Hivi huko CCM hakuna mwenye akili hata kidogo! Hata mmoja anayeweza kushauri mambo ya msingi na kuacha kufanya ujinga ambao unaliangamiza Taifa?
Ndiyo, nawauliza nyie sababu Hatuna Serikali nchi imeshikwa na CCM pamoja na vyombo vyake vya dola ambavyo navyo vinatia shaka iwapo wapo watu wenye akili hata kidogo.
Hivi hakuna anayeweza kuwashauri kuwa Taifa lilipofika halitishwi kwa Kesi za Ugaidi, uhaini sijui uchochezi bla bla?
Achilia mbali matamko ya vitisho, sasa hata risasi au bunduki imeonekana haiwezi kuwatia watu woga na kuwanyong'onyesha wakubali ujinga wenu.
Ingekuwa risasi zinaweza basi sasa hivi nchi ingekuwa kimya au ingekuwa inasifu na kuabudu ila kila mtu anamkataa aliyejipa Urais na watu wake wote tena bila kificho.
Hivi hakuna mwenye akili hata kidogo, hata mmoja awaambie wajinga wengine huko CCM kuwa mnakoelekea ni kuipeleka nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe Vita ambayo ni mbaya sana ambayo kupata Suluhu yake huwa kazi ngumu maana hujenga visasi kwa vizazi na vizazi?
Basi tufanye CCM wote huko na viongozi wenu ni wajinga mmekutana, hivi hata kale ka ubinadamu kadogo hamna ka kujua kuwa kwa sasa mioyo ya watu ina maumivu kila mnachofanya chenye kuleta maumivu kinaweza lipua bomu ambalo bado halijamalizikia kuzima?
Kwa kuwa mnaonekana kabisa hamna akili, basi mnajua na Raia hawana pia ndiyo maana mnapambana kugeuza ukweli dhahiri kuwa uongo mnaotaka nyie kwa faida zenu?
Acheni ujinga basi, shaurianeni, kama yupo mwenye akili kidogo shauri na kama hayupo basi ombeni ushauri kwa Raia mtapata ushauri ambao utakuwa wa kuliponya Taifa.
Ndiyo, nawauliza nyie sababu Hatuna Serikali nchi imeshikwa na CCM pamoja na vyombo vyake vya dola ambavyo navyo vinatia shaka iwapo wapo watu wenye akili hata kidogo.
Hivi hakuna anayeweza kuwashauri kuwa Taifa lilipofika halitishwi kwa Kesi za Ugaidi, uhaini sijui uchochezi bla bla?
Achilia mbali matamko ya vitisho, sasa hata risasi au bunduki imeonekana haiwezi kuwatia watu woga na kuwanyong'onyesha wakubali ujinga wenu.
Ingekuwa risasi zinaweza basi sasa hivi nchi ingekuwa kimya au ingekuwa inasifu na kuabudu ila kila mtu anamkataa aliyejipa Urais na watu wake wote tena bila kificho.
Hivi hakuna mwenye akili hata kidogo, hata mmoja awaambie wajinga wengine huko CCM kuwa mnakoelekea ni kuipeleka nchi kwenye vita ya wenyewe kwa wenyewe Vita ambayo ni mbaya sana ambayo kupata Suluhu yake huwa kazi ngumu maana hujenga visasi kwa vizazi na vizazi?
Basi tufanye CCM wote huko na viongozi wenu ni wajinga mmekutana, hivi hata kale ka ubinadamu kadogo hamna ka kujua kuwa kwa sasa mioyo ya watu ina maumivu kila mnachofanya chenye kuleta maumivu kinaweza lipua bomu ambalo bado halijamalizikia kuzima?
Kwa kuwa mnaonekana kabisa hamna akili, basi mnajua na Raia hawana pia ndiyo maana mnapambana kugeuza ukweli dhahiri kuwa uongo mnaotaka nyie kwa faida zenu?
Acheni ujinga basi, shaurianeni, kama yupo mwenye akili kidogo shauri na kama hayupo basi ombeni ushauri kwa Raia mtapata ushauri ambao utakuwa wa kuliponya Taifa.