uuuwii mamito takupm, nilikuwa natania tuu jamani
Mkuu komaa...Huo ni muda muafaka wa kujifunza ku-practise polygamy! Maana muda si mrefu Tanzania pia itaruhusu ndoa ya wake wengi
Ni lini ilikatazwa?
inauma mno nk manzese huku sandton bar, ni pazuri na pana lodge nzuri tu pia, kuna mchuchu nilikutana naye jana jioni akaomba tukutane hapa leo, nimeitikia wito lakini kinachokera na kuudhi mno kaja na timu ya mashostito wamekuja kumgidia -----, hawanywi bali wanamwagia tumboni round 3 tu, nimeshakata elfu 60, na hawana dalili ya kulewa wameagiza michemsho na nyama choma, meza imechafuka, bar nzima wanasikika wao,mavazi yao mtihani, juke box wamelimiki ni taarabu kwa kwenda mbele, naitwa majina yote matamu,mfukoni nina elfu 75 tu, naangalia jinsi ya kuwatoka
Hahahah sandton napajua mkuu
pole sana me nimeish karibia na hapo...mbele kidogo kuna ntaa unaitwa Mkungunu ni na expriance na madem wa manzese yan hilo picha umelivagaa vibaya...huo ndio mchezo wao...pole sana sasa nkufundishe kitu hapo kabla hawajakubakisha na hela ya bajaji..
agiza round 3 za mwisho af usilipe mwambie huyo dem uliemfata akuazime cm yake weka lain yako meambie unaenda kutoa hela pale tiptop af sepa hyo smu yake utafidia nadhan haitafika elf20....
mkuu niskize mm fanya usepe tena sasahv ...kuna mdada anaitwa zamda fuso yupo huko nimaarufu kwenye makundi ya kuwanywea watu bia..anakunywaga pipa mbili za safari
inauma mno nk manzese huku sandton bar, ni pazuri na pana lodge nzuri tu pia, kuna mchuchu nilikutana naye jana jioni akaomba tukutane hapa leo, nimeitikia wito lakini kinachokera na kuudhi mno kaja na timu ya mashostito wamekuja kumgidia -----, hawanywi bali wanamwagia tumboni round 3 tu, nimeshakata elfu 60, na hawana dalili ya kulewa wameagiza michemsho na nyama choma, meza imechafuka, bar nzima wanasikika wao,mavazi yao mtihani, juke box wamelimiki ni taarabu kwa kwenda mbele, naitwa majina yote matamu,mfukoni nina elfu 75 tu, naangalia jinsi ya kuwatoka
mie mzima ustaadhat...habari ya j'pili?Ahsante kwa salam besti. Mzima wewe?
mie mzima ustaadhat...habari ya j'pili?
Ndio maana wamekuja kukukomesha maana wanajua kitambi ni jumba la mijihelahahahahaaa Bujibuji, Umejuaje kaa ninacho?
Ah salama tu mtumishi... Nahofia kuuchakaza uzi wa ndugu mshanajr sijui kama kashapata pa kutokea. Kama hana salio kwenye mpesa au tigo pesa leo wanaweza kuishia kuchonga viazi lol