SIR MGAX
JF-Expert Member
- Dec 10, 2023
- 1,276
- 2,144
Umetype kwa hisia sana mkuu.Mwambie huyo dada maisha ni magumu kwa kila mtu hivyo atulie kwenye ndoa yake
Umetype kwa hisia sana mkuu.Mwambie huyo dada maisha ni magumu kwa kila mtu hivyo atulie kwenye ndoa yake
Kwenye mambo kama hayo, kama mdada sio mke wa mtu, na ananivutia ila kaniomba hela, nafsi yangu inakua na pande 3We nae una njaa pia.
Yaani elfu 30 ndo utake kumdhalilisha? Kama kumgea si ungetuma kupitia wakala!
Kweli ila akijileta sana siwezi poteza zaliMke wa mtu ni sumu, narudia mke wa mtu ni sumu
Nchi ya ujamaa hii.Wasaidieni kudumisha ujamaa.Wakuu mliooa hudumieni Hawa wake zenu.Huku nje wanaomba omba mno pesa
anaweza akawa yupo humu anajisomea mwenyewe jumbewake kwa friji haligandishi maarufu hawala wakeUmemwambia kuwa umemuanika huku?
Haufai kuwa rafiki wa mtu wewe.Ukijiendekeza hivyo utawadinya wangapi?Kweli ila akijileta sana siwezi poteza zali
Very sad indeed!Kwenye mambo kama hayo, kama mdada sio mke wa mtu, na ananivutia ila kaniomba hela, nafsi yangu inakua na pande 3
1)Upande wa kwanza nakua namuonea huruma, natamani nimpe bila kumdai chochote.
2) Upande wa pili nakua namtamani
3) Upande wa tatu nawaza nikimuomba ngono ntakua kama namtesa na kumnyanyasa, yani ni kama natumia shida yake for my own advantage, pengine asingekua na shida asingetaka fanya mapenzi na mimi.
It's a very sad life
Hulda-Tamarri
Pesa ikipatikana pia kuwe na hali ya kuridhika na hiyo pesa iliyopo.Tusichoke kutafuta hela, umasikini unadhalilisha sana........
Balaa linamtafuta huyu dogoDogo jifunze kuwa na kaba, kifua.
Wanawake wengi tu wanalika bila kelele sasa sijui wewe wa wapi
Na Mungu atupe hekima ya kuzitumia vizuri make pesa inaleta kimbunga kichwaniPesa ikipatikana pia kuwe na hali ya kuridhika na hiyo pesa iliyopo.
Eric anajiona mwamba hadi kuleta uzi jf kwa 30k yake.Tusichoke kutafuta hela, umasikini unadhalilisha sana........
Mtemee kohozimimi juzi nimempa mke wa rafiki ya ten anywe bia ila naona anajileta sana.......