Hoyce Temu na Wabaguzi Mamboleo!

Kaka nadhani ni kutokomaa tu na upande mwingine bila ya shaka anawakilisha mawazo wa watu wetu wengi tu ambao hawakupata nafasi ya kuwekewa mic. Alichosema siyo kilichonishtua sana kilichonishtua ni ukimya wa jamii kumkemea. TAtizo kubwa ninaloliona ni baadhi ya watu kuwaweka wahindi wote kwenye kundi moja. Huyu Binti ni Mgoa siyo Mhindu, na sidhani kama mila na desturi zake zinamzuia kuolewa nje ya wagoa...
 
Hey,

It make me mad. Wakati mtu mmoja alopozungumza racist language kwa Prof Shivji we all united against him na wote tukaupinga ubaguzi kwa rangi zake zote. Hili suala la miss tz, baadhi tunaona kama ubaguzi fulani fulani is justifiable!!! Hili ni balaa na linakera mno. Kina Hoyce Temu and her supporters hata kama wamo humu ni wabaguzi na wanastahili kuzomewa full stop.

Mtu kama unaona au unaamini anakubagua, kumrudishia ubaguzi siyo suluhu. Ukifanya ubaguzi kama njia ya kutoridhishwa na ubaguzi na wewe ni mbaguzi tuu. Siku za nyuma ikitokea watu hawakuridhika NA UTEUZI WA MISS walikuwa wanaelekeza malalamishi kwenye rushwa za hiki na kile. Leo hii tunasema hakufaa kwa kuwa mhindi! this is a shame! SHAME ON EVERYBODY WHO IS RACIAL
 
Mimi ni miongoni mwa waliosononeshwa na kauli za kibaguzi za Hoyce. Inasikitisha na kuudhi sana kuona mtu wa calibre yake anamwaga utumbo huu.
 
Kaka nadhani ni kutokomaa tu na upande mwingine bila ya shaka anawakilisha mawazo wa watu wetu wengi tu ambao hawakupata nafasi ya kuwekewa mic. Alichosema siyo kilichonishtua sana kilichonishtua ni ukimya wa jamii kumkemea. TAtizo kubwa ninaloliona ni baadhi ya watu kuwaweka wahindi wote kwenye kundi moja. Huyu Binti ni Mgoa siyo Mhindu, na sidhani kama mila na desturi zake zinamzuia kuolewa nje ya wagoa...

Sie tuna mambo sana, watu wanadhgani kwa kuoa wahindi ndio kitakuwa kielelezo kuwa hawana ubaguzi? Mbona wazungu tunawaoa kila siku na ubaguzi upo pale pale..
 
Ndiyo maana mimi nilikuwa nasema kama madai yangekuwa Richa ametoa rushwa, alipata upendeleo au alibebewa, tungeyaangalia kwa makini, lakini kitu ambacho hana uwezo wa kukibadili kama rangi na nasaba, ni kuwa low tha low itself! Ndiyo maana nimesema tutawapinga wabaguzi hawa mahali popote watakapojitokeza. Wanatumia lugha ya "kizalendo" kuficha dhambi hii! Hata Hitler alipokuwa anawaona watu duni alisema hivyo hivyo "for mother Germany" akitukuza "the superiority of the aryan race"

Hata wale KKK wanapotaka kuwaua watu weusi au wageni wowote wale, wanatumia jina "la Marekani yetu"!
 
Ndiyo maana mimi nilikuwa nasema kama madai yangekuwa Richa ametoa rushwa, alipata upendeleo au alibebewa, tungeyaangalia kwa makini, lakini kitu ambacho hana uwezo wa kukibadili kama rangi na nasaba, ni kuwa low tha low itself! Ndiyo maana nimesema tutawapinga wabaguzi hawa mahali popote watakapojitokeza. Wanatumia lugha ya "kizalendo" kuficha dhambi hii! Hata Hitler alipokuwa anawaona watu duni alisema hivyo hivyo "for mother Germany" akitukuza "the superiority of the aryan race"

Hata wale KKK wanapotaka kuwaua watu weusi au wageni wowote wale, wanatumia jina "la Marekani yetu"!

Wengine hutumia hata maandiko matakatifu....
 
Itawachukua muda kukuelewa.
 

Attachments

  • 1188752609_hoyce5.jpg
    1188752609_hoyce5.jpg
    30.8 KB · Views: 113
  • temu.jpg
    temu.jpg
    50.2 KB · Views: 96
Kwa suala hili la Miss Tz mimi nimewaogopa sana watanzania. Sikuwahi kufikiri kuwa iko siku sisi tunaosifika kwa umoja, undugu na amani tutampiga madongo mtanzania mwenzetu kiasi hiki, tena bila haya wala soni, ati tu kwasababu ya rangi yake.
Jamni tujiulize;
-Richa angezaliwa na mama wa kisukuma na baba wa Kihindi reaction yetu ingekuwa tofauti? Angechaguliwa mwarabu(tunao wengi) ingekuwa tabu?
-Je Richa ambaye pengine hata mababu zake walizaliwa hapa anaruhusiwa kupiga kura kama Mtanzania? na kama ndiyo, yeye naye si atakuwa ya kuchaguliwa kiwa kwenye siasa hatuoni shida kuwapa watanzania weupe kura za ubunge, kwanini suala la Umiss linakuwa gumu kulipokea?
-Nini haki za Richa kama mtanzania mzawa? amezaliwa hapa, kasoma hapa, mbona huko mtaani tulikuwa tunamkubali, leo kapanda chati inakuwa tabu!
-Ubaguzi ni ugonjwa hatari sana; tulianza na ukabila, tukaja udini, sasa tumeingia kwenye rangi; God knows mwisho utakuwa nini

Mimi nachukulia sakata hili kuwa ni aibu kubwa kwa Taifa
 
kaka picha tumeziona! moja ni kama hoyce yuko keroro halafu anauliza yani nyie mnasema mimi nimelewa?
yapili sijui ndo kashika bia au pochi haionekani vizuri ni kama imeungwa vile!
ila kaka pamoja na kuosha macho unataka kutueleza nini juu ya picha hizi hasa hapa kwenye jukwaa la siasa?
 
hoycemt1.jpg


Mjengwa Blog said:

Pamoja na kumpongeza mshindi wa shindano la Vodacom Miss Tanzania, Bi. Richa Radhia nimejaribu kufuatilia malumbano yanayoendelea sasa juu ya matokeo yaliyomtoa mshindi huyo. Kupitia televisheni nimemwona na kumsikia Hoyce akizungumza na watangazaji wa habari. Nimesoma pia maelezo yake yalivyoripotiwa na vyombo vya habari. Nadhani baadhi ya watu wa habari ama kwa kuelewa au kwa kutokuelewa, wanapotosha hoja ya msingi ya Hoyce Temu.

Ni vema Hoyce Temu akaaminiwa, kuwa hapingi matokeo hayo kwa misingi ya rangi ya mshindi isipokuwa ukiukwaji wa taratibu ambazo waandaaji wenyewe wa shindano hilo wamezikiuka. Mawili ya msingi aliyoyaanisha Hoyce ni matumizi ya lugha ya Kiingereza na kuondolewa kwa shindano la vazi la ubunifu . Hilo la mwisho lina umuhimu kutokana na jitihada zetu za kitaifa kutafuta vazi la utambulisho wetu wa kitaifa. Inahusu umakini na uaminifu. Kuna haja ya watangazaji wa habari kuinua kiwango cha mjadala. Kwamba waandaaji wa shindano hilo wana maswali ya kujibu na kutoa ufafanuzi. Watangazaji wa habari wanayo maswali hayo, wasikae nayo mifukoni.

Picha kwa hisani ya Mjengwa Blog
 
Namuunga Mkono Mwanakijiji na wengine wote katika kupinga ubaguzi ulioonyeshwa na wengi pamoja na Hoyce Temu.
Wengi wamejaribu kutumia hoja mbali mbali katika kujustify ubaguzi ule. Ni kawaida mtu akishindwa kutafuta sababu mbalimbali katika kujaribu ku"undermine" the winning side.

(1) Tuna sheria kuhusu Mtanzania ni nani - sheria iko wazi na hata kama mtu atapewa Uraia leo kwa Naturalization basi ni Mtanzania, sembuse hawa waliozaliwa hapa. Nchi za nje hununua mpaka wachezaji (tena wengi kutoka Africa) na kuwabadilisha uraia ili wawakilishe nchi zao.

(2) Kuhusu wahindi kuwa na sort ya closed community. Hili swala sio geni hata katika nchi zilizoendelea kama USA. Kule America kuna community moja - Amish ambayo bado inafuata utamaduni wao wa jadi. Hii haimanishi haitokei mara moja moja wengine wakatoka nje na kuoa au kuolewa nje ya community. Kwa hapa Tanzania swala la intermarriage na watu wa asili ya kizungu, kiarabu, kihindi nk ni la kawaida. Leo kwenye Choice FM walikuwa wanaongelea mahalf-caste wanaotokana na ujenzi wa Uwanja wa Taifa, nasikia wako wengi kuzunguka uwanja wa Taifa. Tuwaue watoto au mama zao?

(3)Afadhali watu wangebisha kushinda kwake kwa kutokuwa na vigezo. Asili yake ya Uhindi ndio iwe ishu?! Tunayo makabila mengi ambayo asili yake ni nje ya Tanzania. Tuanze kuwaambia Wangoni waliokuja enzi za Zwangendaba na Mputa-Maseko warudi South Africa.

Ubaguzi hauna nafasi katika jamii yetu ya kitanzania. Ubaguzi huanzia kwa watu wa mbali lakini ubaguzi ni "contagious", baada ya kubagua wa mbali then tutafuta tofauti ya sisi tuliobaki na sequence itaendelea hivyo hivyo.

Kuna wakati niliambiwa sisi Waafrika ni wabaguzi kuliko Wazungu nikawa siamini lakini post zilizopita zimedhihirisha bado tunao WABAGUZI ndani ya Taifa letu.

Ukabila ni form ya Ubaguzi...tusiende huko Wandugu.

Lidumu TAIFA LA WATANZANIA!!
 
mimi niliopoa binti wa Kihaya aliitwa Rose Ngaiza.. wazazi wake walipogundua kuwa mimi ni mtu wa pwani, wakanitolea nje. Tuliibia ibia, lakini haikuweza kwenda mbali.. sasa sijui niwafikiri vipi Wahaya wote...

kaka mjj suala la kuoana jamii moja linashabikiwa sana na wahafidhina..wa asili yoyote..teh teh sasa mjj unasema watani zangu wa kijiji katerer walikutema ..au walikuwa na mashaka na ujuzi wa kale ka mchezo maarufu ka nyumbani..maana wanakuambia ukioa dada wa kihaya lazima ukajue ..[kiddin]
 
mzee... yaani walinipeperushia ndege wangu hivi hivi!! Ila hadi kesho tuliahidiana na yule dada popote tutakapokuwa tutaendelea "kupendana".
 
napinga ushindi wa huyo mhindi vikali sana ! hivi hivi watz asilia tutaanza kusema ooh wahindi tz hawatendewi haki ukiangalia hata sisi wenyewe asilia hatujitendei haki leo hii uniambie nimtendee mhindi haki, for what ? kama wazawa wenyewe tungekuwa mbali zaidi kimaendeleo basi hapo sawa kuanza kuwashirikisha hao wahindi katika mambo ya taifa, lakini hata wazawa wenyewe hatujajikomboa halafu uweke wahindi sahani moja na wazawa, ujinga gani huo ? sitaki kusikia kabisaaaaa kuhusu hawa wahindi, idd amini angekuwa mzima kwa miezi miwili ningemuomba aje tz kuwa rais kwa hiyo miezi 2 halafu wangeone shughuli yao !

wazawa kwanza, the rest wafuate behind !
 
Huyo 'mhindi' inawezekana ni muwekezaji/mshikadau. Si unajua tena bongo tunavyokaribisha wawekezaji katika nyanja mbali mbali za maisha!
 
ndugu yangu kada tafadhali punguza munkari! baba wataifa alisha sema tusibaguane kwa dini,rangi, kabila, jinsia eneo unalotoka au nanmna nyingine yeyote ile.hili limejadiliwa sana hapa JF utanzania sio rangi!kaka dada 'yetu' ni mtanzania kama alivyo shivji na amefikisha vigezo vya kuwa miss TZ kwa nini tumnyime? au kuna ushahidi kuwa sio raia? kama ni hivyo mbona miss arusha wa mwaka huu nasikia alinyimwa taji baada ya kugundulika mkenya. kwa mantiki yako ya rangi ungeshauri apewe kwa sababu ana ngozi nyeusi kama sisi? lets be objective people and leave behind racist thinking.
hoyce analia anayake! kuna mshindani aliye mtaka yeye kwa bahati mbaya kashidwa sasa ndo analia! sisi tusio kuwa na wagombea wetu we need to think straight. kama amependelewa kwa kuvunja taratibu au ku ignore vigezo hapo ndo tunaweza kuhoji.lakini si busara kuhoji kwa sababu ya rangi........naomba kuwasilisha
 
Kaka nadhani ni kutokomaa tu na upande mwingine bila ya shaka anawakilisha mawazo wa watu wetu wengi tu ambao hawakupata nafasi ya kuwekewa mic. Alichosema siyo kilichonishtua sana kilichonishtua ni ukimya wa jamii kumkemea. TAtizo kubwa ninaloliona ni baadhi ya watu kuwaweka wahindi wote kwenye kundi moja. Huyu Binti ni Mgoa siyo Mhindu, na sidhani kama mila na desturi zake zinamzuia kuolewa nje ya wagoa...

Small correction MKJJ. Her Father is a Hindu born in Mwanza and mother is a Goan. Both of them are born here and are Tanzanians by birth.She has stated this in all of her TV interviews, "Face to Face' with Brigette and on "Facaets", with Sarungi ect.The mother has played a very big role in her life/upbringing,and she has said that she owes her broadmindedness to this. I dont think she speaks any of the Indian languages, and for those who know her better, will vouch for her ability to mix with just about everyone.Am wondering when her fellow contestants will standup for her;or is the jealousy so deep as to be that envious of her win? Just a thought ,if she were to win the Miss World would all those opposed to her selection request that the award be turned down,because she is not a true representative of TZ !!!!
Its sad when everyone who is of Asian origin thru no choice of their own ,get lumped together and thrown in one basket.ie Singhs,Patels,Chavadas, Shivjis,Rajanis,Durados ect. all Wahindis as far as we are concerned.(Hindus,Sikhs,Budhist, Muslims ,Christians) no differance to the majority.Vegiterians, beefeaters,pork eaters, fish eaters ,wote nii kitu kimoja, Wahindi, because of their colour.NO PROBLEM cause we don't know better.
 
Back
Top Bottom