Donnie Charlie
JF-Expert Member
- Sep 16, 2009
- 15,089
- 16,120
vp ulifanikiwa kupata solution ya ishu yako ya zantel? maana na mii imntokea na nimeshindwa kupata suluhu. na nimemjaribu kufanya kama jamaa alivoelekeza nikakuta kila kitu kiko poa but tatzo liko pale pale.
Unapata network signal vizuri?