Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.

R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Hiyo gari ingekuwa speed kama ya pkpk isingesimama hapo, ingekutwa porini tayari nayo.
 
Boda yupo upande wake Ila huyo wa gari akahama lane akaja kwa boda lane
Angalia vzuri mkwaruzo nyuma ya gari, means gari baada ya kugonga iliburuza hiyo pikipiki mita kadhaa, angalia historia/chanzo ya tukio lilikotokea kwa kuangalia nyuma ukiangalia nyuma utaona gari ilimchapa Boda ikiwa mahala pake aidha alikua ana overtake na kuhama kwa hiyo gari ni matokeo ya kugonga. Hii ni kwa mujibu wa kusoma picha, naweza kuwa siko sahihi pia maana sikuona tukio.
 
Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.

R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Kuna watu wengi sana hawawezi kuielewa hii picha kiundani, kwamba mwenye makosa ni dereva wa gari.
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.


Yani kapindisha Bull bar ya hard top na radiator?
 
Unajua sijaelewa,kwa hiyo hapo kwenye ajali dereva wa hiyo Hard Top Land Cruiser alirushwa kwenye carrier juu akafa na boda akaingia mvunguni?

Au ni abiria wa pikipiki alirushwa hapo kwenye carrier?
Walikuwa wanashindana wawili. Jamaa wa gari alikuwa na wageni. Kuona vile akasimama wenyewe wakaja kutua kwenye gari. Mambo ya Arachuga hayo
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
CCM inataka kuwamaliza waendesha boda boda kwa ajali wananchi tunashauri waondolewe barabarani CCM inasema ni wapiga kura wetu
 
Wengi mumemlaumu afisa usafirishaji na mkasahau kuhusu swala la site ya dereva wa hiyo gari😁😁😁. Munang’ang’ania spidi ya boda utafikiri hiyo gari ni jiwe. Nawakumbusha tu wanaoendesha hizo gari za kubeba watalii wanakimbia sana hasa wakiwa wanawafuata watalii.

R.I.P mpambanaji 🥹🥹🥹
N.b mimi sio afisa usafirishaji.
Kuna mkwaruzo nyuma ya gari kuonyesha ametoka na wahanga kwenye site yake mpaka hapa iliposimamia.

Gari haikuwa site hii,imehamishwa na tukio.
 

Imetokea jana hapa mkoani Arusha eneo karibu na kiwanda cha mbolea cha Minjingu.

Hapo chini kuna pikipiki na mtu ambaye tyre ya gari imepanda kichwani na juu ya chuma jirani na kioo cha mbele na roof huyo ni afisa usafirishaji baada ya kuchapwa ndiye katulia hapo jumla.

Kwa muonekano huo wa gari hadi kukunjika bodi na vyuma, unaweza kuhisi ni spidi aina gani afisa usafirishaji alikuwa nayo.
Bodaboda ndo wanaongoza Uvunjifu wa Sheria Barabarani Kwenye Bams kasi kama yote Ukivuka anavuka na wewe, Wanapovunjika mkono malizieni na mwingine
 
Back
Top Bottom