How to track someone's phone?

How to track someone's phone?

Sasa simu ya adui yako utaipata wapi?

Hii sio maalumu kwaajili ya maadui hii ni ya watu wa karibu kama mpenzi, mwanao, rafiki yako, ambo wanauwezo wa kukuachia simu zao, adui yako atakupatia simu yake kweli?

Wewe muwekee mpenzi wako uone unavyoibiwa hahahahahahaha kisha ulete hapa mrejesho wa machozi.

Adui simu inapatikanaa tu...si tunafanyaaa ukomandoooo tu....
Kwa ajili ya mpenzi nomaaa aiseeee...sitako presure labda niweke kwa ajili ya mwanangu
 
Adui simu inapatikanaa tu...si tunafanyaaa ukomandoooo tu....
Kwa ajili ya mpenzi nomaaa aiseeee...sitako presure labda niweke kwa ajili ya mwanangu

Huyo mpaka akupatie simu yake basi sio adui yako.

Mwanao anamiliki smartphone? WEWE MZAZI NOMA.

Usiogope kuona madhambi ya mpenzio muwekee tu.
 
Imeziguaa najaribu kuitoaaaa inagomaaaa....
Ukitaka kuitoa nenda Settings>Security>Phone administrator utaikuta huko then un tick
Rudi tena ukaitoe itakubali

Au kwenye website nenda settings utafute na uchague show the icon
rudi kwenye simu yako utaiona kwenye apps zako
 
Ukitaka kuitoa nenda Settings>Security>Phone administrator utaikuta huko then un tick
Rudi tena ukaitoe itakubali

Au kwenye website nenda settings utafute na uchague show the icon
rudi kwenye simu yako utaiona kwenye apps zako

Nimekuelewaaa mzazi
 
Mkuu hasa hiyo ya pili ninzuri mimi ninayo muda wote kwenye kimeo changu
Hata hivyo zipo apps nzuri zaidi kwa ulinzi na usalama wa simu yako kama ikiibiwa

mkuu Mayu unapo sema whatsapp,facebook haziwi tracked mpawa ziwe "rooted" ina maana gani?
 
Last edited by a moderator:
daaah mkuu nimejaribu iko pouwa ila sasa nataka kuitoa ila haitoki,so embu nielekeze na jinsi ya kuunistall ,maana simu yangu ina tatizo la internal low memory
 
Wanajamvi, yote tumefundishana, tumefanya practical na kufaulu.
Sasa JE nikigundua mtu ananitrack nitatoa je hiyo app kwenye cmu yangu ili taarifa zisiende kwake?
 
Back
Top Bottom