Uchaguzi 2020 Huenda Askofu Gwajima akawa ni msaada mkubwa kwa nchi yetu

Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.

1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu

2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.

3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.

4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.

5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.

Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Ni upuuz mtupu ila jitahdi kura yako umpe lisu
 
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.

1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu

2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.

3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.

4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.

5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.

Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru

Wewe ndo Gwajima mwenyewe bila shaka alafu naona team gwajima imekuja kwa fujo kusupport hapa, bila shaka mlipeana task huko group la whatsapp kuja kushambulia
 
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.

1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu

2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.

3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.

4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.

5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.

Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Tapeli tu kama mm na wewe hana lolote
 
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.

1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu

2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.

3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.

4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.

5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.

Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Sitakupa kura mpumbavu na tapeli ...nitakuwa mtu wa mwisho kumpigia huyu tapeli hata kama amebakibi yeye duniani...ni hapana
 
Ni mkichaa tuu atakaye muunga mkono huyu mzinzi, askofu mchwara asiyekuwa na maadili ya kiongozi wa dini.
Hizo sifa anazo mwenyekiti wa saccos yako na chama chake. Kawe imetwaliwa toka mikononi mwa masagaji na kupewa mtumishi wa Mungu. Jambo hilo ni kweli.
 
Back
Top Bottom