Smile ndo umefika huku kuwa 'mwalimu'? Nilidhani kuwa mambo ya kumalove na ku have sex kwako hayapandi kabisa! khaaa
ahahaa nimecopy tu na kupaste mkuu...mimi hata hayo mambo sijui mieMmmmh mdogoangu Smile! This too EROTIC.....................where is EROTICA?.................she/he will spice up more...........oooh Kongosho is here.............but kungwi gfsonwin is on strike.Have you seen Kaunga recently......or may be Boflo kamficha........but watch out Boflo sijakula mbuzi ya kaka,te te te...........hata Fighter na Sikonge hawajasongewa ugali na Nsansa as the in-laws
Thanks for the thread though,made me Smile in the mi.ddle of miserable day,very busy indeed.
Hommie.....dah! :A S 27:
Naona sasa mmeamua kuanza matusi.....
Kwa herini na hamtaniona tena kwenye hizi thread zenu.....!!
Heshima yangu mbele ya wajukuu ni kubwa kuliko kila kitu,
CIAO,
Babu DC!!
Hapana babu, tunapenda kukutania tu.
mpaka hapa nimesoma post hadi ya 40 tu naona niishie hapa manake nimefungiwa kwenye 5 star hotel na mr loverman ngoja kwanza ni fungatike nikimaliza nitakuja kumwaga maujuzi yangu yote ya when do we make sex and when do we make love.
But all in all love making ni joyous kuliko having sex.................. abeeeeeeeeeeeee naja dear wangu. shshshhhhhhhhhhhhhhhh......haya naitwa na ---- wangu baadae.
Sasa wewe Kongosho, ndo tunataniana hivyo kwa kuvunjiana heshima tena mbele ya wajukuu???
Au umesahau ulivyofundwa kwamba hata ukitokewa na mtu (awe babu/kibabu, chizi au sharo), ni siri yako hadi kaburini ili ukamsimulie aliyekuumba??
Naona kwa kiasi fulani watunza nidhamu wameanza kushindwa kazi...lol!!
Babu DC!!!
:faint2::cell::noidea:
@Erotica kaniomba nimpostie ni mgonjwa...
pole sana Purple inaelekea kuna boy or boys alishawai/walishawai kukumiza! maneno mazito hayo, all in all jipe moyo 1day utapata ambaye sahii kwako, trustexactly mamie na ndo maana hua najisemea mwanaume nimtakaye bado hajazaliwa na kama ameshazaliwa basi ameshazeeka..hawa wa siku hizi kuharibiana mipango ya maisha tu!