Marwa Mtimbalu
New Member
- Jun 24, 2011
- 1
- 0
Ni muda mrefu tangu waziri mkuu aliyejiuzuru azungumze bungeni lakini leo ameniacha hoi pale alipodai kuwa ofisi ya waziri mkuu inamajukumu mengi sana inapaswa ipunguziwe mzigo.Akiainisha wizara kama Tamisemi na kitengo cha kushugulikia majanga nk.Swali,kwa muda aliokuwa amekalia hiyo ofisi kwa nini hakushugulikia hilo?.
Mwisho akasema kuna ugonjwa umejitokeza katika nchi hii wa kutokutoa maamuzi magumu,tunamwomba atufafanulie hayo maamuzi magumu ni yapi.Ni kweli ni mtu wa kuthubuti na anayejiamini kama kiongozi.Tunasubiri majibu kutoka kwake kwa hayo.
Mwisho akasema kuna ugonjwa umejitokeza katika nchi hii wa kutokutoa maamuzi magumu,tunamwomba atufafanulie hayo maamuzi magumu ni yapi.Ni kweli ni mtu wa kuthubuti na anayejiamini kama kiongozi.Tunasubiri majibu kutoka kwake kwa hayo.