Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
- Thread starter
- #21
Bro, hiyo sasa ni mada nyingine kabisa. Mimi nazungumzia suala la huyu binti, tukubaliane kwanza wale wanaosema kuwa hakustahili kuwa Miss Tanzania wanakosea kwani wanasukumuwa na hisia ya kutukuza nasaba na wana tendencies za kibaguzi. Tukubaliane pia kuwa Richa kama watanzania wengine anazo haki zote ambazo mimi na wewe tunazo (nothing more, nothing less). Tukishakubaliana suala la Richa, then tunaweza kuzungumzia suala la kushiriki kwa baadhi ya Watanzania kwenye mambo mbalimbali ili kuthibitisha utanzania wao. Tunakubaliana?