How long to wait?...

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?

Nauliza tu!!
 
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?

Nauliza tu!!

I thought you were just thinking aloud, kumbe unauliza tu! :)
 
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?

Nauliza tu!!
makubaliano tu!

kanuni ya maadili inasema NO SEX B4 MARRIAGE!...well,nilitegemea ungehoji UHALISIA WA KANUNI HII YA MAADILI KWENYE KIZAZI HICHI CHA UTANDAWAZI,PICHA ZA NGONO,KUDUMISHA MILA,n.k n.k
 
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?

Nauliza tu!!

Mi tukisha kubaliana huwa nataka siku hiyo hiyo nianze kumega.
Tatizo la mabinti huwa wanajivunga sana utasikia ooh dia leo sikujiandaa tufanye week end ijayo sasa sijui anajiandaa nn wkt kitu kipo pale pale na matayarisho tu huwa nachoka sana mm nimekupenda na wewe umekubali sasa kwa nn tuanze kuzungushana kwenye swala la kumega?
Binafsi napenda nimege siku hiyo hiyo mambo mengine yaendelee.
 
Wapendwa
Eti ni muda gani unafaa kupita kabla wapenzi wapya hawajaanza kukutana kimwili? Yaani ni couple mpya inatakiwa upite muda gani kabla kaka hajaomba game au dada hajakubali game?

Nauliza tu!!

mh! Am I smelling something here oder was?
 
makubaliano tu!

kanuni ya maadili inasema NO SEX B4 MARRIAGE!...well,nilitegemea ungehoji UHALISIA WA KANUNI HII YA MAADILI KWENYE KIZAZI HICHI CHA UTANDAWAZI,PICHA ZA NGONO,KUDUMISHA MILA,n.k n.k

Hapo kwenye makubaliano sawa but kanuni nope kwa sababu asilimia kubwa ni kuwa huwa inavunjwa sasa ndoi najiuliza Geoff kama ndo kanitokea nami nimemkubalia naanza kuwa na shaka huwenda nikikutana naye kesho ataomba game (nami nimemkubalia leo??) au hakuna muda maaliumu
 
inategemea mdomo wa kaka................. wengine hta 2 hours ni nyingi sana!!!!!!!!!! na kwa wengine hata 2 years ni muda mfupi sana!!!!!!!!!!!
 
Inategemea na ntu na ntu pamoja na mazingira.
NAOMBA NIPINGANE NA WEWE KWENYE HILI!sheria ziko wazi,na hata vitabu vya dini vimeweka wazi......!NO SEX BEFORE MARRIAGE!wazee wetu waliishi hivyo.

ni hichi kizazi cha nyoka kilichohalalisha dhambi
 
Mi tukisha kubaliana huwa nataka siku hiyo hiyo nianze kumega.
Tatizo la mabinti huwa wanajivunga sana utasikia ooh dia leo sikujiandaa tufanye week end ijayo sasa sijui anajiandaa nn wkt kitu kipo pale pale na matayarisho tu huwa nachoka sana mm nimekupenda na wewe umekubali sasa kwa nn tuanze kuzungushana kwenye swala la kumega?
Binafsi napenda nimege siku hiyo hiyo mambo mengine yaendelee.
Umesahau sababu nyingine....... leo niko kwenye siku zangu..
 
Hapo kwenye makubaliano sawa but kanuni nope kwa sababu asilimia kubwa ni kuwa huwa inavunjwa sasa ndoi najiuliza Geoff kama ndo kanitokea nami nimemkubalia naanza kuwa na shaka huwenda nikikutana naye kesho ataomba game (nami nimemkubalia leo??) au hakuna muda maaliumu
geoff akikutokea SAWA!akikuomba game KATAA!SAY NOOOOOOOOO!no sex before marriage,PERIOD!

ukikubali,sasa huo ni mjadala mwingine.....!yaani tunaanza kuijadili dhambi
 
Mi tukisha kubaliana huwa nataka siku hiyo hiyo nianze kumega.
Tatizo la mabinti huwa wanajivunga sana utasikia ooh dia leo sikujiandaa tufanye week end ijayo sasa sijui anajiandaa nn wkt kitu kipo pale pale na matayarisho tu huwa nachoka sana mm nimekupenda na wewe umekubali sasa kwa nn tuanze kuzungushana kwenye swala la kumega?
Binafsi napenda nimege siku hiyo hiyo mambo mengine yaendelee.
Yaani wewe ndo mana wanakukimbiaga lol asa utake siku hiyo hiyo nitakuwa na uhakika gani kuwa hutamega na kukimbia?
 
Umesahau sababu nyingine....... leo niko kwenye siku zangu..

Hahahaha mm mkaksi huwa nataka nithibitishe kabisa kwa kupapasa wengine wajanja huwa wanavaa kabisa mnaita nn zile za kichina Always kumbe mwongo mm huwa nakagua kabisa mpaka nijiridhishe.
 
Back
Top Bottom