Alafu badala waje kwa akili, yanakuja yote kama yamekatwa kichwa.Naona mataga mmekuja kujifariji humu jukwaani ,vp lkn wakuu gwajima anatoa ile part 2 lini ?
Hivi tuulizane mpaka sasa Halima amefanya nini, tunamchora tu na kakitabu kake kale
Wamekuja kishamba sanaHizi propaganda zenu hebu jaribuni kuzipeleka facebook na Instagram ndio sehemu zake,huku jaribuni kuja na propaganda zile za ndani sana (interior)labda mnaweza mkatushawishi,ndio maana huu mtandao umeitwa home of great thinkers
Kazi kubwa ya mbunge ni kuwasemea wananchi wake bungeni hivyo kama kuna kitu hakijafanyika lawama zote ni kwa serikali ya ccmHivi tuulizane mpaka sasa Halima amefanya nini, tunamchora tu na kakitabu kake kale
Gwajima ni phd holder yupo kwa ajili ya kuhudumia watu na siasa ni watu, tumpe nafasi anaweza sana.
Ndio hao na mm nawazungumzia mkuu,nimesema viongozi type ya GwajimaIla hawa wa makanisa ya maturubai sitakaa niwaamini
Mkuu Atalasi Kopoko, rukhsa kutupuuza utakavyo, ila baada ya tarehe 28 October, huwezi kupuuza matokeo ya kipigo, itakuwa ni heshima na adabu.Nyie wote walewale tuu Praise team,tumeamua kuwapuuza tuu
Tumechagua kuwapuuza full stopMkuu Atalasi Kopoko, rukhsa kutupuuza utakavyo, ila baada ya tarehe 28 October, huwezi kupuuza matokeo ya kipigo, itakuwa ni heshima na adabu.
P
Ni upuuz mtupu ila jitahdi kura yako umpe lisuTukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Gwaji boy mwizi tu kashindwa kujenga kanisa ila helicopter kanunua..kibaka tuHivi tuulizane mpaka sasa Halima amefanya nini, tunamchora tu na kakitabu kake kale
Tukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Tapeli tu kama mm na wewe hana loloteTukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Ni vichaa tu watamchagua Gwajima.Kuna watu akili wamezikalia kabisa, huwezi kabisa kuwa na akili iko kichwani ukawaza kumchagua mtu tofauti na Gwajima kwa Kawe.
kanisa limemshinda mpaka anakula kondooKanisa la kujenga tu ni mzigo kwake, ataiweza Kawe.
Sitakupa kura mpumbavu na tapeli ...nitakuwa mtu wa mwisho kumpigia huyu tapeli hata kama amebakibi yeye duniani...ni hapanaTukiondoa itikadi za vyama na ushabiki usio na maana sana hasa kwa kipindi kama hiki cha uchaguzi, tujikite sasa kuangalia msaada wa mtu binafsi kwa jamii husika. Askofu Gwajima ambaye ni kiongozi wa kiroho upande wa Wakristo na mgombea ubunge Jimbo la Kawe kupitia CCM anaweza kuwa msaada mkubwa kwa jamii. Nitaweka baadhi ya shahidi amabzo kwangu naona ziko sahihi.
1. Askofu kuwa mbunge ni alama tosha kuwa kuna alama ya unyenyekevu inaongezeka bungeni, na huu ndio muda pia maimamu wetu kuamka na kuchukua nafasi bungeni. Hii itasaidia mambo yanayopitishwa na bunge kuwa na maslahi ya kiMungu ambapo Mungu ndio mmiliki wa watu
2. Muamko mkubwa kwenye kampeni za Gwajima ambapo jambo kubwa linaloongelewa na wananchi ni NJOO UTUSAIDIE ASKOFU linaonesha wazi uwezekano wa Askofu Gwajima kuwa msaada unakuja kwa kasi jimboni.
3. Sera za maendeleo zinazotolewa na Gwajima huenda zikaibadilisha Kawe kuwa mpya kama kauli mbiu ilivyo.
4. Exposer yake nje na ndani ya nchi sio ya kubezwa na mtu, ameonekana kuanza maongezi na viongozi wa serikali huku akianza mara moja utekelezaji wa ahadi hata kabla ya kuapishwa. Watu waliokuwa na migogoro ya ardhi kule Chasimba wameishapata jibu lao mapema.
5. Kama Askofu Gwajima atashinda ubunge. Huenda tukaanza kujilaumu kwanini hatukujua mapema tukamshtua agombee ile miaka 10 tuliyokuwa tunaongozwa na Halima Mdee ambaye amemaliza muda wake.
Imeandikwa na;
Mchambuzi Huru
Hizo sifa anazo mwenyekiti wa saccos yako na chama chake. Kawe imetwaliwa toka mikononi mwa masagaji na kupewa mtumishi wa Mungu. Jambo hilo ni kweli.Ni mkichaa tuu atakaye muunga mkono huyu mzinzi, askofu mchwara asiyekuwa na maadili ya kiongozi wa dini.