Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 269,632
- 697,796
- Thread starter
- #101
Du siku ingine nikajitosa Mrina Bar
Mabaamedi wkati wanafunga wakajazana meza yangu nikasambaza kila mmoja bia 2
acha wapigane
basi nikakimbia ku-Room ikajifanya nina demu mwingine
NDIPO NILIPOPONEA KUWAGEGEDA HAO WANAWAKE
maana Abdalla kichwa wazi hakusimama kabisa Konyagi
mshana jr siku hizi nafikia Bondeni ya zamani pale kidogo kimya unaweza lala na mauzo hata ya mahindi tani 15
ila bondeni hotel ya kwamacheni ni hatari, mpaka michoko inapatikana mitaa ile