How to use JamiiForums effectively

How to use JamiiForums effectively

Status
Not open for further replies.
nimefurahi kujiunga na mtandao huu muhimu kwangu. nitaweza kuwasiliana na wenzagu kujifunza na kufundisha, kustarehe na kujenga uwezo
 
Nashukuru, nimeweza kujiunga na forum hii kwa haraka kutokana na ufanisi wenu.
Nahidi tutakwa pamoja kuona mambo yanaendaje hapa Tanzania na duaniani kwa ujumla.
Sasa hivi natafakari kwamba CHADEMA WAKO SAHIHI KABISA katika siasa wanazoendesha,hasa za maandamano.Wanaopinga siasa hizo naona wanafanya hivyo kwa maslai yao binafsi au hawajui walitendalo.
Mfano halisi mnaweza kuona jinsi UVCCMM wanayozungumza, ni yaleyale CHADEMA na wananchi wanalalamikia,ingawa wao wamesahau kwamba hao wazee wao ndio wako serikalini na ndiko wanakoboronga kushida hata huko CCM.
Hata wale mawaziri :aliyepinga maandamano kwa vitisho na yule elimu wakumbuke UWAJIBIKAJI WAO MBOVU NDIO NGAZI YA TULIPOFIKA SASA.
 
Nashukuru, nimeweza kujiunga na forum hii kwa haraka kutokana na ufanisi wenu.
Nahidi tutakwa pamoja kuona mambo yanaendaje hapa Tanzania na duaniani kwa ujumla.
Sasa hivi natafakari kwamba CHADEMA WAKO SAHIHI KABISA katika siasa wanazoendesha,hasa za maandamano.Wanaopinga siasa hizo naona wanafanya hivyo kwa maslai yao binafsi au hawajui walitendalo.
Mfano halisi mnaweza kuona jinsi UVCCMM wanayozungumza, ni yaleyale CHADEMA na wananchi wanalalamikia,ingawa wao wamesahau kwamba hao wazee wao ndio wako serikalini na ndiko wanakoboronga kushida hata huko CCM.
Hata wale mawaziri :aliyepinga maandamano kwa vitisho na yule elimu wakumbuke UWAJIBIKAJI WAO MBOVU NDIO NGAZI YA TULIPOFIKA SASA.

Hizo ni siasa chovu kwa kutafuta cheap popularity,, jenga hoja kuwa mwanasiasa sio lazima uwe rais.
 
mimi ninakereketwa ndani ya roho mbona wazungu watufamia kama walivyofanya katika enzi za mababu zetu? kwenda Libya BILA RUHUSA YA JUMHIA YA AFRIKA.
 
Jiunga kwa mtambo huu utaonifaidisha kuwasiliana na wenye hekima toka duniani kwote.
 
Halo jamiiforums, i am a new kid on the block!
I have just come back from semunge.
Many greetings from babu!
 
Habari wanajamii?Nipokeeni nami katika jukwaa kwani nimevutika na elimu muitoayo,pia nami najiunga kujadili mambo muhimu ya jamii!
 
Hii nimeipenda sana. Haya ndio mambo ya Technologia ya Bongo.:focus: Thanks
 
Oya washikaji hivi kuna namna yoyote ya kuondoa chunusi kwa njia za asili maana kuna rafiki yangu zimemtoka utafikiri alinyeshewa mvua ya chunusi plz 2saidiane hapo.
 
....what goes in head is an illusion easy to forget but what is in heart is gold because stays forever!!!!!!!!
 
Naomba niulize inawezekana ku upload picha through phone?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom