Mleda mada ahsante sana.
Nilikuwa na hii hii shida na hivi majuzi nimeingia kwenye mtandao nikasoma kuhusu hizihabari na nikajifunza mengi bt bahati mbaya mlengwa wangu yupo dar na mm nipo mkoan!
kuispy sim yake ni shida kwa sababu sipo karibu nae ili kufanya hizo installations.
Ninapata shida sana na huyu mlengwa wangu maana kila tukiyofautiana anatishia kuniacha. Nahisi anatafuta sababu tu na huenda anamipango yake anayojihami nayo. Najua kabisa kuwa nitaumia bt nahitaji kumjua huyu mlengwa wangu na nijue ni nini kinaendelea katika ulimwengu wake hasa katika hiki kipindi ambacho tuko mbali.