Huduma fake za kichina makanisani

Huduma fake za kichina makanisani

Hivi mlima wa moto kuna branch yake huko mikoani? Au waumini wote anatakiwa kuja dar?
 
Sio kweli unachosema hapa kwa pastor katunzi nimeona kwa macho ni kweli na hakika,nimeona mtu akitapika cheni,nyembe,nk na Mungu anatenda kila ibada pale,mimi nimeenda si mara moja,nimeona majini yakikimbiA kwa jina la Yesu mtu aende pale aje atoe shuhuda hapa,zaid ya watu 10 waislam kwa wakristo walibisha wakaenda wakakari,sisemi uongo mimi,uko dar au mkoani panda magar ya mbagala shuka mtoni mtongani ulizia kwa mama mgayA kanisani ni karibu sana na barabara utakuja sema hapa.
Inawezekanaje cheni na nyembe kuwa ndani ya mwili wa binadamu..ziliingiaje? na zikakaaje mwilini...
Uliona majini yakikimbia hebu tuambie yalikuwa na sura gani na maumbo yao yalikuaje...!! Yalikuwa mangapi...
 
Wakati mwingine hua ni mvuto kusikia wanavyojinadi katika matangazo huko redioni lakini ukifika huko ulikoambiwa uende unakuta ni tofauti na ulichokisikia kwenye matangazo redioni.

Kwangu mimi hizi ni huduma za kichina
Unavyotangaziwa na unachoenda kukikuta ni vitu viwili tofauti

Badilikeni jamani watoa matangazo kwenye redio kuhusu kile kinachopatikana kanisani kwako.

Wekeni mambo kwa uhalisia sio mnatuvuta kwa mvuto wa matangazo then mtu akifika anakuta hali ni tofauti na jinsi alivyosikia redioni.

Mkuu karibu safina arusha Ipo mbauda Upate huduma ya uhakika manake naona iman yako bado changa. Unautomaso tomaso bado.
 
Sio kweli unachosema hapa kwa pastor katunzi nimeona kwa macho ni kweli na hakika,nimeona mtu akitapika cheni,nyembe,nk na Mungu anatenda kila ibada pale,mimi nimeenda si mara moja,nimeona majini yakikimbiA kwa jina la Yesu mtu aende pale aje atoe shuhuda hapa,zaid ya watu 10 waislam kwa wakristo walibisha wakaenda wakakari,sisemi uongo mimi,uko dar au mkoani panda magar ya mbagala shuka mtoni mtongani ulizia kwa mama mgayA kanisani ni karibu sana na barabara utakuja sema hapa.
Lete picha tulione hilo jini likikimbia
 
Hebu funguka kidogo, matangazo gani yalikuvutia kwenda kanisani na si kwenda kusali!
 
Mimi ni mkristo conservative Unachosema ni sahihi kabisaa mpka unashangaa, kwanza unaambiwa eti unataka gariiii..bwana atakupa gari n.k.

Kiufupi kupata gari kwa nguvu za Mungu sio tatizo but tatizo linkuja pale mtu anapohubiri gari kama vile ndo uzima wa milele.

Kwa ushauri km unataka kusali ktk makanisa haya ya kiroho uwe selective sana.
Ila kwa makanisa ta FGBF( KWA KAKOBE) pale MLIMANI CITY na nchi nzima yapo vizuri, pia na KATUNZI mbagala yupo vizuri unaweza jaribu na kuleta mrejesho.

Asante

Nimeshapanga kwenda kwa Katunzi. Niambie maombi ya mtu mmoja mmoja yanakuwepo lini na anakuwepo yy mwnyw? Naomba na ratiba za ibada!!
 
Hebu funguka kidogo, matangazo gani yalikuvutia kwenda kanisani na si kwenda kusali!
Kwa jinsi matangazo haya yanavyonadiwa hakuna neno njoo usali njoo uombe
Bali njoo uombewe upate pesa upate gari mapepo yanakimbia upande cheo njoo uombewe upate kazi na kadhalika na mimi kwa matangazo haya wanayotoa yananivutia na mi kufika ili na mimi nipate haja ya moyo wangu
 
Hivi yesu aliposema njooni kwangu mnaoelemewa na mizigo alimaanisha nini ?
 
Back
Top Bottom