Kaizer
Platinum Member
- Sep 16, 2008
- 25,320
- 17,823
Cheusimangala karibu jamvini!
Nshamkaribisha kule
Cheusimangala karibu jamvini!
unarudi kuwa wale wale sex kwanza love baadae!!!
WARNING: Don't start something which you can not finish.......
B ameniPM kuwa wewe alikufaidi baada ya dk 15 tu kazi ikawa imekwisha hehehe safi sana sio mchoyo.
hahaaaaaa jamani hayo ya ndani hivo hawezi kukuambia wewe mwewe
yaani wewe kwa uchonganishi sikuwezi Fidel!!!
BTW: jana usiku ulinidanganya weweeee
unataka nisiapply the rule kwako au unataka nisikupe exceptions/excuses tena??
despite the fact that sheria ni msumeno...................kazi kweli kweli (u r the exception basi hapa (the done deal))Napenda tu pale unapo - ''waive'' baadhi ya vipengele vya sheria kwa manufaa yangu!
Hahahahaha huamini sasa ndo hivyo?
Akipaona B hapa atanielewa tofauti hata Masaki na Kimey watanielewa tofauti jana nililewa sana.
despite the fact that sheria ni msumeno...................kazi kweli kweli (u r the exception basi hapa (the done deal))
Hahahahaha huamini sasa ndo hivyo?
Akipaona B hapa atanielewa tofauti hata Masaki na Kimey watanielewa tofauti jana nililewa sana.
Nilikuona kaunta mkuu wakati tunashangilia goli la kwanza la Egypt !!!
unajishuku tu wewe mwenyewe....wenzio twaaminiana saaana na B sasa wewe ndo unataka ueleweke unavotaka wewe!!!
BTW: punguza hiyo kitu kwaresma hii tuktuk itakupindua
huyo babu yako ni wa zama zipi Fidel?Anakupenda huyo?Hahahaha mm natengeneza mazingira na babu yangu alisha niambia baada ya nusu saa n'tu huyo akikataa achana nae sio riziki huyo
Sredi limenivunja mbavu hili well tuendelee
Binafsi nilitengeneza urafiki wa kawaida ; then nikatoa out na siku hiyo hiyo nikwambia kuwa leo ningependa anipe! Akakubali wowwwwwwwwwwwwwwww najilia vyangu mpaka leo sasa sijui ukwanza mnaanzia wapi kuhesabu! first meeting ama first outing?
Granny Shkang'Hivi leo ni siku gani? Dah!
Mahabaaa kajukuu. Jambo? Afu hujanambia kale kamjamaa kazaa chema kenzako ulikabania muda gani kabla hujakapa tunda?Granny Shkang'
Siku hizi ninajitahidi eh kwa maadabu Babu, si eti eh?
Umeamka na nani? Nawewe huwa unatoa muda gani kumpa mashalaa anayekudeti (siyo pamanenti rileshenship, nadhani umenielewa kama unajua kusoma katikati ya mistari)kumekucha
asante dear,nishakaribia!