Huawei kuja na new Operating System yao

Huawei kuja na new Operating System yao

yes ipo Espoo Helsinki, FINLAND
na billgate wa Microsoft nae si mshirika wao?? Maana alisign nao contact ya miaka 10 ndio NOKIA zikawa zinatumia Windows
1. Bill gate ameshajiondoa kwenye uongozi wa microsoft

2. Ni kweli Microsoft walikuwa wakishirikiana na Nokia kutengeneza simu za windows phone lakini hilo deal lilikufa mwaka 2013 pale microsoft waliponunua part ya Nokia inayotengeneza simu.

3. HMD global ni kampuni mpya ilionzishwa na wafanyakazi wa zamani wa Nokia haina mahusiano yoyote na Microsoft.
 
Nielewe Mkuu.. Nazungumzia Nokia kwenye Android os inavyoendelea tofauti na ilivyokua kwenye Windows.. Ninachokuelewesha ni kwamba Android and ios is the best os
Huyu jamaa anazungumzia simu. ndo nmemuuliza last year nokia ameuza pcs ngapi za simu???? na pia mwaka juzi je? ili tuone kama kweli anapanda kwa kasi
 
Kwasasa mmiliki wa Microsoft ni Nani??? Ninachoelewa billgate kajitoa kwenye uongozi tuu
1. Bill gate ameshajiondoa kwenye uongozi wa microsoft

2. Ni kweli Microsoft walikuwa wakishirikiana na Nokia kutengeneza simu za windows phone lakini hilo deal lilikufa mwaka 2013 pale microsoft waliponunua part ya Nokia inayotengeneza simu.

3. HMD global ni kampuni mpya ilionzishwa na wafanyakazi wa zamani wa Nokia haina mahusiano yoyote na Microsoft.
 
Kwasasa mmiliki wa Microsoft ni Nani??? Ninachoelewa billgate kajitoa kwenye uongozi tuu
Ni public company ile inamilikiwa na wanahisa. Gate ameuza hisa zake nyingi za microsoft sasa hivi sio mmiliki mkubwa. Nafkiri steve Balmer ndio ana hisa nyingi zaidi.
 
Duh
Ni public company ile inamilikiwa na wanahisa. Gate ameuza hisa zake nyingi za microsoft sasa hivi sio mmiliki mkubwa. Nafkiri steve Balmer ndio ana hisa nyingi zaidi.
Au jamaa ndio maana akashuka kiutajiri akapitwa hadi na dogo wa Facebook
 
kwa hiyo

kwa hiyo Bill Gate sasa hivi ni baba wa nyumbani au kuna kitu kingine anakuja nacho?
Ana kampuni yake inaitwa Bill and Melinda Gate foundation inajihusisha na misaada na kutoa elimu mbalimbali hasa za Afya,

Hata akija huku Tanzania si unamuona mambo anayofanya?

Lakini pia ana hisa makampuni mbalimbali kama vile Cocacola, Walmart, fedex, Microsoft etc
 
Write your reply... Hata waje na os yao, smartphone bila youtube,gmail,google,google drive.. sio smartphone


7gp
Your wrong kuna search engine nying kama duckduckgo ambayo ni more secured kuwa tracked kwa kile unachokifanya
 
Back
Top Bottom