Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,483
- 40,004
- Thread starter
- #41
Kaka nadhani ni kutokomaa tu na upande mwingine bila ya shaka anawakilisha mawazo wa watu wetu wengi tu ambao hawakupata nafasi ya kuwekewa mic. Alichosema siyo kilichonishtua sana kilichonishtua ni ukimya wa jamii kumkemea. TAtizo kubwa ninaloliona ni baadhi ya watu kuwaweka wahindi wote kwenye kundi moja. Huyu Binti ni Mgoa siyo Mhindu, na sidhani kama mila na desturi zake zinamzuia kuolewa nje ya wagoa...