How to beat Your Wife

...tatizo ni kwakuwa shehe kasema?

...nawashauri mumsikilize tena kwa makini, mtafakari na muelewe, (unless tatizo
litakuwa lugha.)

Shehe kwenye ufafanuzi wake amesema mke hapigwi!
(mume) Ataruhusiwa kupiga (as a last resort!) baada ya kumkanya, kumuonya, na kumtishia
pale tu mke atapomnyima unyumba (waliopo kwenye ndoa mnajua sio ajabu kunyimana unyumba)

fikiria Kupiga bila kupitiliza, kuumiza au kutoa alama, kuna maana gani kisha tujadili.
Mbu huyu Shehe ana lake jambo kwa kweli
 
Kumbe ndio Maana Gaidi Sheikh Osama Bin Laden aliwateka wanawake 3 na kuishi nao mafichoni kama wake zake! sasa nimepata jibu. Atakaesema Osama aliwahi kuoa naomba ushaidi wa picha hapa au video clip.
 
Eti unaruhusiwa kumdunda waifu akikunyima tu, baaaaaaaasi
Tena bila kuinua mkono juu, bila kumfanya akose raha na tena isiwe kichwani. Its Forbidden!!!!!
Nje na hapo, HURUHUSIWI HATA KUMTISHA . . . achilia mbali kumpiga kabisa.
Mtangazaji amebaki ameduwaa tu, haamini!!!!!!!!!!!
kwa mtaji huu,ndugu zangu wa kule,
kwa akina mwita maranya imekula kwao!!!!!!!!
kule mke anashikiwa mpaka panga lol.....
 
Duuuh... interesting!

Interpretation over interpretation of interpreted "Holy Words"... Waafrika hatukuandika ya kwetu, wala hatuandiki ya kwetu. We swallow like it is whole heartedly!!
 
...tatizo ni kwakuwa shehe kasema?

...nawashauri mumsikilize tena kwa makini, mtafakari na muelewe, (unless tatizo
litakuwa lugha.)

Shehe kwenye ufafanuzi wake amesema mke hapigwi!
(mume) Ataruhusiwa kupiga (as a last resort!) baada ya kumkanya, kumuonya, na kumtishia
pale tu mke atapomnyima unyumba (waliopo kwenye ndoa mnajua sio ajabu kunyimana unyumba)

fikiria Kupiga bila kupitiliza, kuumiza au kutoa alama, kuna maana gani kisha tujadili.

Huwezijua Mbu,
labda sheikh alikuwa anaelezea,
kumpiga mke kisharobaro sio kama wanavyopiga wale watu wa Musoma!!!!!!!!
 
Sheikh amenichekesha sana, lakini pia ametoa somo zuri sana, usipige kichwani, usimtoe alama, usimfanye awe mbaya nk... Bongo watu wanadunda wake zao hadi wanawatoa macho aisee, AIBU

Ila sheikh naye mhuni sana, ati anasema akikunyima unaweza ukamla kichapo, sasa ukishapiga si ndio hupewi kabisa mchezo aisee??? nimependa msisitizo pale alipokua anasema akikunyima... where esle could the husband go???

hahahahah
 
Mimi nasubiri tu hizo comments.. Very interesting.... the clip na comments of course....
 
Sheikh amenichekesha sana, lakini pia ametoa somo zuri sana, usipige kichwani, usimtoe alama, usimfanye awe mbaya nk... Bongo watu wanadunda wake zao hadi wanawatoa macho aisee, AIBU

Ila sheikh naye mhuni sana, ati anasema akikunyima unaweza ukamla kichapo, sasa ukishapiga si ndio hupewi kabisa mchezo aisee??? nimependa msisitizo pale alipokua anasema akikunyima... where esle could the husband go???

hahahahah

Mkuu hebu stop kunichekesha bana.

Leo huku ofisini nimekuwa kama kreze!
 
Rafiki acha uchoyo.

Mchungaji Masa. Leo umefanikiwa kunichekesha. Nimecheka kama zuzu....khaaaaaaaaa!
mchungaji anataka kunigombanisha na mkoloni sasa.... maana nimecheka na kushindwa kujizuia aisee

tafsiri ya uswahilini wanakwambia "chapa ilale"
 
Hakuna kipigo kisicho na majeruhi, waweza mpiga chn ukamchubua, ukamvimbisha juu, nk jamani wachangiaji hamlioni hilo?
 
Hakuna kipigo kisicho na majeruhi, waweza mpiga chn ukamchubua, ukamvimbisha juu, nk jamani wachangiaji hamlioni hilo?
ndio maana kuna mafunzo ya namna ya kupiga, waswahili ni migumi na miteke... sheikh katoa somo, sasa ni busara zetu kung'amua

Mie ntamchapa taratiiiibu hadi mwenyewe analegea na kulala swafi,
 
  • Thanks
Reactions: Mbu
mchungaji anataka kunigombanisha na mkoloni sasa.... maana nimecheka na kushindwa kujizuia aisee

tafsiri ya uswahilini wanakwambia "chapa ilale"

Mchungaji sijui kaamkia wapi.

Ila huyu shehe naye dah! Hivi mtu akakunyima mzigo ukamdunda za tumboni ili akupe. Akikugea huku analia, utamu utatoka wapi? Si bora upige punyeto au uwahi Rose Garden ujichukulie Jonista wako upige cha chap chap?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom