BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,769
- 288,329
- Thread starter
- #41
Hao ni wasafirishaji na si waharibifu wa barabara na ndio sababu Pinda aliona kuna umuhimu wa kubatilisha maamuzi ya Magufuli na Mkubwa wao wa kazi Kikwete hajatia neno, kwa maneno mengine anakubaliana na Pinda. Kupanda basi au kutopanda haihusu kitu kwenye mjadala huu unaohusu kukurupuka mara kwa mara kwa huyo Magufuli.
Umeshawahi kupanda basi kaka? Kwa nini kila mizani abiria tunaambiwa sogea mbele. Inawezekana kweli kuna makosa kwenye kutafsiri 5% tolerance, lakini mimi siwezi kutetea hawa waharibifu wa barabara!