How to use JamiiForums effectively

How to use JamiiForums effectively

Status
Not open for further replies.
Hello Jamii Forum community,
Mie ni mchangiaji so naomba mnikaribishe kwa moyo wa dhati.
 
UKISHIKA NJIA YA POTELEA MBALI ,

UTAFIKA KATIKA MJI UITWAO LAITI NENGELIJUA,

NA WAKAZI WA MJI HUO WANAITWA

UKIFIKA HAPA HUTOKI NG¡¯O!
Tafakari na wanao jivua gamba.
 
Re:ndugu zangu wote wa jf nimekua msomaji wa maoni ya watu jf sasa nimeamua kuingia ili na mimi nitoe fikra pevu nilizo nazo kwa ajili ya kusaidia kukomboa taifa letu lililotawaliwa na mafisadi pamoja na wanafiki wa siasa
 
So happy to join the great thinker to moment. Should I say hellow to all jf crews for all & what you have done to awaken the Tz society. Meanwhile for all those who have contributed to this success, I would like to express my gratitute that God will alwyz award those who perform better their duty to the best of their knowledge with the expectation that they intend to serve the society. Please keep it up!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Pliz send me Ulock code....

HSUPA USB Stick MF637U
ZTE Corporation
IMEI: 351817040683601
S/N: 329702554338
 
Jamani vijana wa Tz tuamke! Ni vijana wamemwondoa Mubarak wa Misri. Nina plan ya kuandaa maandamano siku ya maadhimisho ya miaka 50 Tz,kupinga kutoona manufaa yoyote na uhuru tuliopata,ni wachache wameufaidi. Nawaombeni support. Tena nahisi matokeo ya uchaguzi(rais) 2010 yahesabiwe upya japo rais aendelee na ofisi,lkn ukweli uwekwe wazi.
 
I am very new and still learning how to go about posting. But I have a lot to share. I will share as soon as I know how to.
 
Nimekua mchangiaji posts kwenye thread za wengine msaada jinsi ya kuanzisha thread through mobile
 
vipi huyu nape na katibu mkuu wake wameingia wazimu nini? wanazukunguka mikoa wakiimba wimbo wa kujivua gamba. sasa mbona viongozi wote ni gamba. nchi yenye iko kwenye giza. leo yupo Moshi atasema nini? kwa watu wa Mo-town. sisi atutaki longo longo. kiongozi wa CCM in nyerere tu wengine gamba wote gamba.
 
Rais ana kigugumizi cha kutoa maamuzi, mimi naona ajiuzulu nchi imemshinda, kama wafanya ndiyo tumemchoka kabisaa, ameuza nchi kwa wachina, wamarekani na waindi. anjua akistaafu ndio atakapo kimbilia, bora aende sasa. Nchi ina matatizo yeye anajificha south Africa, aangalie viongozi wa ukweli huku uingereza. Nashangaa mpaka leo Jairo, Ngeleja wapo ofisi wakati walitakiwa wawe segerea.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom