Huawei kuja na new Operating System yao

mkadiriajimajenzi

JF-Expert Member
Dec 31, 2015
549
608
Kufuatia vita ya kiuchumi inayoendelea katika ya Marekani na China ambayo imepelekea kampuni ya Huawei kupata ban ya kutumia Google Apps & Facebook Apps..Founder wa Huawei amedisclose kwamba kama hakutakua na suluhu itakayofikiwa watakuja na operating system ya itakayoitwa " Ark OS" .
 
Wao sio wa Kwanza wapo wenye Os zao na wanafanya vizuri. Mfano angalia xiaomi. Wnatumia MIUI , hiyo Ni OS yao. Sema katika hizo zipo ambazo wao wemeweka apps za Google (play stores, YouTube n.k) na simu zao ni nzuri balàa. Hao Huawei, Samsung sio iPhone tupilie kule. Zicheki online.

Naamini hata Huawei wanaweza tengeneza OS ya kwao na wao wakafanya vizuri zaidi.

Suala lakutumia YouTube, sio lazima uwe na app ya YouTube, unaweza ukatumja internet browser tofauti ukapata connection ya YouTube.
 
Wao sio wa Kwanza wapo wenye Os zao na wanafanya vizuri. Mfano angalia xiaomi. Wnatumia MIUI , hiyo Ni OS yao. Sema katika hizo zipo ambazo wao wemeweka apps za Google (play stores, YouTube n.k) na simu zao ni nzuri balàa. Hao Huawei, Samsung sio iPhone tupilie kule. Zicheki online.

Naamini hata Huawei wanaweza tengeneza OS ya kwao na wao wakafanya vizuri zaidi.

Suala lakutumia YouTube, sio lazima uwe na app ya YouTube, unaweza ukatumja internet browser tofauti ukapata connection ya YouTube.
MI-UI hilo neno UI ni user interface au kiswahili rahisi muonekano. Hio ni operating system ya android yenye muonekano wa Xiaomi na sio operating system ya xiaomi.
 
Mbona wanaweza tuu.. wakaja na os yao na wakafanya vzr.. maana hata hayo uliyoyasema yamegunduliwa na hayakuwepo.. kwahi tutegemee mengi maana tunaenda mbele haturudi nyuma.. unataka kuniaminisaha kwamba YouTube, Google,google drive, Gmail, nk ndio mwisho wa ugunduzi??
Write your reply... Hata waje na os yao, smartphone bila youtube,gmail,google,google drive.. sio smartphone


7gp
 
Blackberry alipotea kishamba
Windows phone pia
Nokia na symbian yake
 
Google Apps ni nyingi sana nimetaja chache.. Popularity ipo kwenye Android na ios kutokana na ubora wao, wanakazi kubwa sana wanaweza wakafeli kama walivyofeli NOKIA na Windows phone, kwasasa Nokia wamerejea na Android os siunaona walivyopanda?? mpaka wanataka kuintroduce 5G Tech
Mbona wanaweza tuu.. wakaja na os yao na wakafanya vzr.. maana hata hayo uliyoyasema yamegunduliwa na hayakuwepo.. kwahi tutegemee mengi maana tunaenda mbele haturudi nyuma.. unataka kuniaminisaha kwamba YouTube, Google,google drive, Gmail, nk ndio mwisho wa ugunduzi??
 
Mbona wanaweza tuu.. wakaja na os yao na wakafanya vzr.. maana hata hayo uliyoyasema yamegunduliwa na hayakuwepo.. kwahi tutegemee mengi maana tunaenda mbele haturudi nyuma.. unataka kuniaminisaha kwamba YouTube, Google,google drive, Gmail, nk ndio mwisho wa ugunduzi??
Hata hao Google projects zao nyingi walizoanzisha zimefeli, nyingi zimefeli kuliko zilizofaulu, unazoziona zinafanya vizuri mfano android ama youtube ni product zilizokuwa zipo tayari wao wakazinunua na kuziendeleza.

Ni rahisi kununua kitu kuliko kuanzisha. Hapo china kuna os kibao zimeanzishwa tena makampuni makubwa lakini still zimeshindwa ku take over. Mfano red os, yun os, kylin etc mpaka leo bado windows na Android zinaongoza.

Screenshot_20190609-143152.jpg
 
Back
Top Bottom