Albedo
JF-Expert Member
- Feb 24, 2008
- 5,559
- 1,452
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao wanatakiwa kufika UDSM kati ya tarehe 18/10/2010 mpaka 25/10/2010 kwa ajili ya kuchukua barua za kujiunga Chuo
Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana
Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka
Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.
Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali
Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema
Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM
Naomba kuwakilisha
Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana
Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka
Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.
Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali
Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema
Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM
Naomba kuwakilisha