,mfukoni nina elfu 75 tu, naangalia jinsi ya kuwatoka.

Ndio maana mi maongezi nafanyiaga lodge, ndaniiiiiiii...najua huko tunakuwa wawili tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
siku nyingine ukiona wamekuja kundi waambie kabisa kwamba hapa mwendo ni ngumu kumeza kavu kavu bila kuchanganya bila supu uone kama atafanya tena ujinga huo
 
Ahahahaha nilikuwa na demu mitaa ya Ndugumbi-Magomeni siku ya date ya kwanza akaja na Mama yake,dada zake 2 na kaka yake Mao!!

Nilishangaa sana kwa kweli ka elfu kangu 16 kaliisha kwenye soda tu nikawaambia wazi kama sina hela wakaondoka wote huku wanatukana kila tusi unalo lijua wewe aahhahaha
 
Hahahahahahahahha
Du siku ingine nikajitosa Mrina Bar
Mabaamedi wkati wanafunga wakajazana meza yangu nikasambaza kila mmoja bia 2
acha wapigane
basi nikakimbia ku-Room ikajifanya nina demu mwingine
NDIPO NILIPOPONEA KUWAGEGEDA HAO WANAWAKE
maana Abdalla kichwa wazi hakusimama kabisa Konyagi
mshana jr siku hizi nafikia Bondeni ya zamani pale kidogo kimya unaweza lala na mauzo hata ya mahindi tani 15
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom