CHAI CHUNGU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2012
- 7,113
- 930
Basi sweetlady ngoja nimuache,Wewe dudu jeusi inaonekana hata roho yako ni nyeusi, unapenda uchokozi sana wewe, na vile Y_M sio bingwa wa kucheza na maneno kama wewe ndio mana unamwonea! Mwache mwenzio, hajawahi kutofautiana na yeyote kwa ubaya why mnamfanya akose raha? Sio vizuri hata Mungu hapendi!
Basi mwambie asalimu amri kwanza basi!