how to hide my ip address?

wakuu..

mi nadhani kwanza tumejibu swali la ROSE kuwa unaweza ficha IP adress yako hata kama ni Public IP...ila mapungufu yake ni kwamba huwezi funga moja kwa moja kwa kutumia softiware na ujanja unaweza onekana

la pili ni hizi proxy adress nadhani na zenyewe zina risk zake. sababu hujui ni Proxy ya nani ya Hacker au la

kupata proxy utayo i trust ni vizuri kutumia proxy ya Public mfano vyuo vingi marekani wanatoa proxy for freee...so watapata faida gani waki ku hack wewe!!

tatu ni vizuri kutumia softwares kuficha ip yako software kama Tor, utrasulf na nyinginezo japo hazina 100% guarantee.

This was for education. nadhani nimepata maarifa ya kutosha. thanx wakuu wote.

>kwa ambao wanasema proxy inagoma nadhani hiyo ni BUG ambayo inaitaji maelekezo. ngoja niwatumie jamaa wa nobodycanstop.us watupe FIX yake.

(Naamini siku inakuja hasa wakati wa uchaguzi au vingine ambapo serikari itaifungia hii Forum hasa kwa mambo ya kisiasa na usalama.
mtu hataweza kuifungua akiwa TZ ila kwa kutumia njia za ku HIDE IP ataweza kupata access so ni vizuri wana jamii wote tufahamu hili somo.
kama anko ruckus alivyo post kuhusu BBC imegundua kuwa serikali ina Clone Jamii forum website na kupoteza ukweli.
so itafika kipindi itabidi ufiche ip yako ndio upate access ya true page ya JF na bila kuficha utafungua fake page ya JF ya serikari.)
huu ni mtazamo tu kama wenzetu egypt na tunisia walivyo blockiwa social sites wakawa wanatumia proxy na software kurusha maelezo na video kwenye youtube na facebook. au kama wanajamii wa china wanavyofanya.(mtazamo tu jamani sijui lolote kuhusu siasa)

Cheers!!
 
wakuu..

mi nadhani kwanza tumejibu swali la ROSE kuwa unaweza ficha IP adress yako hata kama ni Public IP...ila mapungufu yake ni kwamba huwezi funga moja kwa moja kwa kutumia softiware na ujanja unaweza onekana

la pili ni hizi proxy adress nadhani na zenyewe zina risk zake. sababu hujui ni Proxy ya nani ya Hacker au la

kupata proxy utayo i trust ni vizuri kutumia proxy ya Public mfano vyuo vingi marekani wanatoa proxy for freee...so watapata faida gani waki ku hack wewe!!

tatu ni vizuri kutumia softwares kuficha ip yako software kama Tor, utrasulf na nyinginezo japo hazina 100% guarantee.

This was for education. nadhani nimepata maarifa ya kutosha. thanx wakuu wote.

>kwa ambao wanasema proxy inagoma nadhani hiyo ni BUG ambayo inaitaji maelekezo. ngoja niwatumie jamaa wa nobodycanstop.us watupe FIX yake.

Cheers!!

nafikiri ni hatari kutumia ile proxy uliyotupa jana,wakati mwingine ukiweka web unayotaka kuingia wasikuone inapotea,inawezekana inafanyiwa kazi mbele kwa mbele,
kama kuna proxy ambazo ni safe unaweza kutusaidia kufanya research
 
Asanteni wote mliochangia maana nimejifunza mengi na kupata maswali mengi mengi, nitarudi.
 
Sio kwamba im picking sides, ila I respect kila m2 anaechangia [isipokuwa ukitoa 'DUMB' nitakwambia kama nidumb, sio kwa nia ya kukucheka ila just kukufanya uingie hasirausome]

Hio ya juu irrelevant. Nataka kusema ROSEMARIE umekosea kupick sides na kumponda Ruckus [after all, hez just uncle Ruckus no relation :-D]. Alikuwa anabishana kukusaidia wewe, na wewe ndo unamkandia. He deserves a thank you! kabishana, wakajikamua ikapatikana elimu! kubishana sio kosa. napenda watu wanaobishana kwenye elimu, na miezi tele sijagusa jukwaa jengine kwasababu hii!

Na naombeni msichukulie mabishano yenu personally!

cheers! my ip address is G0E.FYO.URS.ELF :-D!!

Mkuu nimeshangaa sana hiki kitu.
 
kuna kitu nimegundua,nafikiri humu ndani kuna watu wanajali na kufatilia,Uncle Rufus i am very sorry,
lakini sikupenda jinsi ulivyomjibu sharobalo,huyu mtaalam anatusaidia sana,kwa mimi sioni sababu ya kwenda darasani,
hili darasa nalopata hapa linanitosha kabisa,

Tuendelee kupeana somo........
 
Inashangaza sana, yaani mnataka kuficha IP address kwa kutumia website nyingine?

Je hao wenye hiyo website (nobodycanstopus), vipi mna waamini...!? Alafu website yenyewe wameipa jina NoBody Can Stop Us. Hamshtuki tu.

Mkuu haya mambo ukiyaelewa ni raha sana, lakini ni vizuri zaidi tukawa na upeo wa hali ya juu, nimeshangaa sana aiseee!
 
Lakini tukubali yote wakuu, Online huwezi kujificha kabisa, kama wakitaka kukufatilia na kukukamata basi unaweza patikana hata kwa nini, labda usitumie internet, ni sawa sawa na utumie website na ujiregister alafu useme kwamba Adminstrator hawezi kuona details zako ulizoweka hiyo kitu ni uongo.....ISP(Internet Service Provider) ni njia moja wapo ya kuweza kufahamu zaidi.

N.B hili swala huko mwanzoni kabisa tulishalijadili kiundani zaidi hapa hapa jukwaani. So unaweza kuhide IP yes hamna mtu mwenye haja ya kukufatilia mpaka ufanye mambo ambayo yapo nje ya sheria then ndio utafahamu kama ni NDIO au HAPANA.
 
Mkuu haya mambo ukiyaelewa ni raha sana, lakini ni vizuri zaidi tukawa na upeo wa hali ya juu, nimeshangaa sana aiseee!
Mkuu Papizo, hii dunia ukishangaa sana unaweza kujikuta unapata makengeza bure!
 
Mkuu Papizo, hii dunia ukishangaa sana unaweza kujikuta unapata makengeza bure!

Mkuu nimekuwa shocked kabisa kuona mtu anaamini mara moja kitu ambacho kipo wazi....duu itabidi nisishangae sana haha
 
Mkuu nimekuwa shocked kabisa kuona mtu anaamini mara moja kitu ambacho kipo wazi....duu itabidi nisishangae sana haha
Kaka binadamu tonatofautiana sana, kuna wenye kuamini chochote kile kwenye mitandao na kuna wale ambao wanapenda kutafiti kwanza.
 
Lakini tukubali yote wakuu, Online huwezi kujificha kabisa, kama wakitaka kukufatilia na kukukamata basi unaweza patikana hata kwa nini, labda usitumie internet, ni sawa sawa na utumie website na ujiregister alafu useme kwamba Adminstrator hawezi kuona details zako ulizoweka hiyo kitu ni uongo.....ISP(Internet Service Provider) ni njia moja wapo ya kuweza kufahamu zaidi.

N.B hili swala huko mwanzoni kabisa tulishalijadili kiundani zaidi hapa hapa jukwaani. So unaweza kuhide IP yes hamna mtu mwenye haja ya kukufatilia mpaka ufanye mambo ambayo yapo nje ya sheria then ndio utafahamu kama ni NDIO au HAPANA.


kipo wazi kivipi,eleza kwa in details


Nimeelezea hapo juu kwamba kama ukiwa unataka kuhide IP yako kwa mambo ya kawaida kama hutaki mtu yoyote aijue au hata mtu akiita apate ugumu wa kuijua sawa inawezekana, ila kusema kuificha hata kukitokea tatizo kubwa usipatikane inakuwa ngumu sana maana kila kitu kipo kitajionyesha, au labda nikuulize swali, ina maana hao watu wako wanaokupa Internet hawajui unachofanya online hata kama ukihide IP??
 
Back
Top Bottom