ni kweli!Kwa sababu mattumizi ya kiswahili yanatumika sana ingependeza kama maelekezo yange tafsiriwa kwa kiswahili ili kuruhusu watu wengi kuonyesha busara zao hongereni sana kwa kuanzisha hii forum.
Ila nini?? Toa dukuduku lako.....Maelezo yamesomeka ila...!?
haswaaaa!Jamani sisi wageni humu, mtupe maelekezo vema!
That's true...RobotYou ROCK!