Dark City
JF-Expert Member
- Oct 18, 2008
- 16,253
- 11,599
'The cake is done when banana is soft'..lol!
'If banana does not soften, repeat steps 3-5 or change mixing bowls'...mmmh!
Unahitaji maombi Smile
mimi sijasema kubadilisha mabakuli bwana loh! mimi hizo laana nazichukia mbona ..utabadilishaje bakuli?
Sasa wewe Smile unajaribu kusemaje au unakana nini???
Hata na huyu mdau SnowBallnaye kazee kana kupoteza memory kama sie??
Unaonaje ukiamua kutuliza hasira za babu kabla hajaanza kumwaga malaana yake??? Huwezi kumtukana eti anazeeka vibaya halafu ukabaki salama....!!
Babu DC!!