Wachina wenyewe wanataka ushahidi wa kisheria tu ndio maana wameweka wame imepeleka mahakamani serikali ya marekaniBhas kama China imeamua kuban companies za Marekani zinazohusiana na mitandao ya kijamii kwa kisingizio Cha kuvurugika kwa amani nae Marekani ameamua kuban Huawei kwa kuhofia kudukuliwa na serikali ya China,Sasa hapo tatizo liko wapi?!
Sasa kwanini wachina waone kama wanaonewa wakati wao ndo wa kwanza kuanzisha ligi!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu rejea kusoma tena uzi, unasema hivi Huawei wameifungulia mashtaka serikari ya US kwa kuzuia taasisi za umma kutumia bidhaa za Huawei kwa kisingizio kuwa bidhaa za Huawei zina_spy.Kuzuia iPhone kutakua hakuna mahusiano yeyote na huawei,hiyo kama watazuia watafanya hivyo kwa pretext ya trade tension iliyopo kati yao
Marekani imepiga ban huawei products kwa pretext ya national security threat ila ukiangalia kiundani kabisa hawataki huawei wafanye business USA
Sent using Jamii Forums mobile app
Malcom sijui kapotelea wapi huyu angetupa elimu zaidi hapa yupo vizuri sana.Wee acha tuu nimekuwa mtu wa kupita na kumpa Like kama zote. Ila huyu mkuu Mkuu @ Yonga na mwalimu wangu Mkuu @ Malcom Lumumba hawana tofauti kabisa.
Yani wana madini kama yote vile...
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Tujitegemee na ElungataWee acha tuu nimekuwa mtu wa kupita na kumpa Like kama zote. Ila huyu mkuu Mkuu @ Yonga na mwalimu wangu Mkuu @ Malcom Lumumba hawana tofauti kabisa.
Yani wana madini kama yote vile...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbadala wa iPhone umekomalia kweli mbona haijaingia sokoni kushondana na iphoneanaye nufaika zaidi unadhani ni nani,na je unafikiri hizo tarrifs alizoweka marekani hapati hasara?maana bidhaa zake zote muhimu anatengeneza kule china
China ataongeza mass production ya xaomi ambayo ni mbadala wa iPhone kwa hiyo wewe unafikiri nani atakula hasara kubwa hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni sawa.Ile ni pure business project hujui kama Ukraine anapata transit fee za ile gas?
Kwa hiyo na kuwapa vikwazo nchi zinazonunua mfumo wa kujilinda wa S 400 kutoka russia halafu analazimisha watu wanunue mfumo wake wa patriotic nalo unalizungumziaje hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Trump aliban Huawei kinyume Cha sheria?!Wachina wenyewe wanataka ushahidi wa kisheria tu ndio maana wameweka wame imepeleka mahakamani serikali ya marekani
Kuban mitandao ya kijamii kule china sheria zao zinaruhusu mkuu ile sio nchi ya kidemocracia ni socialist ile hata uhuru wa kujieleza hakuna kule na ndio utamaduni wao na USA wanalielewa hilo kwa hiyo kuban social media ni kitu cha kawaida sana kwao ila sio kwa USA ambaye ndie anajiita mfano wa democracy duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Pia tuhuma dhidi ya Huawei sio kitu kipya Ni za muda mrefu ikituhumiwa kuspy na kuiba IP za kampuni zingine kuisaidia serikali ya ChinaWachina wenyewe wanataka ushahidi wa kisheria tu ndio maana wameweka wame imepeleka mahakamani serikali ya marekani
Kuban mitandao ya kijamii kule china sheria zao zinaruhusu mkuu ile sio nchi ya kidemocracia ni socialist ile hata uhuru wa kujieleza hakuna kule na ndio utamaduni wao na USA wanalielewa hilo kwa hiyo kuban social media ni kitu cha kawaida sana kwao ila sio kwa USA ambaye ndie anajiita mfano wa democracy duniani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Haipo kwenye soko letu mkuu ipo soko la China,utaziona tu kama hii trade tension itaenda vibaya japo sidhani kama inaweza kufikia hatua ya iPhone kupigwa ban chinaMbadala wa iPhone umekomalia kweli mbona haijaingia sokoni kushondana na iphone
kama sikosei xaiomi ni simu ya nne kwa kuzalishwa kwa wingi duniani pamoja na oppo na zote za chinaMbadala wa iPhone umekomalia kweli mbona haijaingia sokoni kushondana na iphone
China na India wapo NATO?Ni sawa.
S400 haiwezi kua integrated na mifumo ile ya Marekani au NATO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna ushahidi ndio maana wameenda mahakamani,una dhani kesi imefunguliwa kwa sababu gani?Kwani Trump aliban Huawei kinyume Cha sheria?!
Alitumia sheria kwa kigezo kwamba system na vifaa vya Huawei ni 'hatari kwa usalama wa Taifa',wakazipiga ban.
Na si Huawei tu,kipindi Cha Trump kumetungwa sheria nyingi za kuidhibiti China ikiwemo ile ya kuban kampuni za China kutaka kununua kampuni za Marekani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unafahamu kitu kinaitwa Countering America's Adversaries Through Sanctions Act(CAATSA)?Ni sawa.
S400 haiwezi kua integrated na mifumo ile ya Marekani au NATO.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa Serikali ya Tanzania ndo imefunguliwa kesi basi ungesikia mwanasheria anayejiona msomi na mbobezi kushinda wote nchini Tundu Lissu angesharopoka.
Marekani yazuia mashirika ya umma kutumia vifaa vya kampuni kubwa ya simu Huawei.
Kampuni ya simu ya Huawei kutoka nchini China imeifungulia kesi serikali ya Marekani, baada ya kuzuia mashirika ya umma kutumia vifaa vya kampuni yake.
Serikali ya Marekani imezuia mashirika yake kutumia vifaa vya kampuni hiyo kama simu na vingine vya eletroniki kwa madai kuwa, ni hatari kwa usalama wake.
Mwenyekiti wa kampuni ya Huawei Guo Ping, amewashtumu wabunge na serikali ya Marekani kwa kushindwa kuthibitisha madai hayo, na uamuzi wa kwenda Marekani umekuwa wa mwisho, ili kupata suluhu.
Kesi hiyo imewasilishwa katika Mahakama mjini Texas na katika utetezi wake, inatarajiwa kueleza kuwa haina ushirilkiano wowote na serikali ya China kama Marekani inavyoadai.
Mbali na Marekani, Australia na New Zealand, zimeweka vikwazo kwa kampuni za nchi zao kutumia vifaa vya mawasiliano na teknolojia kutoka Huawei.
Vipi kuhusu zile tuhuma za USA kupitia NSA za ku wa spy viongozi wa ulaya wakina Merkel na kibaya zaidi ushahidi ulikuwepo.Pia tuhuma dhidi ya Huawei sio kitu kipya Ni za muda mrefu ikituhumiwa kuspy na kuiba IP za kampuni zingine kuisaidia serikali ya China
Cisco sues Huawei over intellectual property
Sent using Jamii Forums mobile app
Taifa kubwa huku wanahangaika kutwa na bwana mdogo Kim na kuwanyima usingizi.Marekani soon anaenda kupoteza ushawishi maana hata baadhi ya mataifa ya ulaya yameanza kukaa naye mbali na kuegemea mashariki.Kwa hapo marekani ina upper hand, iko na advantage. Walidanganya wakijua hawatakuja kukamatwa.
Cha ajabu huyo CFO wao anaeshikiliwa Canada analeta utetezi wa kijinga kua aliandalia power point slides yeye alikuja tu kusoma na hajui kilichokua kimeandaliwa, ujinga wa namna gani, wewe mhasibu mkuu uandaliwe slides ukazisome bila kujua zinasema nini?
Kwa hapa Marekani atawasumbua, nasikia wanajibaraguza tu kua hapo walipofika marekani haitaweza kuwarudisha nyuma na mambo kama hayo ila wanakiri kua wataathirika.
Marekani sio nchi ya mchezo.
Popolation 300.something million, china 1.3B lakini wanawekewa vikwazo, kweli akili kubwa inaongoza Dunia.
Sio ulaya tu, Dunia nzima.Vipi kuhusu zile tuhuma za USA kupitia NSA za ku wa spy viongozi wa ulaya wakina Merkel na kibaya zaidi ushahidi ulikuwepo.
USA walikua wanadukua maongezi ya viongozi wa ulaya una lizungumziaje hili?
Sent using Jamii Forums mobile app
Xiaomi haiwezi kuwa mbadala wa iphone.Ubaya zaidi kule china kuna xaomi ambayo ni mbadala wa iPhone ni bei affordable kabisa.
China is iPhone's largest market na sidhani kama apple wako tayari kupoteza soko la watu wengi namna ile
kiukweli China nayo haikwepeki kabisa maana kwa sasa ndio jamii yenye purchasing power kubwa zaidi kuliko hata the whole Europe sasa kama mzalishaji unaachaje market base kubwa namna ile?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini hawajabuni mpaka leo?Mh lakini kuwazimia OS unadhani china wanashindwa kubuni ya kwao mimi siamini hilo
Hakuna mbadala wa iphone milele.anaye nufaika zaidi unadhani ni nani,na je unafikiri hizo tarrifs alizoweka marekani hapati hasara?maana bidhaa zake zote muhimu anatengeneza kule china
China ataongeza mass production ya xaomi ambayo ni mbadala wa iPhone kwa hiyo wewe unafikiri nani atakula hasara kubwa hapa?
Sent using Jamii Forums mobile app