Paje
JF-Expert Member
- Apr 24, 2010
- 1,185
- 486
baba kitu CDMA hichoo hata kama ukiiunlock huwez tumia line za GSM
Jee wewe unacho hicho kitu CDMA na unataka kutumia line za GSM? kama unacho wewe au mwengine yoyote yule ani PM tuongee
baba kitu CDMA hichoo hata kama ukiiunlock huwez tumia line za GSM
yangu bado ipo sandukuni......... Haya niwe wa 1 kuku pmjee wewe unacho hicho kitu cdma na unataka kutumia line za gsm? Kama unacho wewe au mwengine yoyote yule ani pm tuongee
how to unlock huawei EC122 usb modem. Msaada please
ni built in(haitumii line)na ni ya sasatelec122 huawei,vp lain yaku plug or built in(CDMA),hiyo modem ya mtandao gani! tuanzie hapo
*JIBU LIPO NJE NJE TUU*
ni built in(haitumii line)na ni ya sasatel
unamaanisha haiwezekani ku-unlock? line ya sasatel ambayo ni built in na network ni kimeo**tatizo hilo**
vipi imekubali????????mkuu kiber nimedownload iyo firmware na installation ikamalizika vizuri lakini nashindwa ku-establish network ili niweze ku access internet kwenye pc yangu alafu lile box la sasatel bado kama kuna namna ya kulitoa ningependa kujua pia haya maneno "only the specified uim card can be used on the device" sijayaelewa nitashukuru kwa msaada wako.
how to unlock huawei EC122 usb modem. Msaada please
hiyo modem inachakachachulika vizuri tena kwa kuupdate firmware zake.........
sema nitakupa maelezo vizur inbox
hiyo modem inachakachachulika vizuri tena kwa kuupdate firmware zake.........
sema nitakupa maelezo vizur inbox
Ikishindikana kabisa niambieni.