Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

iPhone model supported

  • Iphone 3G
  • Iphone 3GS
  • Iphone 4
  • Iphone 4S
  • Iphone 5
  • Iphone 5C
  • Iphone 5S
Call/ sms 0768 92 48 41, Karibu

Iphone 5


Sent from my iPhone 5 using JamiiForums
 
Mkuu zile simu za Hauwei za TTCL ambazo zinatumia line zake tu unaweza pia kuzitibu? Kama ni ndiyo nitakutumia EMEI.

Hapa ngoja nikujibu.

TTCL wanatumia aina ya simu ambayo inatumia teknolojia ya CDMA (Code Division Multiple Access) ambayo ina uwezo mkubwa zaidi hasa katika mawasiliano ya "data". Kampuni nyingine inayotumia teknolojia ya CDMA ni Zantel, japokuwa Zantel nao wanatumia teknolojia ya GSM. Kampuni nyinge zote za simu zinatumia GSM, japokuwa kwa upande wa "data", wapo wanaodai kwamba wanatumia teknolojia ya CDMA. Hili sijathibitisha.

Kwa hiyo, ukiwa na simu ya TTCL, ukiweka line nyingine yoyote ile ISIPOKUWA ya CDMA, haitafanya kazi. Uamuzi huu ulifanywa makusudi na TTCL ili kuweza kukuletea huduma BORA ZAIDI, kwa kuwa kiwango cha mawasiliano kwa upande wa CDMA - kwa sauti na data - ni cha juu zaidi, na pia, teknolojia hii ina gharama nafuu zaidi kuliko teknolojia ya GSM ambayo kwa sasa haiwezi kushindana na teknolojia ya CDMA (ambayo inaweza kuongezwa ubora hadi kufikia WiMax na LTE kwa urahisi zaidi).

Hata ukijaribu kutumia IMEI, bila ya kuwa na line ya CDMA (ambayo haiitwi SIMcard bali inaitwa RUIMcard), hutaweza kuitumia simu yako kwenye mitandano mingine, ISIPOKUWA TTCL na Zantel.

Nimesomeka.
 
Umesomeka vyema kabisa MwanaHaki ,haya maelezo uliyotoa yatakuwa msaada kwa walio wengi hapa JF.
KARIBU
 
Last edited by a moderator:
Hapa ngoja nikujibu.

TTCL wanatumia aina ya simu ambayo inatumia teknolojia ya CDMA (Code Division Multiple Access) ambayo ina uwezo mkubwa zaidi hasa katika mawasiliano ya "data". Kampuni nyingine inayotumia teknolojia ya CDMA ni Zantel, japokuwa Zantel nao wanatumia teknolojia ya GSM. Kampuni nyinge zote za simu zinatumia GSM, japokuwa kwa upande wa "data", wapo wanaodai kwamba wanatumia teknolojia ya CDMA. Hili sijathibitisha.

Kwa hiyo, ukiwa na simu ya TTCL, ukiweka line nyingine yoyote ile ISIPOKUWA ya CDMA, haitafanya kazi. Uamuzi huu ulifanywa makusudi na TTCL ili kuweza kukuletea huduma BORA ZAIDI, kwa kuwa kiwango cha mawasiliano kwa upande wa CDMA - kwa sauti na data - ni cha juu zaidi, na pia, teknolojia hii ina gharama nafuu zaidi kuliko teknolojia ya GSM ambayo kwa sasa haiwezi kushindana na teknolojia ya CDMA (ambayo inaweza kuongezwa ubora hadi kufikia WiMax na LTE kwa urahisi zaidi).

Hata ukijaribu kutumia IMEI, bila ya kuwa na line ya CDMA (ambayo haiitwi SIMcard bali inaitwa RUIMcard), hutaweza kuitumia simu yako kwenye mitandano mingine, ISIPOKUWA TTCL na Zantel.

Nimesomeka.
hapo kwenye bluu mahaba yako kwa ttcl yamepitiliza!!!

hapo kwenye nyekundu kama zantel wameweza kuwa na both technology, why ttcl nao wasingekuwa an both technology kwa ajili ya kulenga wateja wengi zaid??!!
 
Ni Huawei e153.
Kuna method mbili za kufanyia unlocking hii modem HUAWEI E153
 
Ebwana!..simu yenyewe ni nokia lumia 920,IMEI Number ni "353680055989463",imekuwa locked na mtandao wa AT&T-USA,vipi garama yake ndugu?
 
Ebwana!..simu yenyewe ni nokia lumia 920,IMEI Number ni "353680055989463",imekuwa locked na mtandao wa AT&T-USA,vipi garama yake ndugu?
  • IMEI analysis Rewsults
eR45yD
Unlocking info:


  • Cost : tsh 112'000 /- tu
  • Waiting time: 5 - 10 Working Days
NB: Isiwe katika kundi la blacklisted Phones
KARIBU
 
nataka kuagiza lumia 920 locked AT&T online,bei gan mkuu kuiunlock?
 
Sio kweli ndugu,nimeicheck Hapa ni lumia 920,"imei ni 353680055989463",inatumia windows 8,na carrier wake ni AT&T-USA.
 
Watu kama hawa ndio wanaendeleza wizi,hakuna simu iliyojilock zaidi ya kulockiwa na mwenyewe halafu ikaibiwa.
Tujenge utamaduni wa kununua simu madukani na sio simu za wizi.
 
Back
Top Bottom