Smile
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 15,347
- 11,610
- Thread starter
- #41
Nikuambie kitu binti mwenzangu@Purple.. wewe kama binadamu una matatizo A b c d ....UNAPOINGIA KWENYE MAHUSIANO NA matatizo yako yakawa a b c d e f g.... kimbia kama ulikuwa na abcd at least yawe abc au ab au a au yafutike kabisa...ndo maana ya kutafuta partner ili msaidiane sio kushow off?purple likes this, nilifikiri huu mtazamo ninao mimi tu..:gossip: