Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
wacha bwanabby do it now am honnie cnt wait for tommor plz
wacha bwanabby do it now am honnie cnt wait for tommor plz
Mi naanzaga kupenda then natamani kumega!!nakuuliza wewe sasa, wat is ur responce??
makofia nimezunguka wapi tena jamani? Mie yangu ilihusisha long distance na tulipomaliza kupenga kila kitu wakati anakuja kuoa ile wiki ya ndoa ndo ilinichukua siku 4 tu kumuangusha tembo wangu kwa ubua!! Umeridhika sasa?Mbona unazunguka sana ww sema kwanza kwako inakuwaje?
Mi binafsi siku hiyohiyo is the best akianza danadana inakula kwake
wacha bwana
Hakuna anayependa kupewa sifa hasi. Na kwa taarifa yako si kila mwanamke anayekubali kufanya mapenzi na mwanaume siku ya kwanza anakuwa ''branded'' maharage ya mbeya!
Mwanamke kubandikwa ''brand'' ya maharage ya mbeya ni kutokana na tabia yake ya kumkubali kila mwanaume kirahisi!
mi naanzaga kupenda then natamani kumega!!
Duh Baba Enock ndo naelewa as to y module ya upimaji VVU imekuwa ngumu sana kwenu wewe na Fidel. Lol
na ndicho kinachopelekea na sisi kutoa vile visababu- baby am not prepared leo, sweetie please naomba iwe next week n.k.
thibitisha........
Geoff?Fidel08: Fika Viola Pub-Tegeta au Nyamachabezi-Tegeta ukipata wakati!
mamie ntadhibitishaje kwa keyboard hapa?thibitisha........
Vijisababu is just fine. Mimi nilisema tu kwamba sipendi kisingizio cha ''sijajiandaa''. Atoe kisingizio kingine.
Na wanaume mara nyingi huwa tunajaribisha tu kuona kama unaweza kupewa siku hiyo hiyo ila huwa si lazima!
in a way it makes sense
in another it doesnt
sihitaji maelezo though....thanks!!!!
(hahaaa kwa taarifa yako =FYI) dah improvement naziona (sor ofutopik MJ1)
umeshindwamamie ntadhibitishaje kwa keyboard hapa?
Mkuu tafadhali bana! Watu wamesha-invest heavily hapo!
Anywayz, leo yupo off!
Mmmh! Kumekucha!
Thanks na nyingine nshakugongea kuleNakuamini Kimey
wewe ni love kwanza sex baadae!!!
umenipenda hapo tu?
hata wewe ulipata excuse kwa ile post moja tu, sasa naanza rasmi kukaba mpaka penalt