Babuu wa ngereza
Senior Member
- Feb 23, 2013
- 134
- 12
Asante sana mkuu sasa hivi natumia line yoyote bila shida
- Je simu yako ni ya NOKIA, LG, MOTOROLA au HUAWEI na inatumia laini moja?.
- Je ukiweka laini tofauti simu inakutaka uweke unlock codes?
Kama jibu ni ndio basi hii thread inakuhusu. Karibu
Je ni Jinsi gani ya kufungua(unlock) simu kwa kutumia unlock codes?
- Kufungua(unlocking) simu kwa kutumia codes ni rahisi sana. Ili kupata unlock code kwa ajili ya simu inatakiwa utoe IMEI namba ya simu. Andika kwenye simu yako * # 06 # au kwa kuondoa betri kutoka kwenye simu yako utakuta IMEI namba imeandikwa.
Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu yangu?![]()
1. Nipatie model and brand mfano: Nokia N97 au HUAWEI ASCEND Y300, na IMEI number yako tu, kwenye comment ya hii thread
- Fuata hizi hatua:
2. Nitakujibu comment kwa kuainisha gharama ya unlock code kwa simu yako.kumbuka Kila aina ya simu ina gharama yake.
3. Utafanya malipo ili kupata unlock code yako.
4. Muda wa kupata unlock code ni ndani ya masaa mawili (2) hadi 24(siku moja) inategemeana na aina ya simu yako.
Je ni simu zipi zinahusika katika hii huduma?
- Ni zile tu ambazo ukiweka laini nyengine tofauti, mfano yaweza kuwa ni simu yako ni NOKIA, LG, MOTOROLA, HUAWEI,nk,ila inakutaka uingize unlock codes. Hii haihitaji uende ofisini kwa fundi ni wewe mwenyewe mahala ulipo unaweza fanyia unlocking simu yako. Kwa kuingiza unlock code ulizo nunua.
Kwa nini simu yako inapaswa kuwa unlocked?
kwa sababu inaweza kutumika kwa laini za simu tofauti tofauti.
- Simu ambayo ni unlocked utaweza kuitumia kwenye mitandao mingine. Pia baada ya kusafiri nje ya nchi utaweza kuitumia kwenye mitandao na nchi husika. Vile vile ili Kuongeza thamani ya simu yako
Je, ni salama ku unlock simu yako kwa kutumia code itokanayo na IMEI namba yako?
- Kufungua(unlocking) kwa njia ya code ni salama kabisa na ndio njia ipendekezwayo zaidi. Simu yako itakuwa salama bila kuathiri muundo wake wa programu. Pia hizi code hutokana na watengenezaji wa simu husika wenyewe.
----------------------------------------------------------------
![]()
UNLOCK SASA SIMU YAKO PENDWA YA HUAWEI
Y530 NA Y330 KWA TSH 25'000 TU, ILI UTUMIE LAINI YEYOTE ILE
UTAPATA CODES ZAKO NDANI YA DAKIKA 45
---------------------
![]()
![]()
----------------------------Mawasiliano:
Mwl.RCT
>> Whatsapp # 0784 496 856
>> Skype #: Mw1rctKwa Wakazi wa Mwanza tu Piga hii simu: 0787 921 515 { Eraldius } Ili kufika katika ofisi yetu.
>> tigo #: 0717 54 57 62
>> Voda #: 0768 92 48 41
>> Airtel #: 0784 496 856
Karibuni Sana kwa huduma bora na ya hakika.
Habari yako ndugu.
Je ipo locked kwa mtandao wa nchi gani? Na ni mtandao upi?
Mi naomba kukuuliza mwl mwenzangu kuwa hivi simu ikiwa ime lokiwa iwe kwa password/pin au hata kwa network fulani, je ukii flash simu hiyo si utakuwa umeondoa lock zote zilizowekwa katika hiyo simu, ziwe za password au zanetwork??
Mwl mimi nipo nzega kuna mdada mmoja jana alikuwa na simu ya huawei ascend y 330 ila imelokiwa ktika mtandao wa tigo yaani ukiweka laini tofauti na tigo inakuambia uweke unlok me sim code. Tulikuwa tunajadiliana tufanyaje, sasa ni bei gani ku unlock hiyo simu ili nikamwambie
- Je simu yako ni aina gani ?