How the Dreamliner is Killing Tanzanians dream?

Tanzania is a country in East Africa with a population of over 50 million people and per capita income of just about 1000 USD. The country has one of the fastest growing graduates unemployment in the region with a very high dependent ratio and rapid population increase.

For the past few years the country has undergone tremendous change in the areas of infrastructure,human rights democracy,freedom as well as inflation.The inflation especially in food crops is rising steadily while the incomes of majority of the population is shrinking due to unemployment and low wages.

Despite all these Tanzania has invested heavily in infrastructure projects including the construction of the SGR, A Hydro Power Project as well the purchase of brand new aircraft to revamp the national career Air Tanzania.

The recent purchase of aircrafts which included a dream liner (Boeing 787-800) comes amidst divided opinion among the majority of the people in the country with some criticizing and others supporting the move.

Analyst have looked at the decision to purchase aircrafts amidst tight resources and majority of them are against the move due to the fact that resources a limited and an aircraft carries with it costs to maintain it and the current aviation market in the country cannot support the operations of a Dreamliner or Air crafts in general.

Some analyst believe that the next president will have to make tough decisions to dispose of the aircrafts and invest the monies where they will have major impacts such as in health,education,water and sanitation as well as in improving the business environment and youth empowerment .

Do you think the Dreamliner will take aways Tanzanians dreams?Let us discuss on other productive use to which the money used to pay for the dreamlines could have been used and the impact that would have.
daah kiswahili kinahitajika, yaani unataka nianze kutafuta kamusi sasa hivi? Ila kiufupi maendeleo ni kama kujenga nyumba lazima uanze na msingi kwanza, na msingi ni pamoja na miundombinu. Kwa sasa vijana tulime tu, kama tukikosa ajira za kuajiriwa au kujiajiri. Ila baadae miundombinu hii itatupa ajira sina shaka sana na hilo. Hata hivyo watu milion 50 hatuwez wote tuka ajiriwa, jamani ajira iko shambani tuliambiwa toka tulivokuwa shule ya msingi, na shambani sio lazima tu tulime hata kufuga kuku pia ni kilimo.
 
Huwezi endeleea bila kuwa na kitu cha kuingiza pesa za kigeni ndani. Ndege ni moja ya biashara nzuri sana ya export inayokuingizia pesa ndani na time to market is very short.

Biashara zinazozungurushwa ndani mnazotaka ndo zitawatia watu umasikini zaidi.

Ukitaka kufahamu hilo, nenda kijijini kwenu kawape milion 100 uwafungie wafanye biashara wao kwa wao, wasitoke nje, rudi baada ya miaka 5 utakuta wamekuwa masikini zaidi, na hizo milion 100 zimepugua zaidi maana zingine zimechanika na zingine zimepotea.

Mkumbuke biashara inayofanyika humo ndani bila export hiyo si biashara bali ni service. Hii service itaenda kwa pyramid scheme na mwisho kuanguka.
Magufuli na serikali yake kununua ndege is the right approach.
Kuwepo na uwazi basi, ili kila mmoja aone faida iletwayo na ndege zetu. Kenya airways pamoja na kuwana routes kibao za kimataifa bado haifanyi faida. Sisi tuna muujiza gani kwa route zetu hizi za ndani? Walipa Kodi tutabebeshwa mzigo mzito was kuhudumia hizi ndege _ let us wait and see. Mbaya zaidi tutakuja kuyasikia haya utawala utakaopita Kama ambavyo leo tunavyosikia madudu ya serikali zilizopita na wakati huo tutakuja tumeshapoteza pesa nyingi Kama mradi wa katiba mpya.
 
Kuwepo na uwazi basi, ili kila mmoja aone faida iletwayo na ndege zetu. Kenya airways pamoja na kuwana routes kibao za kimataifa bado haifanyi faida. Sisi tuna muujiza gani kwa route zetu hizi za ndani? Walipa Kodi tutabebeshwa mzigo mzito was kuhudumia hizi ndege _ let us wait and see. Mbaya zaidi tutakuja kuyasikia haya utawala utakaopita Kama ambavyo leo tunavyosikia madudu ya serikali zilizopita na wakati huo tutakuja tumeshapoteza pesa nyingi Kama mradi wa katiba mpya.
Natabiri usiri kwenye kukagua vitabu utaendelea, na shirika litabebwa kwa hela nyingi za walipakodi ambazo hata kwenye bajeti hazimo.

Ili mradi tu watu waseme "Magufuli Oyeee, CCM Oyee".
 
Ethiopian Airlines yenyewe una matatizo kibao, licha ya kuonekana ni kinara.

Soma hapa uone vinara wanavyosuasua.

Halafu sisi serikali yetu iliyoshindwa kufanya buashara ya korosho inajiingiza kwebye biashara ya ndege kichwakichwa.

Mtaliwa kichwa mlie hapo.


Ukweli ni kwamba aviation industry ina changamoto nyingi tu.

Hata hayo mashirika makubwa nayo yana changamoto nyingi.

Mapema mwaka huu Singapore Airlines iliingia hasara.

Mwaka jana walianza mageuzi ya kupunguza gharama za uendeshaji wa shirika ili waweze kushindana vizuri na washindani wake kutoka Mashariki ya Kati na kwingineko.

Kuogopa kufanya jambo kwa sababu lina changamoto ni defeatist attitude.

Changamoto ni sehemu ya maisha ya kila siku.

Hazikwepeki.

Hivyo hakuna biashara isiyo na changamoto.

 
daah kiswahili kinahitajika, yaani unataka nianze kutafuta kamusi sasa hivi? Ila kiufupi maendeleo ni kama kujenga nyumba lazima uanze na msingi kwanza, na msingi ni pamoja na miundombinu. Kwa sasa vijana tulime tu, kama tukikosa ajira za kuajiriwa au kujiajiri. Ila baadae miundombinu hii itatupa ajira sina shaka sana na hilo. Hata hivyo watu milion 50 hatuwez wote tuka ajiriwa, jamani ajira iko shambani tuliambiwa toka tulivokuwa shule ya msingi, na shambani sio lazima tu tulime hata kufuga kuku pia ni kilimo.
Mkuu kwa mtanzamo wangu cha kwanza kinatakiwa elimu bora,sasa miundombinu plus elimu bure ya magufuli,utapateje ajira bila ujuzi na maarifa kichwani?
 
Ukweli ni kwamba aviation industry ina changamoto nyingi tu.

Hata hayo mashirika makubwa nayo yana changamoto nyingi.

Mapema mwaka huu Singapore Airlines iliingia hasara.

Mwaka jana walianza mageuzi ya kupunguza gharama za uendeshaji wa shirika ili waweze kushindana vizuri na washindani wake kutoka Mashariki ya Kati na kwingineko.

Kuogopa kufanya jambo kwa sababu lina changamoto ni defeatist attitude.

Changamoto ni sehemu ya maisha ya kila siku.

Hazikwepeki.

Hivyo hakuna biashara isiyo na changamoto.

Suala si kuogopa kufanya biashara kwa sababu ya changamoto.

Suala ni, serikali iliyoboronga biashara ya korosho imejipanga vipi kuhakikisha haitulishi hasara katika biashara complex sana ya usafiri wa anga?

Mbona haitaki hata vitabu vya shirika vikaguliwe?

Mbona shirika linapelekwa kisiasa, kitu ambacho magwiji wa biashara wameasa ni kibaya na kinachangia sana hasara?
 
Suala si kuogopa kufanya biashara kwa sababu ya changamoto.

Suala ni, serikali iliyoboronga biashara ya korosho imejipanga vipi kuhakikisha haitulishi hasara katika biashara complex sana ya usafiri wa anga?

Mbona haitaki hata vitabu vya shirika vikaguliwe?

Mbona shirika linapelekwa kisiasa, kitu ambacho magwiji wa biashara wameasa ni kibaya na kinachangia sana hasara?

Fair points.

Mimi naunga mkono shirika kuendeshwa kiuweledi wa kibiashara.

Kwa maneno mengine, wanasiasa wawaache wataalamu waliendeshe kitaalamu.

Kwa hilo wala sina tatizo kabisa.
 
Kuwepo na uwazi basi, ili kila mmoja aone faida iletwayo na ndege zetu. Kenya airways pamoja na kuwana routes kibao za kimataifa bado haifanyi faida. Sisi tuna muujiza gani kwa route zetu hizi za ndani? Walipa Kodi tutabebeshwa mzigo mzito was kuhudumia hizi ndege _ let us wait and see. Mbaya zaidi tutakuja kuyasikia haya utawala utakaopita Kama ambavyo leo tunavyosikia madudu ya serikali zilizopita na wakati huo tutakuja tumeshapoteza pesa nyingi Kama mradi wa katiba mpya.

Mkuu
KQ inafanya loss sababu ya ufisadi wa wakenya.
Kuhusu faida nyingine kacheck KQ jinsi ilivyo boost utalii wa Kenya. Angalia haya mambo kwa three dimensions yani ukija ku jumlisha jinsi KQ ilivyo boost uchumi wa Kenya wala huwezi sema inafanya loss KQ.

Kuhusu ufisadi, ufisadi wa awamu zilizopita ulijulikana kwa wakati huo, ndiyo maana mawaziri wa wakati huo waliachia ngazi. Sidhani ni haki kusema ufisadi wa wakati huo umejulikana awamu hii, yani Richmond, IPTL, meremeta, Buzwag nk wewe umezifahamu awamu ya tano?
 
Kila biashara inachangamoto , hata kufuga kuku wanachangamoto na watu kila siku wanakula loss. Hata kulima watu kila siku wanakula hasara na kilimo hawavuni kitu. Hata viwanda kila siku watu wanafunga viwanda kwa kula loss hata kusoma watu kila siku wana fail na ku disco. Lakini pamoja na hayo, ni kwamba watu bado wanafuga kuku, watu bado wanalima, watu bado wanafungua viwanda vipya , bado wanaenda madarasa yaleyale wengine wengi walio fail humohumo wanafaulu.

Kufikiria mtu fulani kafail na wewe unaishikia bango ni old stone way of thinking, lame thinking for lame people.
 
Mkuu kwa mtanzamo wangu cha kwanza kinatakiwa elimu bora,sasa miundombinu plus elimu bure ya magufuli,utapateje ajira bila ujuzi na maarifa kichwani?
kweli lakini pia elimu sio ya kwanza sanaa kuliko afya. Kwasasa wananchi wajue tu kusoma sio kuajiriwa, watoto wetu wajue kuwa kusoma ni kuongeza maarifa japo lile somo la 'stadi za kazi' mashuleni lilidharaulika miaka ya katikati lakini lilikuwa muhimu sana lile kutiliwa mkazo. Ni maoni yangu tu ndugu.
 
kweli lakini pia elimu sio ya kwanza sanaa kuliko afya. Kwasasa wananchi wajue tu kusoma sio kuajiriwa, watoto wetu wajue kuwa kusoma ni kuongeza maarifa japo lile somo la 'stadi za kazi' mashuleni lilidharaulika miaka ya katikati lakini lilikuwa muhimu sana lile kutiliwa mkazo. Ni maoni yangu tu ndugu.
Mkuu mimi sizungumzii elimu hii ya bure ya magufuli ambayo inalenga kumpa mtu cheti badala ya ujuzi na maarifa ,bali nazungumzia elimu bora na si hii bora elimu wanayopewa watoto wa wanyonge,Elimu kwa maana ya ujuzi na maarifa ni muhimu zaidi kuliko afya and any anything ease,watu wakipata elimu nzuri hata uwezo wao wa kujikinga na magonjwa mbalimbali ni mkubwa hivyo kupunguza uhitaji wa huduma za afya
 
Yani mimi sielewi, watu wananalalamika kuhusu ununuzi wa hizi ndege eti ni kupoteza muda na manufaa yake ni si kwa watanzania wote na pia si ya moja kwa moja kwa wanananchi.

Sasa basi humu hebu tuambieni humu ndani nyie hizo dola millioni 200 mzifanyiaje ili kuanzia Kesho kipato cha kila mtanzania kukue kutoka hii dola 2 kwa siku hadi huko kwenye dola zaidi ya 20 kwa siku mnapotaka nyie.

Tusaidiane basi maana nchi si yetu sote!!! Tupeni mawazo basi!!!

Kama huelewi kaa kimya.
CHADEMA mwaka 2015 walikuwa na Ilani inayosema ELIMU,ELIMU,ELIMU. Sasa angalia kile CCM wanachofanya kwenye Elimu inayoitwa ya BURE...!!

1572404519662.png


Hii ndiyo hali ya ELIMU inayotolewa bure na Serikali ya Magufuli. Badala ya kuwekeza zaidi kwenye Elimu Magufuli na CCM yao wananunua midege na kuji-mwambafy kama vile Zuzu kaokota embe chini ya mnazi...!!! Ukiangalia hiyo midege ukalinganisha na hali ya hizi shule unaweza kulia machozi...!!!Lakini hapa kuna jitu linatamba na kukebehi Watu ati waendeleee KUFYATUA WATOTO WATASOMA BURE.....Shame on you!
1572403936401.png
1572403966172.png
1572404079892.png
1572403936401.png
1572403936401.png
1572403936401.png
1572403936401.png
1572403936401.png
1572403966172.png
 

Attachments

  • 1572404544673.png
    1572404544673.png
    16.6 KB · Views: 1
Mkuu mimi sizungumzii elimu hii ya bure ya magufuli ambayo inalenga kumpa mtu cheti badala ya ujuzi na maarifa ,bali nazungumzia elimu bora na si hii bora elimu wanayopewa watoto wa wanyonge,Elimu kwa maana ya ujuzi na maarifa ni muhimu zaidi kuliko afya and any anything ease,watu wakipata elimu nzuri hata uwezo wao wa kujikinga na magonjwa mbalimbali ni mkubwa hivyo kupunguza uhitaji wa huduma za afya
Basi sawa nimekupata. Ila kiugomvi tu hakuna elimu bora Afrika. Kwa sasa, Afrika tuache tu tusome kufahamu sio kuelewa.
 
Kama huelewi kaa kimya.
CHADEMA mwaka 2015 walikuwa na Ilani inayosema ELIMU,ELIMU,ELIMU. Sasa angalia kile CCM wanachofanya kwenye Elimu inayoitwa ya BURE...!!

View attachment 1248288

Hii ndiyo hali ya ELIMU inayotolewa bure na Serikali ya Magufuli. Badala ya kuwekeza zaidi kwenye Elimu Magufuli na CCM yao wananunua midege na kuji-mwambafy kama vile Zuzu kaokota embe chini ya mnazi...!!! Ukiangalia hiyo midege ukalinganisha na hali ya hizi shule unaweza kulia machozi...!!!Lakini hapa kuna jitu linatamba na kukebehi Watu ati waendeleee KUFYATUA WATOTO WATASOMA BURE.....Shame on you!View attachment 1248257View attachment 1248258View attachment 1248261View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248258
Tatizo lako ni moja tu, mzalendo mwenzangu.....

Wewe una pure CCM hater. Hoja zako zote unajenga kupitia magufuli na CCM, hama ungekua hauna ushabiki na chama chochote na hakika maono yako yangekua tufauti kidogo.
 
Ukweli ni kwamba aviation industry ina changamoto nyingi tu.

Hata hayo mashirika makubwa nayo yana changamoto nyingi.

Mapema mwaka huu Singapore Airlines iliingia hasara.

Mwaka jana walianza mageuzi ya kupunguza gharama za uendeshaji wa shirika ili waweze kushindana vizuri na washindani wake kutoka Mashariki ya Kati na kwingineko.

Kuogopa kufanya jambo kwa sababu lina changamoto ni defeatist attitude.

Changamoto ni sehemu ya maisha ya kila siku.

Hazikwepeki.

Hivyo hakuna biashara isiyo na changamoto.

Na anayezikubali changamoto huyo ni tajiri mtarajiwa. Warusi wanao msemo usemao asiye tayari kuhatarisha maisha yake basi huyo hatakuja kunywa champagne.
 
Kama huelewi kaa kimya.
CHADEMA mwaka 2015 walikuwa na Ilani inayosema ELIMU,ELIMU,ELIMU. Sasa angalia kile CCM wanachofanya kwenye Elimu inayoitwa ya BURE...!!

View attachment 1248288

Hii ndiyo hali ya ELIMU inayotolewa bure na Serikali ya Magufuli. Badala ya kuwekeza zaidi kwenye Elimu Magufuli na CCM yao wananunua midege na kuji-mwambafy kama vile Zuzu kaokota embe chini ya mnazi...!!! Ukiangalia hiyo midege ukalinganisha na hali ya hizi shule unaweza kulia machozi...!!!Lakini hapa kuna jitu linatamba na kukebehi Watu ati waendeleee KUFYATUA WATOTO WATASOMA BURE.....Shame on you!View attachment 1248257View attachment 1248258View attachment 1248261View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248257View attachment 1248258
Upuuzi mtupu, kwa hiyo hizo shule ndio kielelezo cha Tanzania nzima!!, huu ni utoto wa kule facebook na whatsapp.
 
Kenya wenzetu wako very strategic serikali inamiliki just potion ya hisa za shirika, hisa nyingi zinamilikiwa na watu binafsi
Hakuna mtu mwenye data za izo ndege apart from the ones working at it: afterall reports zilishatolewa na magufuli inagawa amesewa atafuatilia: and kingine, sio lazma profit iwe direct unaweza ukapata loss ya 10B lakini ukapata $3B kwenye tourism which was facilitated by them: you can count it as a loss: afterall sisi tuna ndege chache sana, ata kenya wametuzidi:
 
Back
Top Bottom