How to track someone's phone?

How to track someone's phone?

Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku truck simu ya mtu mwingine
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake

Njia hizi za kutruck simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto wako au unayemuangalia ikiwa bado ni mdogo na yupo chini ya usimamizi wako..................zaidi ya hapo do it for your own risk

MAHITAJI YA UJUMLA
>Lazima unayetaka kumtrack awe na smartphone(kwa hapa nitaongelea Android)
>Hakikisha kwenye simu ya mlengwa ume enable unknown sources ili kuinstall apps nje ya google play
>Unapata nafasi ya kuwa na simu yake angala kwa dk 15(kulingana na ushap wako)ili uweze kudownload au kuhamishia hizo apps nakufanya installation bila mlengwa kujua

Njia ya kwanza
[APP][2.1+] Children Tracker Ver 2.9 - XDA Forum
Tembelea hapo kuna full details ikiwemo maelekezo kwa picha

NB
hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya internet wakati unafanya installation
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri ku hide apps icon
Hakikisha unadownload XDA version http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2824935&d=1404104298 na sio kutoka Google play wala Amazon

NJIA YA PILI
https://mobile-tracker-free.com/index.php
Tembele hapo soma kisha bofya "Install the application" kwa maelekezo zaidi ni vitu gani hii apps inaweza kutrack na niburee

NB
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri kuificha apps

ili uwe na uelewa mzuri wa nini unafanya nivizuri ukafanya mazoezi kwa kuinstall kwenye simu yako ili uone ni jinsi gani apps hizi zinavyo fanya kazi na pia upate uzoefu wa nini chakufanya bila kukose utakapotaka kuinstall kwenye simu ya mlengwa

Kama hujaelewa kitu uliza tuelekezane

This is very very dengerous kama unamtrack mpenzi wako simply becouse hakuna mkalimilifu
Unless kama humpendi unamtafutia sababu ya kuacha........unless otherwise usijaribu
Inashauriwa zaidi kutruck simu za watoto na wale tunaowaangalia chini ya usimamizi wetu ili wasitumie vibaya
This apps was not designed for trucking mambo ya mapenzi.............you have been warned

CC i think Kimboka JOHNKEKE WaKatende mmekutravella mawazoyangu Livingbuddy Richie @

nimefanikiwa lakini nataka niwe naziona na namba ambazo huwa anawasiliana nazo, maana naona yanakuja majina kama alivyosave katika contact yake ya simu. Mayu
 
Last edited by a moderator:
Mkuu. Nilifanikiwa. Mwanzoni niliweza kuona msg ila ilikuwa siku 2 za mwanzo tu. Baada ya hapo sioni chochote. Tatizo litakuwa nini?
 
Nitajaribu kueleza na kutumia picha pia

1 CHILDREN TRACKER
>Download app hapa http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2824935&d=1404104298

Unapoanza kufanya installation app itasomeka kama SYSTEM........Dont worry hii ni kumfanya mwenye simu akienda Apps Settings akiikuta aamini hii ni app muhimu ya simu so hatakuwa na hofu nayo

View attachment 173491
Ukimaliza kuinstall click OPEN, itafunguka kama inavyoonekana kwenye picha juu......click ACCEPT&CONTINUE




View attachment 173483
Ukifika hapa una click REGISTER





View attachment 173484
Ingiza email yako ambayo ndio utatumiwa password kwenye email utakayo ingiza hapa
You can use temporary email from here 10 Minute Mail
Then click REGISTER





View attachment 173485
Then utafika hapa ambapo utaambiwa login information zako zimetumwa kwenye email yako ulioingiza hapo juu
Nenda kwenye email yako, Ukimaliza click NEXT





View attachment 173474
Kwenye email yako utakuta umetumiwa taarifa hizo, link ya activate, email yako na password pamoja na link ya website utakaoitumia ku login na kuona tracking zote za simu lengwa
Rudi kwenye simu





View attachment 173486
Ukifika hapa chagua vitu unavyotaka kutrack kwenye simu lengwa then NEXT





View attachment 173487
Hapa sasa hiyo ya kwanza ukitick Enable evice Admin maana yake unaifanya app isiweze kutolewa(uninstall) kirahisi, ukienda kwenye Apps settings unakuta option ya ku uninstall haifanyi kazi hadi uende seting>security>phone administrators ili ui Deactivate ndio utaweza kuitoa....so ukitick itakupeleka device admn ili ui activate. uamuzi ni wako kama mtumia simu ni layman wa simu unaweza kuacha




View attachment 173488
Hapo kwenye HIDE APPLICATION ni muhimu sana kuhakikisha umepa tick ili kuificha apps isionekane, hizo no ziache maana hutaitaji kuishika simu yake so just click OK.....the NEXT





View attachment 173489
Hapa sasa unaweza kuclick go to application kuangalia kama app imeanza kufanya kazi na ikiwa OK itaoneka kama hivi hapa kwenye picha ya chini
View attachment 173490

Baada ya hapo exit kwa kubofya Home button or whatever..........you're done na simu ya mlengwa, mrudishie
Hakikisha wakati unafanya hili zoezi simu iwe na access na net

Rudi sasa kwenye email yako uliotumiwa
Kwanza kabisa click kwenye link ya ku ACTIVATE ACC yako
Pili ingia kwenye LOGIN SITE SafeT - Children Tracker kisha ingiza email yako na password uliyotumiwa kwenye email......Viola

Uzuri wa hii App
Ipo very simple
Website ipo vizuri haina complication zozote
Hata akiwa offline apps itakusanya taarifa zote, siku akiingia tu hewani inatuma taarifa zote kwenye website ya nini alifanya wakati akiwa offline

Ubaya wake
Ni siku saba tu baada ya hapo inaacha kufanya kazi hadi ulipie, inabidi sasa kila baada ya siku saba uitoe na uinstall upya kwa kutumia email nyimgine
Whatsapp, FB, tweeter hazifanyi kazi hadi simu lengwa iwe rooted

Kwa wasio watundu wa teknolojia nadhani hii inafaa zaidi kuliko ile ya pili, haina complication nyingi

Will be back kwa njia ya pili

Kiongizi hiii application ni nimependezwa nayo nielekeze jinsi ya kulipia sasa ili niitumie bila kuanstall na ni sh ngapi kwa mwaka
 
Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku truck simu ya mtu mwingine
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake

Njia hizi za kutruck simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto wako au unayemuangalia ikiwa bado ni mdogo na yupo chini ya usimamizi wako..................zaidi ya hapo do it for your own risk

MAHITAJI YA UJUMLA
>Lazima unayetaka kumtrack awe na smartphone(kwa hapa nitaongelea Android)
>Hakikisha kwenye simu ya mlengwa ume enable unknown sources ili kuinstall apps nje ya google play
>Unapata nafasi ya kuwa na simu yake angala kwa dk 15(kulingana na ushap wako)ili uweze kudownload au kuhamishia hizo apps nakufanya installation bila mlengwa kujua

Njia ya kwanza
[APP][2.1+] Children Tracker Ver 2.9 - XDA Forum
Tembelea hapo kuna full details ikiwemo maelekezo kwa picha

NB
hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya internet wakati unafanya installation
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri ku hide apps icon
Hakikisha unadownload XDA version http://forum.xda-developers.com/attachment.php?attachmentid=2824935&d=1404104298 na sio kutoka Google play wala Amazon

NJIA YA PILI
https://mobile-tracker-free.com/index.php
Tembele hapo soma kisha bofya "Install the application" kwa maelekezo zaidi ni vitu gani hii apps inaweza kutrack na niburee

NB
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri kuificha apps

ili uwe na uelewa mzuri wa nini unafanya nivizuri ukafanya mazoezi kwa kuinstall kwenye simu yako ili uone ni jinsi gani apps hizi zinavyo fanya kazi na pia upate uzoefu wa nini chakufanya bila kukose utakapotaka kuinstall kwenye simu ya mlengwa

Kama hujaelewa kitu uliza tuelekezane

This is very very dengerous kama unamtrack mpenzi wako simply becouse hakuna mkalimilifu
Unless kama humpendi unamtafutia sababu ya kuacha........unless otherwise usijaribu
Inashauriwa zaidi kutruck simu za watoto na wale tunaowaangalia chini ya usimamizi wetu ili wasitumie vibaya
This apps was not designed for trucking mambo ya mapenzi.............you have been warned

CC i think Kimboka JOHNKEKE WaKatende mmekutravella mawazoyangu Livingbuddy Richie @

Kaaaz kweeel kweeel
 
Last edited by a moderator:
Ukiweka kwenye simu yangu within a day or two nishajua!

Hii mtu mjuzi wa tech huwezi kumfanyia.
 
How will you know????

Swali zuri.

The Child tracker app from XDA nimeiinstall na kuipa root permissions na kuangalia utendaji kazi wake vizuri. Ni nzuri na hatari sana, ila nitaishtukia kama ifuatavyo:

Kwanza kwa kuwa inatumia root, kila inapotrace kwa interval lazima italeta ile notification toast ya 'Granted System to get root permission'. I know what root is, na kuona app inatumia root muda wowote inaojiskia lazima kutanispook na ntafuatilia. Actually kuna app moja ilikua na mchezo huu nikafuatilia nikagundua ni bug na ilikuwa fixed kwenye update. Ogopa sana root privileges.

Pili, inaweza ikawa imejificha kwenye app drawer au launcher, ila haiwezi kujificha kwenye App manager yoyote. Na mimi natumia Root Task na App Manager. Kuona a certain downloaded app called 'System' with a fishy package name like 'me.safet.safetme' instead of com.google.android lazima kutanishtua.

Na kwakuwa mimi ni mtu wa kucheck data use....what do you expect? Si ntaiona tu inavyokula data?

Kwa kukuambia tu, huu mda nliotype hii post tayari imeshaomba root privileges mara mbili...kwahiyo isingekaa hata siku moja nzima kwenye simu yangu.

Ila sasa, ubaya wa hii app ni kwamba ikishakuwa installed na configured inatuma a great deal of incriminating data hapo hapo. Texts, Calls, Browser history, Installed apps kwahiyo by the time inashtukiwa inaweza ikawa ishafanya damage ya kutosha.
 
Swali zuri.

The Child tracker app from XDA nimeiinstall na kuipa root permissions na kuangalia utendaji kazi wake vizuri. Ni nzuri na hatari sana, ila nitaishtukia kama ifuatavyo:

Kwanza kwa kuwa inatumia root, kila inapotrace kwa interval lazima italeta ile notification toast ya 'Granted System to get root permission'. I know what root is, na kuona app inatumia root muda wowote inaojiskia lazima kutanispook na ntafuatilia. Actually kuna app moja ilikua na mchezo huu nikafuatilia nikagundua ni bug na ilikuwa fixed kwenye update. Ogopa sana root privileges.

Pili, inaweza ikawa imejificha kwenye app drawer au launcher, ila haiwezi kujificha kwenye App manager yoyote. Na mimi natumia Root Task na App Manager. Kuona a certain downloaded app called 'System' with a fishy package name like 'me.safet.safetme' instead of com.google.android lazima kutanishtua.

Na kwakuwa mimi ni mtu wa kucheck data use....what do you expect? Si ntaiona tu inavyokula data?

Kwa kukuambia tu, huu mda nliotype hii post tayari imeshaomba root privileges mara mbili...kwahiyo isingekaa hata siku moja nzima kwenye simu yangu.

Ila sasa, ubaya wa hii app ni kwamba ikishakuwa installed na configured inatuma a great deal of incriminating data hapo hapo. Texts, Calls, Browser history, Installed apps kwahiyo by the time inashtukiwa inaweza ikawa ishafanya damage ya kutosha.

Meseji mbili tu za adui ni ushindi, hadi ushtuke tayari mwenzako ameshapata taarifa.
 
Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku truck simu ya mtu mwingine
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake

Njia hizi za kutruck simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto wako au unayemuangalia ikiwa bado ni mdogo na yupo chini ya usimamizi wako..................zaidi ya hapo do it for your own risk

MAHITAJI YA UJUMLA
>Lazima unayetaka kumtrack awe na smartphone(kwa hapa nitaongelea Android)
>Hakikisha kwenye simu ya mlengwa ume enable unknown sources ili kuinstall apps nje ya google play
>Unapata nafasi ya kuwa na simu yake angala kwa dk 15(kulingana na ushap wako)ili uweze kudownload au kuhamishia hizo apps nakufanya installation bila mlengwa kujua

Njia ya kwanza
[APP][2.1+] Children Tracker Ver 2.9 - XDA Forum
Tembelea hapo kuna full details ikiwemo maelekezo kwa picha

NB
hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya internet wakati unafanya installation
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri ku hide apps icon
Hakikisha unadownload XDA version xda-developers na sio kutoka Google play wala Amazon

NJIA YA PILI
https://mobile-tracker-free.com/index.php
Tembele hapo soma kisha bofya "Install the application" kwa maelekezo zaidi ni vitu gani hii apps inaweza kutrack na niburee

NB
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri kuificha apps

ili uwe na uelewa mzuri wa nini unafanya nivizuri ukafanya mazoezi kwa kuinstall kwenye simu yako ili uone ni jinsi gani apps hizi zinavyo fanya kazi na pia upate uzoefu wa nini chakufanya bila kukose utakapotaka kuinstall kwenye simu ya mlengwa

Kama hujaelewa kitu uliza tuelekezane

This is very very dengerous kama unamtrack mpenzi wako simply becouse hakuna mkalimilifu
Unless kama humpendi unamtafutia sababu ya kuacha........unless otherwise usijaribu
Inashauriwa zaidi kutruck simu za watoto na wale tunaowaangalia chini ya usimamizi wetu ili wasitumie vibaya
This apps was not designed for trucking mambo ya mapenzi.............you have been warned

CC i think Kimboka JOHNKEKE WaKatende mmekutravella mawazoyangu Livingbuddy Richie @
MAMBO YA CYBER CRIME HAYO, MWENZENU KULE MAREKANI ANATUMIKIA KIFUNGO CHA MIAKA 18 mambo kama hayo n huu ndo kwanza mwaka wake wa kwanza, unatafuta ujue siri zake iki zikusaidie nini? Afu ukijua nia yako iweje? Hahahaha mmekosa kazi za kufanya nyie
 
Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku truck simu ya mtu mwingine
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake

Njia hizi za kutruck simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto wako au unayemuangalia ikiwa bado ni mdogo na yupo chini ya usimamizi wako..................zaidi ya hapo do it for your own risk

MAHITAJI YA UJUMLA
>Lazima unayetaka kumtrack awe na smartphone(kwa hapa nitaongelea Android)
>Hakikisha kwenye simu ya mlengwa ume enable unknown sources ili kuinstall apps nje ya google play
>Unapata nafasi ya kuwa na simu yake angala kwa dk 15(kulingana na ushap wako)ili uweze kudownload au kuhamishia hizo apps nakufanya installation bila mlengwa kujua

Njia ya kwanza
[APP][2.1+] Children Tracker Ver 2.9 - XDA Forum
Tembelea hapo kuna full details ikiwemo maelekezo kwa picha

NB
hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya internet wakati unafanya installation
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri ku hide apps icon
Hakikisha unadownload XDA version xda-developers na sio kutoka Google play wala Amazon

NJIA YA PILI
https://mobile-tracker-free.com/index.php
Tembele hapo soma kisha bofya "Install the application" kwa maelekezo zaidi ni vitu gani hii apps inaweza kutrack na niburee

NB
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri kuificha apps

ili uwe na uelewa mzuri wa nini unafanya nivizuri ukafanya mazoezi kwa kuinstall kwenye simu yako ili uone ni jinsi gani apps hizi zinavyo fanya kazi na pia upate uzoefu wa nini chakufanya bila kukose utakapotaka kuinstall kwenye simu ya mlengwa

Kama hujaelewa kitu uliza tuelekezane

This is very very dengerous kama unamtrack mpenzi wako simply becouse hakuna mkalimilifu
Unless kama humpendi unamtafutia sababu ya kuacha........unless otherwise usijaribu
Inashauriwa zaidi kutruck simu za watoto na wale tunaowaangalia chini ya usimamizi wetu ili wasitumie vibaya
This apps was not designed for trucking mambo ya mapenzi.............you have been warned

CC i think Kimboka JOHNKEKE WaKatende mmekutravella mawazoyangu Livingbuddy Richie @

Vp kuhusu mtu ambae hatunii android phone
 
Last edited by a moderator:
hii ni waraobaini ya wachepukaji!! na ikibidi wewe namwenzio mnainstall pamoja. ila je kama ofisi tofauti je si nanunu cmu na jina mtum mwingine vijana kibao unampa book jero tu anasajili kwa jina lake then unaweka kwa ofisi kwa kwenda mbele na hapo jeeee tracking ????
 
Mleda mada ahsante sana.
Nilikuwa na hii hii shida na hivi majuzi nimeingia kwenye mtandao nikasoma kuhusu hizihabari na nikajifunza mengi bt bahati mbaya mlengwa wangu yupo dar na mm nipo mkoan!
kuispy sim yake ni shida kwa sababu sipo karibu nae ili kufanya hizo installations.
Ninapata shida sana na huyu mlengwa wangu maana kila tukiyofautiana anatishia kuniacha. Nahisi anatafuta sababu tu na huenda anamipango yake anayojihami nayo. Najua kabisa kuwa nitaumia bt nahitaji kumjua huyu mlengwa wangu na nijue ni nini kinaendelea katika ulimwengu wake hasa katika hiki kipindi ambacho tuko mbali.
 
Kumekua na maswali mengi sana kuhusu watu kutaka kujua namna ya ku truck simu ya mtu mwingine
Kwanza kabisa naomba itambulike kuchunguza simu ya mtu mwingine bila ridhaa yake ni kosa kisheria na kuingilia uhuru wa mtu kwasababu kila mtu ana uhuru wa kuwa na privacy zake

Njia hizi za kutruck simu hutumika zaidi kufuatilia mtoto wako au unayemuangalia ikiwa bado ni mdogo na yupo chini ya usimamizi wako..................zaidi ya hapo do it for your own risk

MAHITAJI YA UJUMLA
>Lazima unayetaka kumtrack awe na smartphone(kwa hapa nitaongelea Android)
>Hakikisha kwenye simu ya mlengwa ume enable unknown sources ili kuinstall apps nje ya google play
>Unapata nafasi ya kuwa na simu yake angala kwa dk 15(kulingana na ushap wako)ili uweze kudownload au kuhamishia hizo apps nakufanya installation bila mlengwa kujua

Njia ya kwanza
[APP][2.1+] Children Tracker Ver 2.9 - XDA Forum
Tembelea hapo kuna full details ikiwemo maelekezo kwa picha

NB
hakikisha simu ya mlengwa ina connection ya internet wakati unafanya installation
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri ku hide apps icon
Hakikisha unadownload XDA version xda-developers na sio kutoka Google play wala Amazon

NJIA YA PILI
Mobile Tracker Free - Monitoring software for Android smartphone - Tracking SMS, Calls, Location, Pictures, Applications, Facebook, WhatsApp, Recording calls ...
Tembele hapo soma kisha bofya "Install the application" kwa maelekezo zaidi ni vitu gani hii apps inaweza kutrack na niburee

NB
Hakikisha unafuata maelekezo vizuri kuificha apps

ili uwe na uelewa mzuri wa nini unafanya nivizuri ukafanya mazoezi kwa kuinstall kwenye simu yako ili uone ni jinsi gani apps hizi zinavyo fanya kazi na pia upate uzoefu wa nini chakufanya bila kukose utakapotaka kuinstall kwenye simu ya mlengwa

Kama hujaelewa kitu uliza tuelekezane

This is very very dengerous kama unamtrack mpenzi wako simply becouse hakuna mkalimilifu
Unless kama humpendi unamtafutia sababu ya kuacha........unless otherwise usijaribu
Inashauriwa zaidi kutruck simu za watoto na wale tunaowaangalia chini ya usimamizi wetu ili wasitumie vibaya
This apps was not designed for trucking mambo ya mapenzi.............you have been warned

CC i think Kimboka JOHNKEKE WaKatende mmekutravella mawazoyangu Livingbuddy Richie @
je naweka kwenye simu yake tu hii app au na kwenye simu yng maana najiuliza jinsi gani ntapata hizo notification
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom