Elections 2010 Hujuma Zingine kwa Serikali Dhidi ya Wanavyuo hizi hapa

Albedo

JF-Expert Member
Feb 24, 2008
5,559
1,452
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao wanatakiwa kufika UDSM kati ya tarehe 18/10/2010 mpaka 25/10/2010 kwa ajili ya kuchukua barua za kujiunga Chuo

Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana

Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka

Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.

Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali

Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema

Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM


Naomba kuwakilisha
 
Mkuu hili jambo limenishangaza sana

Ratiba kamili ni hii hapa
 

Attachments

  • 2010-10-11-16-24-6_issuance_of_admission_letters.doc
    60.5 KB · Views: 147
Kilichotokea ni

1: Kuchelewa kufungua Chuo ili Wanafunzi waliojiandikisha Vyuoni washindwe kupiga kura
2: Kuwaita Madogo mapema kuchukua barua ili wasipige kura makwao

Dah, huu uchagzui umeshakuwa wa kipuuzi sana, hata hao wanaojiita waaangalizi wa Kimataifa nao ni Wapuuzi vile vile kwa kushindwa kuona umafia huu
 
Kilichotokea ni

1: Kuchelewa kufungua Chuo ili Wanafunzi waliojiandikisha Vyuoni washindwe kupiga kura
2: Kuwaita Madogo mapema kuchukua barua ili wasipige kura makwao

Dah, huu uchagzui umeshakuwa wa kipuuzi sana, hata hao wanaojiita waaangalizi wa Kimataifa nao ni Wapuuzi vile vile kwa kushindwa kuona umafia huu
mkuu, at the same time, watu wanapita kifua mbele wakisema nchi hii kuna utawala wa sheria, kuna demokrasia, kuna uongozi unaojali haki za raia, kuna uongozi sijui nini blah!! blah!!! blah!!!!
mambo mengine yananiudhi sana!
 
duh tumekwisha mko wapi mnaojua demokrasia makini na kuisimamia mcheze na hili jambo
 
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao wanatakiwa kufika UDSM kati ya tarehe 18/10/2010 mpaka 25/10/2010 kwa ajili ya kuchukua barua za kujiunga Chuo

Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana

Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka

Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.

Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali

Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema

Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM


Naomba kuwakilisha

"The University stands for humanism and tolerance, for reason, for adventure of ideas and for the search of truth. It stands for the forward march of the human race towards even higher objectives. If the universities discharge their duties adequately then it is well with the nation and the people."

- Jawaharlal Nehru
 
Ndege ya Uchumi,

Bado hatuna sababu ya kuvunjika moyo.. pamoja na hujuma zote lakini mwaka huu hawatoki.
Nafikiri ile tafiti ya kuwa vijana wengi ndo wanaunga mkono mabadiliko ndo inayowatesa..
Pamoja na hayo hata wao kuna kura watazikosa katika hizo, na hata ukichukua average ya wanafuzi wote wa 1st yr ukigawanyaq kwa idadi ya majimbo yote wastani wake si mkubwa ingekuwa hao wote wanatoka kwenye jimbo moja basi hiyo ingekuwa mbaya...Tuendelee kupiga kampeni ili wananchi pale walipo wachague mabadiliko ya kweli kwa kuchagua viongozi wanaofaa walioko kwa ajili ya manufaa ya nchi na si yao binafsi
 
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao wanatakiwa kufika UDSM kati ya tarehe 18/10/2010 mpaka 25/10/2010 kwa ajili ya kuchukua barua za kujiunga Chuo

Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana

Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka

Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.

Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali

Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema

Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM


Naomba kuwakilisha

Tusiingilie na kuathiri utendaji wa vyuo vyetu. There is life after elections.... Utaratibu wao ni kutoa barua hizo kama walivyopanga. Vinginevyo wanafunzi watashindwa kuanza masomo na baadaye tutalaumu. Vyama vyote vitaathirika kama wanafunzi wapya watashindwa kupiga kura hivyo hakuna sababu ya kulichukulia kisiasa.
Chama makini kitashinda hata kikikosa hizo kura.
 
Tusiingilie na kuathiri utendaji wa vyuo vyetu. There is life after elections.... Utaratibu wao ni kutoa barua hizo kama walivyopanga. Vinginevyo wanafunzi watashindwa kuanza masomo na baadaye tutalaumu. Vyama vyote vitaathirika kama wanafunzi wapya watashindwa kupiga kura hivyo hakuna sababu ya kulichukulia kisiasa.
Chama makini kitashinda hata kikikosa hizo kura.

Acha Ujinga wewe, Yaani kuna kitu kinaitwa Utaratibu kinaweza kikasababisha Mtu akose haki yake ya Msingi? Naona unatumia pua Kufikiri wewe
 
Ndege ya Uchumi,

Bado hatuna sababu ya kuvunjika moyo.. pamoja na hujuma zote lakini mwaka huu hawatoki.
Nafikiri ile tafiti ya kuwa vijana wengi ndo wanaunga mkono mabadiliko ndo inayowatesa..
Pamoja na hayo hata wao kuna kura watazikosa katika hizo, na hata ukichukua average ya wanafuzi wote wa 1st yr ukigawanyaq kwa idadi ya majimbo yote wastani wake si mkubwa ingekuwa hao wote wanatoka kwenye jimbo moja basi hiyo ingekuwa mbaya...Tuendelee kupiga kampeni ili wananchi pale walipo wachague mabadiliko ya kweli kwa kuchagua viongozi wanaofaa walioko kwa ajili ya manufaa ya nchi na si yao binafsi

Mhh, i am sorry kaka hii nimeishtukia, kwanini unatoa statement ya kufanya watu wapuuzie jambo la msingi kama hili. Kumbuka kura moja ni ya muhimu sana. Naomba tusikatishwe tamaa hili liendelee kufuatiliwa kwa nguvu zote!
 
There is no way that this is no politics.You have the master-minder himself ( Vice-Chancelor Prof. Mkandala) the best friend of Kikwete.

With the greatest probability the new voters are definately not in favour of rulling party (CCM).They never been part of it and what they see is things getting worse kila kukicha and so they need change and that change is not KIKWETE!

Well that said, we cannot let this go like that.

We cannot deprive the rights of the young folks in the name of utaratibu ambao unaweza kuahirishwa kama walivyofanya kwa wanafunzi wengine.

Its time for the activist pin UDSM down and let the world heard about huu uchafu.

Nawasilisha!
 
Ndege ya Uchumi,

Bado hatuna sababu ya kuvunjika moyo.. pamoja na hujuma zote lakini mwaka huu hawatoki.
Nafikiri ile tafiti ya kuwa vijana wengi ndo wanaunga mkono mabadiliko ndo inayowatesa..
Pamoja na hayo hata wao kuna kura watazikosa katika hizo, na hata ukichukua average ya wanafuzi wote wa 1st yr ukigawanyaq kwa idadi ya majimbo yote wastani wake si mkubwa ingekuwa hao wote wanatoka kwenye jimbo moja basi hiyo ingekuwa mbaya...Tuendelee kupiga kampeni ili wananchi pale walipo wachague mabadiliko ya kweli kwa kuchagua viongozi wanaofaa walioko kwa ajili ya manufaa ya nchi na si yao binafsi

mzee unajua kuwa tofauti ya kura moja tu inaweza kumpa mtu urais? Ebu hesabu ni wanafunzi wangapi watakao join UDSM mwaka huu? Ni vema tukasema kuwa Prof Mkandara amechanganyikiwa na anaweweseka kutaka kumuokoa swahiba wake!

Waache vijana hao waje kuchukua barua zao baada ya uchaguzi maana hutaki vyuo vifunguliwe!
 
Chuo Kikuu cha Dar Es Salaam Kimetoa Ratiba za wanafunzi wanaotarajia kujiunga na masomo kwa mwaka wa masomo 2010/2011 kuchukua Admission letter. Ratiba hiyo inaoonesha kwamba Wanafunzi hao wanatakiwa kufika UDSM kati ya tarehe 18/10/2010 mpaka 25/10/2010 kwa ajili ya kuchukua barua za kujiunga Chuo

Jamani hili Jambo halijafanywa kwa Bahati Mbaya, kuna mambo ambayo hii Serikali inayafanya ni ya Hatari na ni ya kipuuzi sana

Nadhani Serikali inatambua kwamba hawa wanafunzi watarajiwa wengi wamemaliza form six mwaka huu na wengi walijiandikisha kupiga kura katika maeneo wanayotoka

Sasa kuwalazimisha watoto hawa wasafiri kutoka kigoma kuja dar kuchukua Admission letter ni kuwaweka katika hatari ya kukosa haki yao ya Msingi kabisa ya Kupiga Kura.

Wengi wao ni watoto wa Maskini ambao wakishafika dar kuchukua Admission letter hawana uwezo tena wa kurudi makwao kupiga kura, hili ni pigo kubwa sana kwa Demokrasia linalofanywa na Serikali dhidi ya kundi lolote linaloonekana kuwa kinyume na Serikali

Jamani naomba wanaharakati waliangalie hili Jambo na ikiwezekana walitolee ufafanuzi mapema

Huu ni Unyongwaji wa Demokrasia unaofanywa na seriklai Dhalimu ya CCM


Naomba kuwakilisha

Mwaka huu kazi ipo kwa JK. anajaribu kuzuia wote walio kinyume na yeye wasipige kura.

Achia ngazi JK.

Wewe ni chekibobu. Wewe ni mtu wa taarabu. Hekima ya kuongoza nchi huru huna.
 
He is trying to do anything to deny the right of Voting those whom he think are against Him
 
Hapo wanachakachua kura ngapi hapo? waseme wanavijiji wote wanatakiwa kupimwa macho wilayani tareha 30th October 2010 kuna wataalam wakujitolea toka China :biggrin1:
 
mzee unajua kuwa tofauti ya kura moja tu inaweza kumpa mtu urais? Ebu hesabu ni wanafunzi wangapi watakao join UDSM mwaka huu? Ni vema tukasema kuwa Prof Mkandara amechanganyikiwa na anaweweseka kutaka kumuokoa swahiba wake!

Waache vijana hao waje kuchukua barua zao baada ya uchaguzi maana hutaki vyuo vifunguliwe!
Litakuwa wazo la Ridhiwani tu maana Baba mtu anaanguka sana:dance:
 
Back
Top Bottom