Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

Huduma: Unlocking Phone by IMEI Number

  • Je simu yako ni ya NOKIA, LG, MOTOROLA au HUAWEI na inatumia laini moja?.
  • Je ukiweka laini tofauti simu inakutaka uweke unlock codes?

Kama jibu ni ndio basi hii thread inakuhusu. Karibu

Je ni Jinsi gani ya kufungua(unlock) simu kwa kutumia iunlock codes?

  • Kufungua(unlocking) simu kwa kutumia codes ni rahisi sana. Ili kupata unlock code kwa ajili ya simu inatakiwa utoe IMEI namba ya simu. Andika kwenye simu yako * # 06 # au kwa kuondoa betri kutoka kwenye simu yako utakuta IMEI namba imeandikwa.
View attachment 110147View attachment 110148
Au
View attachment 110149

Je kipi nifanye ili kupata hizo unlock code za simu yangu?
  • Fuata hizi hatua:
1. Nipatie model and brand mfano: Nokia N97 au HUAWEI ASCEND Y300, na IMEI number yako tu, kwenye comment ya hii thread
2. Nitakujibu comment kwa kuainisha gharama ya unlock code kwa simu yako.kumbuka Kila aina ya simu ina gharama yake.
3. Utafanya malipo ili kupata unlock code yako.
4. Muda wa kupata unlock code ni ndani ya masaa mawili (2) hadi 24(siku moja) inategemeana na aina ya simu yako.

Je ni simu zipi zinahusika katika hii huduma?

  • Ni zile tu ambazo ukiweka laini nyengine tofauti, mfano yaweza kuwa ni simu yako ni NOKIA, LG, MOTOROLA, HUAWEI,nk,ila inakutaka uingize unlock codes. Hii haihitaji uende ofisini kwa fundi ni wewe mwenyewe mahala ulipo unaweza fanyia unlocking simu yako. Kwa kuingiza unlock code ulizo nunua.

Kwa nini simu yako inapaswa kuwa unlocked?

  • Simu ambayo ni unlocked utaweza kuitumia kwenye mitandao mingine. Pia baada ya kusafiri nje ya nchi utaweza kuitumia kwenye mitandao na nchi husika. Vile vile ili Kuongeza thamani ya simu yako
kwa sababu inaweza kutumika kwa laini za simu tofauti tofauti.

Je, ni salama ku unlock simu yako kwa kutumia code itokanayo na IMEI namba yako?

  • Kufungua(unlocking) kwa njia ya code ni salama kabisa na ndio njia ipendekezwayo zaidi. Simu yako itakuwa salama bila kuathiri muundo wake wa programu. Pia hizi code hutokana na watengenezaji wa simu husika wenyewe.

Mawasiliano:
Mw. RCT Simu Namba: 0768 924 841 au 0784 496 856
Kwa wakazi wa Mwanza: 0787 921 515 { Eraldius }


Karibuni Sana kwa huduma bora na ya hakika.

lumia 900 IMEI 013724000513432
 
lumia 900 IMEI 013724000513432
Your phone info
67sl.png

  • Je imekuwa locked kwa mtandao gani?
  • Confirm ni Lumia au Iphone


​
 
iPhone model supported

  • Iphone 3G
  • Iphone 3GS
  • Iphone 4
  • Iphone 4S
  • Iphone 5
  • Iphone 5C
  • Iphone 5S
Call/ sms 0768 92 48 41, Karibu
 
Angalia hii nipe bei ingawa simu yenyewe ya bei rahisi
Imei 354343/04/205893/9
 
Angalia hii nipe bei ingawa simu yenyewe ya bei rahisi
Imei 354343/04/205893/9
  • Je hii Nokia 2730 classic imekuwa locked kwa mtandao gani na wa nchi gani?
  • Sababu system inahitaji vitu vitatu: IMEI, Network Locked na Country origin
​Karibu
 
Hii ipo looked na password tu
  • Ok hapo nimekuelewa. Hii huduma nimelenga network "locked phones" mfano kuondoa restriction katika simu za Huawei Ascend zinazouzwa na tigo ili zitumie laini zingine za simu.
Karibu
 
​Kwa sasa unlock code za ASCEND Y200 NA ASCEND Y300 codes utapata kati ya masaa 2 - 6. Ka ribuni
 
iNFO hizo hapo juu jphty , kwa mawasiliano zaidi waweza kunipigia. Karibu
 
Last edited by a moderator:
Huawei y 300
IMEI : 863522023516809
Aya ntashukuru kuni unlockia hiyo
 
Back
Top Bottom