THK DJAYZZ
JF-Expert Member
- Sep 14, 2011
- 2,167
- 175
Teh
Kanisa moja tu wanachotangza utakikuta kwa pastor katunzi,mtoni mtongani hatua chache ukivuka reli ya mtoni mtongani kama inamtafuta Yesu na miujiza ya kweli hapo nimeona kwa macho kabisa majinii na uchawi na kurogwa mwisho hapo,hakuna mafuta wala nini Yesu tu.
Kwa akili yako binadamu anaweza ishi na nyembe,cheni ndani ya mwili??kweli wajinga ndiyo waliwao.Hivyo vitu hats waganga wakienyeji hufanya ili ukamuliwe pesa vizuriSio kweli unachosema hapa kwa pastor katunzi nimeona kwa macho ni kweli na hakika,nimeona mtu akitapika cheni,nyembe,nk na Mungu anatenda kila ibada pale,mimi nimeenda si mara moja,nimeona majini yakikimbiA kwa jina la Yesu mtu aende pale aje atoe shuhuda hapa,zaid ya watu 10 waislam kwa wakristo walibisha wakaenda wakakari,sisemi uongo mimi,uko dar au mkoani panda magar ya mbagala shuka mtoni mtongani ulizia kwa mama mgayA kanisani ni karibu sana na barabara utakuja sema hapa.
Mkuu uko dunia gani, siku hizi matangazo ya makanisa wanawazidi hata Cocacola.
Duh! Utalipa gharama ya hiki unachokiandika hapa siku ya mwisho! Usiwe wakala wa kupeleka watu jehanamu!Kanisa moja tu wanachotangza utakikuta kwa pastor katunzi,mtoni mtongani hatua chache ukivuka reli ya mtoni mtongani kama inamtafuta Yesu na miujiza ya kweli hapo nimeona kwa macho kabisa majinii na uchawi na kurogwa mwisho hapo,hakuna mafuta wala nini Yesu tu.
endelea kuzunguka.ukichoka niambie, nitakuonesha yesuu wa kweli anapatikana wapi.hahahahahKanisa moja tu wanachotangza utakikuta kwa pastor katunzi,mtoni mtongani hatua chache ukivuka reli ya mtoni mtongani kama inamtafuta Yesu na miujiza ya kweli hapo nimeona kwa macho kabisa majinii na uchawi na kurogwa mwisho hapo,hakuna mafuta wala nini Yesu tu.
Nasikitika kwa kuwa huelewi kwamba ndivyo Neno la Mungu linavyosema.mbona una hukumu? ni wachungaji, manabii, mitume n.k., walikuwa ni watenda dhambi kabla MWENYE ENZI MUNGU hajawabadilisha?... ubarikiwe
Nasikitika kwa kuwa huelewi kwamba ndivyo Neno la Mungu linavyosema.
Ndiyo! Walikuwa watenda dhambi kabla. Baadaye walipotubu na kuachana na maisha ya dhambi, Mungu akawatakasa kisha Roho wake akakaa (ishi) ndani yao!
Kwa hiyo mashoga (ambao Papa wenu anawatetea) wana Roho wa Mungu?
Dhambi kubwa wanayofanya viongozi wenu wa dini ni kutokuwafundisha kweli (Neno) ya Mungu.
Mnapoambiwa Kweli ya Mungu mnakimbilia kusema 'MSIHUKUMU'!
Nasikitika kwa kuwa huelewi kwamba ndivyo Neno la Mungu linavyosema.
Ndiyo! Walikuwa watenda dhambi kabla. Baadaye walipotubu na kuachana na maisha ya dhambi, Mungu akawatakasa kisha Roho wake akakaa (ishi) ndani yao!
Kwa hiyo mashoga (ambao Papa wenu anawatetea) wana Roho wa Mungu?
Dhambi kubwa wanayofanya viongozi wenu wa dini ni kutokuwafundisha kweli (Neno) ya Mungu.
Mnapoambiwa Kweli ya Mungu mnakimbilia kusema 'MSIHUKUMU'!
Ngoja nijongee hukoKanisa moja tu wanachotangza utakikuta kwa pastor katunzi,mtoni mtongani hatua chache ukivuka reli ya mtoni mtongani kama inamtafuta Yesu na miujiza ya kweli hapo nimeona kwa macho kabisa majinii na uchawi na kurogwa mwisho hapo,hakuna mafuta wala nini Yesu tu.
Wakatoliki sijawahi kuwasikia wanaunga mkono ushogaTukubaliane kwamba hakuna binadamu anaye ielewa Biblia....kila mtu atavu
naomba tukubaliane kitu kimoja kuwa, watu wanaisoma BIBLIA na kuitafsiri kutokana na maono yake, alikotoka maishani mwake na anako elekea maishani. Ninaamini kabisa hakuna champion wa kuelewa neno la Mungu! ndiyo maana imeandikwa ...Isaiah 55:9 As the heavens are higher than the earth, so are my ways higher than your ways, and my thoughts than your thoughts'.
He is Almighty Sovereign ONE! hachunguziki, bali ni kwa rehema na neema tu tunaishi na Yeye kwa huruma zake anatufungulia neno lake accordingly.
Ndiyo maana vidole havifanani lakini vinafanya kazi moja, na mwili pia!
kwa upande wangu ningependelea papa angekemea ushoga! barikiwa my friend
Ndg acha mzaha na kazi ya mungu kama humwamini mtumishi au imamu kaa nalo moyoni na si kama unavyofanya.Hao me niwaita wapiga ramli tu hata waganga wa kienyeji wale wanaotumia nguvu za giza watu wanatapika nywele na makorokoro hawa waganga wamehamia kwenye makanisa ya milipuko tu frustrations na stress za maisha ya watu wa mijini na Kwenye majiji makubwa zinawafanya wahubiri feki kukamata fursa Kama kweli wanataka kutangaza watu wamjue Mungu tuwaone wakaanzishe makanisa yao vijijini huko
Wakatoliki sijawahi kuwasikia wanaunga mkono ushoga
Nawasikia wakikemea vikali mno