Huko twiter (X) Gen Z wamechafua sana hali ya hewa

Huko twiter (X) Gen Z wamechafua sana hali ya hewa

GT.

Aisee ukiingia twitter utachoka. Hawa genz ni hatari sana. Samia hawezi kuruhusu twiter iwe hewani kwa sasa, yanayoendelea kule ni udhalilishaji wa karne ah aha haha

Yote haya ni kumkamata Lissu idara ya ujasusi wa Samia ni ya hovyo kuwahi kutokea sasa anadhalilika kama mtoto mdogo.
Sogeza kidogo hapa mkuu.
 
GT.

Aisee ukiingia twitter utachoka. Hawa genz ni hatari sana. Samia hawezi kuruhusu twiter iwe hewani kwa sasa, yanayoendelea kule ni udhalilishaji wa karne ah aha haha

Yote haya ni kumkamata Lissu idara ya ujasusi wa Samia ni ya hovyo kuwahi kutokea sasa anadhalilika kama mtoto mdogo.
Nasikia kaipiga pin ila na yeye ana post sasa sijui anatumia nini na anataka ajibiwe vipi
 
Back
Top Bottom