Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Watu kama hawa ndio wanaendeleza wizi
> Watu gani hao?
>> Sidhani kama umefuatilia vyema huu uzi
hakuna simu iliyojilock zaidi ya kulockiwa na mwenyewe halafu ikaibiwa.
> Huu uzi hauhusiki na simu iliyojilock wala ku_lockiwa halafu ikaibiwa
>> Simu zinazohusika hapa ni zile ziko locked katika mtandao mmoja, Mfano HUAWEI Y530 , hii simu inaizwa na kampuni ya simu ya tiGO kwa bei nafuu,na iko locked kwa huu mtandao wa tiGo Si wote wanunuao hii simu wanataka huduma ya tiGo, HIvyo huamua kufanyia unlocking ili iweze kutumia laini za mitandao mingine, na hata ukisafiri nje ya nchi utaendelea kutumia simu yako kwa mitandao ya nchi utakayokuwa umetembelea
Tujenge utamaduni wa kununua simu madukani na sio simu za wizi.
> Rejea tena dhumuni la huu uzi
>> Ondoa dhana ya wizi wa simu.
>>> Hivi leo simu ya NOKIA LUMIA 635 ambayo bado usambazaji wake bado, inauzwa na Kampuni ya AT&T - USA kwa dola 100 tu. Hii ipo locked kwa mtandao wa AT&T, hivyo si ajabu watu wakafanya order toka USA ikiwa locked na wakaomba huduma ya kufanyiwa unlocking hapa JF.
KARIBU NDUGU
Watu kama hawa ndio wanaendeleza wizi,hakuna simu iliyojilock zaidi ya kulockiwa na mwenyewe halafu ikaibiwa.Tujenge utamaduni wa kununua simu madukani na sio simu za wizi.
 
Imei no ya simu yangu ni 359729055887567 charge yake itakuwa bei gani kwa huduma hizo za unlocked?
 
Imei no ya simu yangu ni 359729055887567 charge yake itakuwa bei gani kwa huduma hizo za unlocked?
n3lM0t

# Cost yake ni TSH 18'500
# Network unlock Code utazipata ndani ya saa 24
# Karibu Sana
 
Asante nitakutafuta mwl kwani natarajia kusafiri kwenda nchi zingine sasa hii line ya voda inaweza isipatikane huko asante sana nitakutafuta na nitajulisha via simu
n3lm0t

# cost yake ni tsh 18'500
# network unlock code utazipata ndani ya saa 24
# karibu sana
 
  • Ndugu jumannezakayo ingekuwa vyema ukaanzisha uzi wakwako unaojitegemea kuhusiana nahuduma zako.
  • Ni vyema kutumia haya majukwaa kama ilivyo kusudiwa.
  • Bilashaka unenielewa
  • Karibu

uko sahihi kabisa ndugu mwl rct. Tabia hii sio nzuri
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Mwl.RCT nilishakupa imei yangu siku nyingi vipi?
hii hapa
355972050310763
ilikuwa inatumia mtandao wa t mobile huko USA
Karibu
 
Kiwanja nauza kipo nzega,umbali wa dakika tano kwa gari toka nzega paking,bei milioni moja laki mbili,kwa aliyetayari ani pm. Pia pikipiki aina ya fecon ninaiuza kwa bei ya milion moja laki tatu,inacomprehensive bima mwaka mmoja na risiti za manunuzi ya dukani unapewa, ni pm tuwasiliane.
 
Mkuu Mwl.RCT nilishakupa imei yangu siku nyingi vipi?
hii hapa
355972050310763
ilikuwa inatumia mtandao wa t mobile huko USA
Karibu
 
bQXXaY

~# Unlock code cost yake ni TSH 43'000 tu.
~#Waiting time ni Siku mbili [ Za kazi ]
~# Fanya malipo kwa moja ya namba zangu hapo juu ndipo Order yako itafanyiwa kazi
~# Karibu Sana
Mkuu Mwl.RCT nilishakupa imei yangu siku nyingi vipi?
hii hapa
355972050310763
ilikuwa inatumia mtandao wa t mobile huko USA
Karibu
 
Mwl. RCT hii huduma inahusisha na iphone?
# Hata iphone yaweza kufanyiwa kazi
# Angalizo: Laima uwe na valid login info za iTune
# Sababu unlock codes zake huja kama update kupitia iTune
# Yaani uki connect simu kwa PC na uka_login in katika account automatic Update itajitokeza na baada ya ku_accept hiyo update unakuwa tayari ume_unlock simu yako ya iPhone
#Huchukua wiki 3 hadi 4 kupata unlock codes za iPhone toka kwenye servers za apple.

KARIBU​
 
Last edited by a moderator:
# Hata iphone yaweza kufanyiwa kazi
# Angalizo: Laima uwe na valid login info za iTune
# Sababu unlock codes zake huja kama update kupitia iTune
# Yaani uki connect simu kwa PC na uka_login in katika account automatic Update itajitokeza na baada ya ku_accept hiyo update unakuwa tayari ume_unlock simu yako ya iPhone
#Huchukua wiki 3 hadi 4 kupata unlock codes za iPhone toka kwenye servers za apple.

KARIBU​

Sasa hii iphone mkuu iTune iko locked hakuna namna ya ku bypass hizo p/w?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom