Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Salamu mkuu,
HONGERA sana kwa kufanya hii huduma, maana umeisogeza kwa watu Hasa wasioweza lipia Moja kwa Moja kwa wahusika wanao unlock,

NOTES:
naona ujatoa WARNING kwa watu ambao wanataka ku unlock iPhone zao ina case FIND MY PHONE IKIWA ON, nivyema ili ukaliweka wazi kwenye MAIN post utakujalaumiwa hawa sio muda, maana iPhone zina masharti maalumu ku unlock,
Again HONGERA kwa kuiona hii huduma kitofauti,

  • Je simu yako ni ya NOKIA, LG, MOTOROLA au HUAWEI na inatumia laini moja?.
  • Je ukiweka laini tofauti simu inakutaka uweke unlock codes?

Kama jibu ni ndio basi hii thread inakuhusu. Karibu

Je ni Jinsi gani ya kufungua(unlock) simu kwa kutumia unlock codes?

  • Kufungua(unlocking) simu kwa kutumia codes ni rahisi sana. Ili kupata unlock code kwa ajili ya simu inatakiwa utoe IMEI namba ya simu. Andika kwenye simu yako * # 06 # au kwa kuondoa betri kutoka kwenye simu yako utakuta IMEI namba imeandikwa.
gwbuFY

Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu yangu?
  • Fuata hizi hatua:
1. Nipatie model and brand mfano: Nokia N97 au HUAWEI ASCEND Y300, na IMEI number yako tu, kwenye comment ya hii thread
2. Nitakujibu comment kwa kuainisha gharama ya unlock code kwa simu yako.kumbuka Kila aina ya simu ina gharama yake.
3. Utafanya malipo ili kupata unlock code yako.
4. Muda wa kupata unlock code ni ndani ya masaa mawili (2) hadi 24(siku moja) inategemeana na aina ya simu yako.

Je ni simu zipi zinahusika katika hii huduma?

  • Ni zile tu ambazo ukiweka laini nyengine tofauti, mfano yaweza kuwa ni simu yako ni NOKIA, LG, MOTOROLA, HUAWEI,nk,ila inakutaka uingize unlock codes. Hii haihitaji uende ofisini kwa fundi ni wewe mwenyewe mahala ulipo unaweza fanyia unlocking simu yako. Kwa kuingiza unlock code ulizo nunua.

Kwa nini simu yako inapaswa kuwa unlocked?

  • Simu ambayo ni unlocked utaweza kuitumia kwenye mitandao mingine. Pia baada ya kusafiri nje ya nchi utaweza kuitumia kwenye mitandao na nchi husika. Vile vile ili Kuongeza thamani ya simu yako
kwa sababu inaweza kutumika kwa laini za simu tofauti tofauti.

Je, ni salama ku unlock simu yako kwa kutumia code itokanayo na IMEI namba yako?

  • Kufungua(unlocking) kwa njia ya code ni salama kabisa na ndio njia ipendekezwayo zaidi. Simu yako itakuwa salama bila kuathiri muundo wake wa programu. Pia hizi code hutokana na watengenezaji wa simu husika wenyewe.
----------------------------------------------------------------
XWPok8

UNLOCK SASA SIMU YAKO PENDWA YA HUAWEI
Y530 NA Y330 KWA TSH 25'000 TU, ILI UTUMIE LAINI YEYOTE ILE

UTAPATA CODES ZAKO NDANI YA DAKIKA 45
---------------------

33psQc
u9usNn

----------------------------

Mawasiliano:
Mwl.RCT
>> Whatsapp # 0784 496 856

>> Skype #: Mw1rct

>> tigo #: 0717 54 57 62

>> Voda #: 0768 92 48 41

>> Airtel #: 0784 496 856

Kwa Wakazi wa Mwanza tu Piga hii simu: 0787 921 515 { Eraldius } Ili kufika katika ofisi yetu.
Karibuni Sana kwa huduma bora na ya hakika.
 
Simu yangu ni Samsung SoftBank 730sc Imei 35540002066981/1 line moja na line zote ni locked nipe Bei
 
iPhone 3gs ios 6.1.6, bb 06.15.00 baada ya ku update na jailbreak still inatatizo la NO SERVICE/SEARCHING.....
Ni hudumie
 
Simu yangu ni Samsung SoftBank 730sc Imei 35540002066981/1 line moja na line zote ni locked nipe Bei

~ Sorry ndugu
~ Hii simu haipo kwenye database yetu. Haitowezekana
~Karibu
 
Mi naomba kukuuliza mwl mwenzangu kuwa hivi simu ikiwa ime lokiwa iwe kwa password/pin au hata kwa network fulani, je ukii flash simu hiyo si utakuwa umeondoa lock zote zilizowekwa katika hiyo simu, ziwe za password au zanetwork??
 
Mi naomba kukuuliza mwl mwenzangu kuwa hivi simu ikiwa ime lokiwa iwe kwa password/pin au hata kwa network fulani, je ukii flash simu hiyo si utakuwa umeondoa lock zote zilizowekwa katika hiyo simu, ziwe za password au zanetwork??

Hapana haiwezekani.
 
Mwl mimi nipo nzega kuna mdada mmoja jana alikuwa na simu ya huawei ascend y 330 ila imelokiwa ktika mtandao wa tigo yaani ukiweka laini tofauti na tigo inakuambia uweke unlok me sim code. Tulikuwa tunajadiliana tufanyaje, sasa ni bei gani ku unlock hiyo simu ili nikamwambie
 
Mwl mimi nipo nzega kuna mdada mmoja jana alikuwa na simu ya huawei ascend y 330 ila imelokiwa ktika mtandao wa tigo yaani ukiweka laini tofauti na tigo inakuambia uweke unlok me sim code. Tulikuwa tunajadiliana tufanyaje, sasa ni bei gani ku unlock hiyo simu ili nikamwambie
  • Tsh 25'000, Karibu
 
Mkuu fanya Offer kwangu, sina ela Kiongozi.
 
Back
Top Bottom